Clouds FM na E FM katika bifu zito na la hatari

Clouds FM na E FM katika bifu zito na la hatari

Acha KEJELI Na SANIFU Za Kirejareja. Ungesoma Journalism au Ungekuwa Ni Mbobezi ULIYETUKUKA Hasa Kwa Masuala Ya Communication Usingebeza Nilichokiweka Hapo. Maelezo Yako Yanaakisi UNAFIKI Wako. Wewe Huyo Huyo Unasema Waliosoma Wakupe Summary Halafu Wewe Tena Unasema Unataka Kuujua Huu Mtanange.
Mzee usipanic do you know the meaning of samari
 
Hao Clouds wakubali tu muda wao wa kuwa juu umeshafika mwisho. Kwanza huyo Shaffi anajifanya mbobezi wa michezo wakati muongo tu, kwa mtu anayejua soccer la ulaya juu juu anaweza kumuona anajua lakinj ni mweupe tu. Kuna vitu anadanganyaga kweupe mchana
Hao Clouds wakubali tu muda wao wa kuwa juu umeshafika mwisho. Kwanza huyo Shaffi anajifanya mbobezi wa michezo wakati muongo tu, kwa mtu anayejua soccer la ulaya juu juu anaweza kumuona anajua lakinj ni mweupe tu. Kuna vitu anadanganyaga kweupe mchana
Acha chuki binafs
 
Umekosea Kabisa Mkuu Na Kama Ni Safari Basi Sisi Tunaelekea Kigoma Wewe Unataka Kutupeleka " Kisiju " Naona Mnazidi Tu Kupata Shida Hivyo Ngoja Niwafumbieni Tena Na Kama Hapa Msipoelewa au Kung'amua Kitu Basi Hakika Sasa Mtakuwa Ni MAPOPOMA Kweli Na Msinisumbue Tena Kuniuliza Sawa? Tafuteni Gari Zote Za Ubalozini Kisha Angalieni Zile Herufu Zake Za Katikati Ambazo Huwa Ni Mbili Tu Kisha Ongeza Mbele Namba Nne ( 4 ) Halafu " Jiongezeni ". Sitaki Tena Swali Juu Ya Maana Ya " Dally Kimoko " Ukiweza Kulifumbua Hilo FUMBO TAKATIFU Hapo Wewe " JINIASI " Na Tutakuwa Pamoja.

Hujaeleweka bado,,
 
Hujaeleweka bado,,

Sikia Usinitibue Tafadhali Nikafungulia " Bomba " Langu Sasa Hivi Sawa? Huelewi Nini Tena Hapo Wakati Nimeshaweka Kila Kitu Na Hadi Member Mmoja Ameshajiongeza Na Ameelewa? Kwanini Unakuwa Mgumu Kuelewa? au Ubongo Wako Umegeuzwa Kwa Bahati Mbaya Na Mwenyezi Mungu Wakati Anakuumba?
 
Ungekuwa Ni Ushindani Mbwiga Angekuwa Anamcheka Ibrahim Masoud " Maestro " Kuwa Kafanya Kazi Clouds Media Kwa Zaidi Hata Ya Miaka 12 Lakini Kaja KUNUNUA Gari Baada Ya Miaka 8 Kazini Wakati Yeye Mbwiga Mbwiguke Kafanya Kazi Sasa Ni Mwaka 1 Tu Tayari Ana GARI? Mkuu Labda Nikuambie Tu YANAYOENDELEA Baina Ya Hawa WATANGAZAJI WA MICHEZO WA HIZI REDIO MBILI Ni MAKUBWA Na Narudia Tena Kama WASIPOKALISHWA Chini Na KUONYWA au KUREKEBISHWA Naiona Hatari Na Watafika Pabaya.
Hivi kuwa na gari ndio maendeleo??, samahani lakini.
 
Team darik moko ni walewapigamagitaa maana yake miiili yao inaaaa
Bado hujaolewa tuma

Huyo Darik Moko Ni Mjomba Wako au? Mimi Namjua Mpiga Gitaa Maarufu Namba Mbili Afrika Na Aliyejizoelea SIFA Na UMAARUFU Aitwae Dally Kimoko Wenyewe Wakongo Humuita " Gitare Ezanga Likwanza ".
 
Ila Kinachonisikitisha Ni Huu Uwongo Wa Maulid Kitenge Kuwa Hilo Neno La " KAMPA KAMPA TENA " Wao E FM Ndiyo Wamelianzisha ILA Kwa Kuwa Mimi SIPENDI UNAFIKI Na UWONGO Niseme Tu UKWELI Kuwa Aliyekuwa Wa Kwanza Kulianzisha Hilo Neno Hadi Sasa LIMESHIKA Kasi Mpaka Linatumika Sasa Na Watangazaji Wa Michezo Wa Vyombo Vingine Ni Mtangazaji MTUMBUIZAJI Mbwiga Mbwiguke Na Ningemwona Maulid Kitenge Na Wenzake Wa E FM Badala Ya Kufanya MZAHA Nalo Basi Wangekiri tu Japo Kimoyomoyo Kuwa Wamelichukua Kama Siyo Kuliiga Kutoka Kwa Mbwiga Mbwiguke. Kitaaluma Kufanya " Acknowledgement " Siyo KOSA Wala Hakuna AIBU Ila Kujifanya Kuwa Wewe Ndiyo Mwenye Hilo Jambo au Neno Wakati Siyo Kweli Ndiko KUJISHUSHIA HESHIMA Na KUDHARAULIKA Na Wanaojua.
Mbwiga mzee wa midfielder kisheti na mambo ya umatemate anakwambia gari zima ndio huvuta bovu chuma kina maneno kile.Uchambuzi wako mzuri kuna vitu vina akisi penye ukweli.
 
Km unafuatilizia vzr chambuzi za michezo hasa mechi ikiwa inachezwa utaonj kabisa kina daudi hawapo vzr kulinganisha na wengine kwangu mm geofrey lea iz da best then 2tofautishe mchambuzi wa mpira mtangazaji na m2 wa kucheza na habari za mitandao...nawasilisha
 
Km unafuatilizia vzr chambuzi za michezo hasa mechi ikiwa inachezwa utaonj kabisa kina daudi hawapo vzr kulinganisha na wengine kwangu mm geofrey lea iz da best then 2tofautishe mchambuzi wa mpira mtangazaji na m2 wa kucheza na habari za mitandao...nawasilisha

Nashukuru Kwa Kumfagilia Jeff Lea Na Kwa Kupoteza Nguvu Zako Nyingi Kuandika Wakati Mada Iliyopo Mezani Ni Ya Clouds FM Na E FM Ila Hiyo Ya Kuhusu Jeff Lea Wako Unaweza Tu Na Wewe Ukamwanzishia UZI Wake MAALUM Na Tunaojua Strength Na Weakness Yake " Tutatiririka " Vile Vile.
 
shaffii nilikuwa namheshimu ila kwa kuanza mipasho nimeanza kumdharau.
 
shaffii nilikuwa namheshimu ila kwa kuanza mipasho nimeanza kumdharau.

Ila Ibrahim Masoud " Maestro " Bingwa Wa MAJUNGU, FITINA Na Mambo Ya HOLA HOLA Kwa Watangazaji Wenzie Unamuheshimu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom