Clouds FM acheni Utoto

Clouds FM acheni Utoto

Awaoni aibu kampun nzima wanaweka bifu na mdada mmoja...! This is shame...

Mdada ndo kaweka bifu dhidi yao wala hawana time naye wako busy na kiwanda cha burudani bongo. Huyo gumegume ndo yuko busy kuwaimbia nyimbo za mipasho wakati wao washam-delete na kutupa kwenye dust bin.
 
Sasa anaposema nyimbo zake zisipigwe ni kwamba anawaambia akina Ruge au Joe hapo? Ruge anakaa studio? Kusaga aanakaa studio? Tangu lini Ruge au Kusaga akapiga nyimbo studio? Kwanza yeye hakusema Ruge au Kusaga wasipige nyimbo zake bali alisema Clouds wasipige... sasa Clouds ni mtu au taasisi? Alitaja majina kwenye msiba... hapa alisema wazi kwamba siku Jide akifa, Joseph Kusaga na Ruge wasikanyage kwenye msiba wake na kwamba wakienda, watu wawapige mawe!
Na kweli wawapige mawe,maana ni USIA WA MAREHEMU HUO
 
Huu ukweli unatakiwa uwe copied kwa Amalinze na ndio maana kabla nilishamwambia inaelekea sio mfuatiliaji wa mambo! Na kwa nyongeza tu hilo suala la Jide kuliwa mzigo na Ruge, kwa hasira zake akaamua kuwatungia wimbo gazeti la Ijumaa eti kwamba ni wambeya wanamfuatafuata!!!

#Nazdaz tatizo la hawa vijana wa fb ni kupenda kushadadia mambo wasiyoyajua. Muda wote wanawaza siasa tu matokeo yake wanapeleka siasa hata kusikostahili. Kulalama na kulalamika ndo imegeuka kuwa jadi ya Mtanzania. Basi wameamua kuchagua maisha ya kulalamika ni bora wakawa wakweli kwa kila upande badala ya hizi ngonjera za double standards tunazoziona humu kila siku.

FidQ alikua na kipindi pale EATV sijui kimeishia wapi lakini nakumbuka kwenye wimbo wake kachana ukweli kuwa, HAKUNA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI, BALI KUNA UHURU WA MWENYE CHOMBO CHA HABARI. KAMWE IPP HAIWEZI KUMPINGA MENGI. Nadhani hakumlenga mengi kama mengi bali alimtolea mfano kuwa vyombo vya habari vipo kwa ajili ya wamiliki wake na sio wananchi. Kwahiyo hizi ngonjera za kuwa mnakuja hapa kushambulia MEDIA Moja ni vyema mkaachana nazo kwani huu ni mfumo na sio suala la mtu binafsi. Na utakapoamua kulielezea ni bora ukawaambia wamiliki wote wa vyombo vya habari kuanzia IPP,CLOUDS GROUP, SAHARA, UHURU, MAGIC,TIMES,MAWIO, TANZANIA DAIMA, NIPASHE nk.
 
Last edited by a moderator:
media ya wahaya hyo mi yananikera jana lile limwanamke linaanza kumpondea j be yaani hawa ndio wanadiscourage wasanii wapuuzi nina mashaka na cv kama wadau msemavyo
 
Mtu mwerevu mwenye akili zake timamu hawez kuiskiliza clouds wala kuitizama.. Cause imejaa mitoto ya uswaz iliyokosa nizamu
 
Mnajua maana ya usia nyinyi au mnapiga kelele? Mhusika yupo kimya nyinyi mandondocha mnawashwa
 
Habari Wanabodi,

Nipo nasikiliza Clouds FM kipindi cha xxl segment ya "Album Review".Leo wana Review album(2003) ya Mwana Fa ya "Toleo Lijalo" yenye nyimbo kama Wanapendana,Alikufa kwa ngoma etc.Kwenye wimbo wa alikufa kwa ngoma ameimba na Anaconda(Lady Jay Dee) cha kushangaza kwenye huo wimbo wakati wana review ikifika sehemu ya chorus ya jide wana-mute inasikika beat tu.Kitendo cha clouds FM kama taasisi kampuni nzima kuweka beef na msanii mmoja inajidhihirisha Clouds FM ni radio ya wahuni tu.

Clouds FM sio mara ya kwanza kufanya upumbavu huo,nakumbuka kipindi cha nyuma Inspector Haroun alienda nao tofauti,kipindi hiko wimbo wake wa "Buzi" ndio ulikuwa una-hit basi jamaa kila ikifika pale anapochana Inspector sauti wanaondoa inasikika beat tu.

Kwenye ngoma ya Ben Pol "Jikubali" kuna moja ya mstari unaimbwa "Nampenda Lady jay Dee,namzimia Zitto" ile sehemu ya neno Lady Jay Dee wanaisugua(Scratch) na ilo neno halisikiki kabisa.

Kwenye kuadhimisha miaka 15 ya Dully sykes,kwenye promo walikuwa wanapiga nyimbo za nyuma za Dully Sykes,kuna ngoma inahitwa Bijou inavyoanza ina neno "Okay mbili sifuri sifuri nne,P-funky kinywele kimoja" ilipoanza hapo kwenye P-funky wakaikata kabisa wakaipeleka mbele.

Kwa Mchezo huo wa kitoto unaofanywa na Clouds Media inaishushia hadhi sana hiyo kampuni,kitendo cha kampuni hiyo kufanya mambo ya utoto ni wadhi redio inaendeshwa na makanjanja na sio watu wenye ueledi.Clouds FM ikubali pia matakwa ya wasanii,kama msanii akikataa kufanya deal kwa sababu anaona haimfaidishi yeye ni haki yake kukataa na si kigezo cha kutopiga nyimbo zake.

Kuna watu watasema kwamba redio zipo zaidi ya 60 na TV zaidi ya 20 kwanini wasanii wailalamikie Clouds tu? Hapa tunacholalamika ni kufinya(mute) sauti yeyote iliyopo kwenye nyimbo alizoshirikishwa msanii walioenda nae tofauti.Kama wanapiga wimbo wa ben pol waachie wimbo kama ulivyo na si ku-mute majina ya watu waliotajwa wenye beef nao.


CLOUDS MEDIA ACHENI UTOTO.

Hawa clouds ni wajinga tu,
 
Last edited by a moderator:
Mada inahusu utoto unaofanywa na clouds ila watu wanajadili beef la clouds na Jay dee.
 
Ukitaka wakuroge wakumbushe kuwa Wakati Lady Jdee ameandaa tamasha lake la kuadhimisha miaka 13 ya muziki wake, Eti na nyie CLOUDS mliandaa show the same day eti hali ilikuwaje kwenye show yenu?
Wakikujibu basi mimi kuanzia leo namuunga mkono ASUMPTA MSHAMA agombee Urais wa Tanzania.
 
Ukitaka wakuroge wakumbushe kuwa Wakati Lady Jdee ameandaa tamasha lake la kuadhimisha miaka 13 ya muziki wake, Eti na nyie CLOUDS mliandaa show the same day eti hali ilikuwaje kwenye show yenu?
Wakikujibu basi mimi kuanzia leo namuunga mkono ASUMPTA MSHAMA agombee Urais wa Tanzania.

Kwani tatizo liko wapi na kila mtu anaujua ukweli kuwa Jide alijaza nyomi nyingi iliyochangiwa na bifu lile? Zile zilikua ni huruma za wananchi kwani bifu lilikua hot. Kamuulize siku hizi Band yake imefia wapi au ule Mgahawa wa MOG wateja wamekimbilia wapi?

Jitahidi wkend uende pale japo ukakae hata masaa 2... hadi anatia huruma.
 
Mtu mwerevu mwenye akili zake timamu hawez kuiskiliza clouds wala kuitizama.. Cause imejaa mitoto ya uswaz iliyokosa nizamu

Media inayodeal na burudani we ulitegemea iwe na watangazaji wa namna gani? Au ulitaka akina Kikeke na shaaban kisu wakatangaze xxl? Hahahaha chuki zikizidi huondoa maarifa.
 
media ya wahaya hyo mi yananikera jana lile limwanamke linaanza kumpondea j be yaani hawa ndio wanadiscourage wasanii wapuuzi nina mashaka na cv kama wadau msemavyo

Ukabila wenu pelekeni IPP huko kwa wachaga. Pale Clouds hakuna ukabila hizo chuki zako tu... leta fact kuthibitisha upuuzi wako.
 
Sasa anaposema nyimbo zake zisipigwe ni kwamba anawaambia akina Ruge au Joe hapo? Ruge anakaa studio? Kusaga aanakaa studio? Tangu lini Ruge au Kusaga akapiga nyimbo studio? Kwanza yeye hakusema Ruge au Kusaga wasipige nyimbo zake bali alisema Clouds wasipige... sasa Clouds ni mtu au taasisi? Alitaja majina kwenye msiba... hapa alisema wazi kwamba siku Jide akifa, Joseph Kusaga na Ruge wasikanyage kwenye msiba wake na kwamba wakienda, watu wawapige mawe!

kwa nn aliongea hayo??? kosa ni la nani?? ukiona mtu kafikia hatua ya kutoa kaulo hizo lazima ujipime ulichomkosea mlalamikaji huenda walimfanyia kitu mbaya sna dada wa watu.
 
Back
Top Bottom