Udsm hawafundishi Ufisadi hiyo ni tabia kama ilivyo uzinziMsisahau kuwa UDSM Ndio imezalisha karibu 90 % ya mafisadi wetu wote nchini
Si ndio maana udsm ipo stagnant?baadhi ya vyuo vina mtazamo huo kuwa watu wanaowazalisha wao ni bora zaidi kuwaajiri kuliko vyuo vingine,kitu ambacho si kweli maana wanakosa exposure toka nje,hence to remain static!!
Hayo mapungufu yapo Library yote. Ujengaji wa Library ya UDSM haukutia manaani kuwekwa kwa viyoyozi. Sijaingia humo ndani miaka ya karibuni tu. Kama kumebadilika basi hongera.
Naingia hofu unaposema library ya UDSM ni kubwa Afrika Mashariki na Kati. Inawezekana ni ukubwa wa majengo, lakini kma hata tukichukulia wingi wa vitabu ambavyo vipo up-to-date na majarida basi hiyo Afrika Mashariki na Kati imekwisha kabisa. Tulie tu.
Serikali ya CCM haikuwekeza kabisa kwenye kununua vitabu kwa ajili yya Library ya UDSM. Miaka michache iliyopita UDSM walikuwa wanaponea coupon za UNESCO. Sijui kama wanaendelea na hilo.
Sehemu nyingine inayoonyesha UDSM wapo hoi tabaani kitaaluma ni vitabu vya kiada(textbooks?). Zaamani tulikuwa na Bookshop pale Mlimani. Leo hii imekufa. hawa wanafunzi tunaowafundisha pale mlimani wanasoma vitabu gani?
Kinawabagua watu wake wenyewe, ila kama mdio mentality yao!! Worry outNdio maana nikakuandikia labda Yesu ashuke, huyu aliyegomewa Havard hasira anakuja imalizia kwa vijana wengine kama hao toka kwenye hivyo vyuo tajwa.
mfano: SHule ya Sheria UDSM wanatoa LL.B na BALE huyu wa BALE hata apate GPA ya 5 kubakizwa ni ndoto kwake, wakati huo huo mtu wa LL.B anabakizwa kwa ajili ya wanafunzi wa BALE😀
hii ndio UDSM CHUO KIKUU CHA TAIFA
Ukubwa jalala. UDSM inasimangwa kwa sababu ya website ya idara!
wacha ufala ww bookshop ipo km kawaida!
povu la nn xx km huna taarifa
Magu kaleta tija gani? Unajua aliyofanya Kenyatta Kenya mpaka sasa? Anacholalamikiwa Kenyatta ni safari nyingi kama za JK, sasa Magu mpaka sasa alichofanya nini kumlinganisha na hao.Kenyatta amesoma usa na kingereza chake kizuri lakini haoni ndani kwa magufuli kwa utendaji wenye tija kwa jamii, zuma kule afrika kusini na kingereza chake, M7 etc,
"Jipu"udom pa ukwel wewe....lecture km anazingua class...anatafutwa muhind au m-asia alaf yy atatafutiwa kazi y kufanya
Kama wewe ni bingwa wa kukalili ukienda udsm lazima utusue! Hilo halina ubishi! Nilijifanya nataka kuelewa nilicho ambulia ni tiketi za"September conferences" za kila mwaka. Watu wanakalili hadi physics na mwisho wa siku wanapata A. Kwa wale wanaosoma masomo kama psychology ni uwezo wako wa kukalili madesa tu! Read between lines!!! Haukosi A.Acha kuongea upupu wewe....nmesoma udom 1st degree nkasoma udsm post graduate...nlichojifunza udsm mnakalili sana...yan ww kalili tu haijarish umeelewa au lah...tena mitihan mnarudia ..kuanzia test had Ue ..yan kama ilivyo wanachange date tu
Ukweli udsm jina tu...but hakuna lolote
nmesoma hliiapo nmepata gpa/grades ambazo sijawah pata maishan...
Watu muwe na logic...afu uwez dharau chuo flan wakati huna hata experience umesoma chuo kimoja tu unaamin ndo iko iko bora..
Wanafunzi wa udsm sifa nying..
Mkuu umeongea point nyingi mno. Kuna wazee pale udsm wanaona wao ndo hujua kila kitu, ukiangalia Elimu yake ya kuunga Unga diploma mpaka PhD, wengi wao wamekalili madude so wanawaforce nanyi mkalili.ubaguzi je!, kutopenda kubadilika je! , kudharau wataalamu wa vyuo vingine hata kama wako vizur kuliko wa kwao je!, ukiritimba je!, chuki binafsi kuzihamishia kwenye masomo nakufelisha wanafunzi je! , kutumia mifumo ya zamani ilopitwa na wakati je! (traditional approach badala ya communicative approach) je, kufurahia wanafunzi wa masters&phd wakichelewa kugraduate hata kama wanavigezo je! ( IN LOWASSA WA UKAWA'c voice) [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Taja rasilimali inayoweza ingizia chuo pesa ili hali watu wanasoma kwa pesa kidogo karibia na bure!. Au ubataka waanzishe mashamba ya kilimo???Kwa chuo kikubwa kama UDSM n.k. kuendelea kuitegemea Serikali Kuu kufanya renovation kwenye vyoo ni utahira wa kiwango cha PhD.
Kama ningekuwa VC ningefanya yafuatayo badala ya kuendelea kusubir fedha za kukarabati vyoo zitoke hazina kuu.
1. Kutumia rasilimali zilizopo vizuri na kwa weledi. Kwa mapato yote ya ndani ningetenga asilimia kadhaa kukarabati miundo mbinu ya umuhimu kama vyoo, lecture halls, barabara na kuhakikisha mawasiliano ndani ya chuo yanakuwepo muda wote.
2. Alumni Mobilization
Chuo kama UD kina alumni all over the world. Na kuna ambao wapo tayari kukisupport chuo kisongembele. Ningehakikisha wote waliosoma UD wanakuwa na platform ya pamoja na kuanzisha mfuko maalumu wa maendeleo ya UD.
3. Matumizi yenye Nidhamu
Haingii akilini chuo kinakuwa na V8s ambazo ni gharama kuzinunua na kuziendesha halafu unakuta wanafunzi wanategemea kwenda msalani mcity. Ningebana matumizi na kufuta matumiz yasio ya lazima ili kinachobaki kikaboreshe UD kwa faida ya wengi.
4. Bulk Purchasing
Kwa mafuta ya magari, stationaries, na vitu muhimu vinavyotumika chuoni kila siku. Hii itasaidia kusave kwenye manunuzi.
Me naamini kabisa kwa hivi vyuo vyetu vikubwa vikiamua kujiendesha venyewe vinaweza kabisa. Vina Rasilimali (Watu & Asset) nyingi sana.
Uwezo Vinao, Sababu Vinayo, Nia_________
Ada ya private ni sh. Ngap vile😕😕😕😕Vyeo vya kupeana, vyuo vinatakiwa vijitegemee kwa zaidi ya asilimia 90 mbona private universities zina fanya vizuri.