Kuna wakati Lady JD alikuwa South Africa kwenye kora award kwa hisani ya Madame Rita, Ruge alikuwemo pia !
Madame Rita alirudi vipande vipande kwa scandal ya Ruge na JD !
Sijui walifanya nini !?
Hahahahahaha... hiyo scandal naikumbuka sana. Enzi za Shigongo katika ubora wake 2000 to 2004.
Kifupi Ruge alikula mbunye wa Jide kabla Gadner hajaingia hapo mawingu. Hilo saga hata Gadner analijuaga poa... kamuulize JUMA NATURE kisa cha kutemana na Sinta ni nani. Make jamaa alikua anadonyoa mzigo Kimyakimya na kumkomoa nature,Ruge akamuhamishia Sinta Mwanza walikokua wamefungua kituo kipya cha clouds. Nature kalia mwisho kawa mpole akakubali ku-share mzigo na wakubwa ikafika hatua akawa anapewa kwa masharti uzalendo ukamshinda akaamua kubwaga.
Swala la Jide huwezi kuwalaumu Clouds kwani aliyataka mwenyewe kwa kutoa angalizo wasipige nyimbo zake, sasa ulitaka wafanyeje? Kibaya zaidi hata hata wasanii hao akina MwanaFA na Ben Paul ashagombana nao kitambo hivyo hata wao wasingependa kusikia sauti ya Jide kwenye nyimbo zao.
Ni kama Zay B alivyogombana na Inspector Haroun akatoa Remix ya Niko Gado na NATURE. ile orignal ya Babu hata kwenye mitandao hapendagi kuiweka.
Hili suala sio la Clouds tu bali ni karibia vituo vyote vya habari. Ukiwaletea usen.ge wanakupotezea. Peleka ipp habari nzuri za Muhongo,manji,rostam,masilingi, masha na wengineo waliowahi kugombana na Mengi uone kama zitatangazwa.
Ipp waliwahi kugombana na RayC wakampotezea hadi alipopelekwa na Ruge kwa Mengi kuombewa Msamaha ndipo zikaanza kuchezwa EATV na Radioni.
Mwaka Juzi 2013 Times Fm zaidi ya miezi 6 hawakucheza nyimbo za Diamond. Walikua na mgogoro naye. Hata nyimbo za Davido sina hakika kama zinachezwa toka kisanga kile cha FIESTA 2014. Karibia Media Zote zina taratibu zake za kujiongoza ukienda nazo tofauti unakula ban la maisha au jela ya muda.
Kuendelea kuinyooshea kidole Media moja na kuziacha media nyingine kwa makosa au maamuzi yaleyale ni kielelezo tosha kuwa Clouds inakubalika sana kiasi kwamba kila wafanyacho wao inakua bonge la story. Hata wakijamba mtakuja hapa kujadili. Hizo ndo dalili za mtu aliyefanikiwa. Hata ukifanya upuuzi unajadiliwa.
Fiesta mashabiki wamemzomea Diamond ma-hater kibao wamekuja hapa kuwalalamikia na kuwatukana clouds kama ndo wamepanga dili lote. Juzi kwenye tamasha la Tigo kwa kushirikiana na IPP, DIAMOND huyohuyo kazomewa pale Leaders wala hamjaja hapa kutoa mapovu kuwalaumu EATV kama mlivyofanya kwa Clouds fm... inamaanisha wanafanya vizuri ndio maana ma-haters wachache mnalazimishaga watu tuamini kuwa wanakosea kweli kumbe kelele tu za kipuuzi...
HII NCHI IMEJAA WACHAWI WENGI SANA, KIBAYA ZAIDI WENGI WAO NI VIJANA.