uaminifukazi
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 1,481
- 928
Radio ya watu.....
Inayoua vipaji vya watu.....!
Tuambie inauaje vipaji vya watu? Inazuia wasanii wasiimbe au ndo yale maneno ya kukalilishwa na wajinga wenzio.
Radio ya watu.....
Inayoua vipaji vya watu.....!
Awaoni aibu kampun nzima wanaweka bifu na mdada mmoja...! This is shame...
Na kweli wawapige mawe,maana ni USIA WA MAREHEMU HUOSasa anaposema nyimbo zake zisipigwe ni kwamba anawaambia akina Ruge au Joe hapo? Ruge anakaa studio? Kusaga aanakaa studio? Tangu lini Ruge au Kusaga akapiga nyimbo studio? Kwanza yeye hakusema Ruge au Kusaga wasipige nyimbo zake bali alisema Clouds wasipige... sasa Clouds ni mtu au taasisi? Alitaja majina kwenye msiba... hapa alisema wazi kwamba siku Jide akifa, Joseph Kusaga na Ruge wasikanyage kwenye msiba wake na kwamba wakienda, watu wawapige mawe!
Huu ukweli unatakiwa uwe copied kwa Amalinze na ndio maana kabla nilishamwambia inaelekea sio mfuatiliaji wa mambo! Na kwa nyongeza tu hilo suala la Jide kuliwa mzigo na Ruge, kwa hasira zake akaamua kuwatungia wimbo gazeti la Ijumaa eti kwamba ni wambeya wanamfuatafuata!!!
Wananikera sauti zao hasahasa hicho kipindi, wanajifanya sauti za kidhungu
Habari Wanabodi,
Nipo nasikiliza Clouds FM kipindi cha xxl segment ya "Album Review".Leo wana Review album(2003) ya Mwana Fa ya "Toleo Lijalo" yenye nyimbo kama Wanapendana,Alikufa kwa ngoma etc.Kwenye wimbo wa alikufa kwa ngoma ameimba na Anaconda(Lady Jay Dee) cha kushangaza kwenye huo wimbo wakati wana review ikifika sehemu ya chorus ya jide wana-mute inasikika beat tu.Kitendo cha clouds FM kama taasisi kampuni nzima kuweka beef na msanii mmoja inajidhihirisha Clouds FM ni radio ya wahuni tu.
Clouds FM sio mara ya kwanza kufanya upumbavu huo,nakumbuka kipindi cha nyuma Inspector Haroun alienda nao tofauti,kipindi hiko wimbo wake wa "Buzi" ndio ulikuwa una-hit basi jamaa kila ikifika pale anapochana Inspector sauti wanaondoa inasikika beat tu.
Kwenye ngoma ya Ben Pol "Jikubali" kuna moja ya mstari unaimbwa "Nampenda Lady jay Dee,namzimia Zitto" ile sehemu ya neno Lady Jay Dee wanaisugua(Scratch) na ilo neno halisikiki kabisa.
Kwenye kuadhimisha miaka 15 ya Dully sykes,kwenye promo walikuwa wanapiga nyimbo za nyuma za Dully Sykes,kuna ngoma inahitwa Bijou inavyoanza ina neno "Okay mbili sifuri sifuri nne,P-funky kinywele kimoja" ilipoanza hapo kwenye P-funky wakaikata kabisa wakaipeleka mbele.
Kwa Mchezo huo wa kitoto unaofanywa na Clouds Media inaishushia hadhi sana hiyo kampuni,kitendo cha kampuni hiyo kufanya mambo ya utoto ni wadhi redio inaendeshwa na makanjanja na sio watu wenye ueledi.Clouds FM ikubali pia matakwa ya wasanii,kama msanii akikataa kufanya deal kwa sababu anaona haimfaidishi yeye ni haki yake kukataa na si kigezo cha kutopiga nyimbo zake.
Kuna watu watasema kwamba redio zipo zaidi ya 60 na TV zaidi ya 20 kwanini wasanii wailalamikie Clouds tu? Hapa tunacholalamika ni kufinya(mute) sauti yeyote iliyopo kwenye nyimbo alizoshirikishwa msanii walioenda nae tofauti.Kama wanapiga wimbo wa ben pol waachie wimbo kama ulivyo na si ku-mute majina ya watu waliotajwa wenye beef nao.
CLOUDS MEDIA ACHENI UTOTO.
Ukitaka wakuroge wakumbushe kuwa Wakati Lady Jdee ameandaa tamasha lake la kuadhimisha miaka 13 ya muziki wake, Eti na nyie CLOUDS mliandaa show the same day eti hali ilikuwaje kwenye show yenu?
Wakikujibu basi mimi kuanzia leo namuunga mkono ASUMPTA MSHAMA agombee Urais wa Tanzania.
Mtu mwerevu mwenye akili zake timamu hawez kuiskiliza clouds wala kuitizama.. Cause imejaa mitoto ya uswaz iliyokosa nizamu
media ya wahaya hyo mi yananikera jana lile limwanamke linaanza kumpondea j be yaani hawa ndio wanadiscourage wasanii wapuuzi nina mashaka na cv kama wadau msemavyo
Hivi hii redio bado ipo hewani?
Sasa anaposema nyimbo zake zisipigwe ni kwamba anawaambia akina Ruge au Joe hapo? Ruge anakaa studio? Kusaga aanakaa studio? Tangu lini Ruge au Kusaga akapiga nyimbo studio? Kwanza yeye hakusema Ruge au Kusaga wasipige nyimbo zake bali alisema Clouds wasipige... sasa Clouds ni mtu au taasisi? Alitaja majina kwenye msiba... hapa alisema wazi kwamba siku Jide akifa, Joseph Kusaga na Ruge wasikanyage kwenye msiba wake na kwamba wakienda, watu wawapige mawe!
Kumbe nawe unawasikilizaga? Basi wako juu sana make me nilijua unasikilizaga zile za mangi mwenzio.