Chuo Kikuu Dar es Salaam kinatia aibu

Chuo Kikuu Dar es Salaam kinatia aibu

udom pa ukwel wewe....lecture km anazingua class...anatafutwa muhind au m-asia alaf yy atatafutiwa kazi y kufanya
Wahindi hawa hawa. Uwiii nilijua udom kuna chuo kumbe???. Asilimia 100 ya vyuo vya wahindi ni majipu. Wahindi wasomi wanakimbilia ulaya sio AFRIKA
 
nchi ilpofika ni pabaya,......kila kiu kipo nyuma,......
nchi yetu ya leo ni sawa nakuwa tunaishi 1971,.....kila kitu kipo nyuma,...
Ttatizo ni ccm,.....nchi imewashinda then wanangangania madaraka coz wamepiga sana so kulindana kwa kungangania madaraka ili wasije kuishia pabaya...........
 
Mwisho wa siku udsm ni chaguo la kwanza kwa watanzania wote ..... udsm is only for the few chosen one....sio shamba la bibi...
 
we acha tu,kuna jamaa angu aliachwa hivihivi kwenye u tutorial asistance kisa katoka udom japo alifunika kwenye usaili kuliko udsm leavers wote
Una hisi kwa staili hii tutafika, hapo ndio ujue sio wote wanaopata kazi walifaulu ki halali, kuna behind the scene nyingi ambazo kama siku zikiwekwa wazi utajua uozo wa ili taifa, wanaojua wanaachwa.
 
Gpa ya 5 ya udom,saut,mzumbe na uchafu mwingine wa aina hyo ni sawa na Gpa ya 2.0 ya udsm.asa ni jishangae wewe unaesema cjui mshkaji wako aliachwa,hayo mengne ni changamoto za maisha tu.
Nadhani wewe ni kati ya wale mashabiki wasindikizaji. Nadhani kama timamu umenielewa nini na maanisha.
 
..... Mti wenye matunda ndo hupopolewa!!


Ninyi wahitimu Wa Taasisi ( Institute ) Na vyuo vikuu vya Kata Msuipata admission vyuo bora duniani tunayaona mapungufu yenu hadi makazini!


Poleni sana
 
..... Unaposema chuo hakina Library unamaanisha nini ??? Unalinganisha Na chuo gani ???


Ninyi hamna sifa za kusoma UDSM hivyo komaeni huko huko mliko !!


Poleni sana
 
Kapyungu unatuchosha !!


Hujui unachoandika huna mbele wala nyuma .

Unatumia Madesa huna research bora unyamaze !!

Matumizi ya UDSM kwa siku ni tsh 150 millions !!


Komaa huko huko vyuo vya Kata !!!
 
Hata kama ni kukosoa, tukosoe sehemu zinazotakiwa kukosolewa.
Kuhusu "course" zinazotole kua hazibadiliki, sio sahihi. "Courses" zinabadilika sana hasa kwenye mada ili kuendana na dunia ya sasa. Ukiangalia material ya miaka ya nyuma katika kozi fulani, ni tofauti na ya leo. Pia degree programs za kileo na zenye tija zinapatikana pale. Kila mwaka ukiangalia tcu guide book, unaona degree piograms mpya na zenye tija zimeongezwa. Sjua ustatic uko wapi ktk hilo.
Maabara na mitambo ya kisasa ipo udsm.
Kuhusu maktaba, taja maktaba ambayo wewe unaiona ni bora zaidi ya ila ya udsm.
Hata hivyo, chuo kina mapungungufu mengi na hayo ndio yangetakiwa kutajwa.
 
Mti wenye matunda! Mlichagua mkatoswa basi mshukuruni Mungu hata huko alikopeleka! Kuna wenzenu walikosa kabisa. TZ bila UDSM isingewezeka.
"I don't care if you hate me for the truth"
 
wao wataendlea kuwa static kwani hata walimu wao ni walewale wa udsm,muce au duce na sua kidogo....! ukienda zako na application toka udom,mzumbe nk utaishia kufanya interview tu hata kama una GPA ya 5,very stupidy!!
GPA 5 bado uko stupid!!??
Hahahaaaa...... Una apply chuo kingine kwani wao wana nini bhana.
 
Yaani nikisomaga comments za watu humu huwa nacheka tu... Labda kuna watu huwa wanakuja ku comment kupunguza stress
 
Back
Top Bottom