mhuri25
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 3,552
- 5,053
MDACHI na MGINA bila kumsahau MAHUGIJA hawa Jamaa Waache uduwanziii aseehYeah umeongea ukweli hasa hawa jamaa wa chem depertment wamezidi unoko
MDACHI na MGINA bila kumsahau MAHUGIJA hawa Jamaa Waache uduwanziii aseehYeah umeongea ukweli hasa hawa jamaa wa chem depertment wamezidi unoko
Ukitoka Upitie UJASI jua kaliiii.... Maji tatizo nafuu majengo tu otherwise nyinyi=ENCENFORD hata SAUT hampaswi kucompete nao MKUU...Udom iko vizuri saana, ukitaka utam wa ngoma ingia ucheze,, ni ukweli usio fichika Udsm miundombinu mibaya mno, nilienda kumtembelea rafiki yangu pale kiukweli nilishangaa ukienda chooni looh yaani khaaaaa pachafu my, majengo yamechakaaa kwelikweli sio siri nilimshukuru mungu kwa kutochahuliwa pale licha ya kuwa na ufauru mzuri,,, Udsm inabebwa na ukongwe wake Lakin hakuna lolote jipya pale, hata wanafunz wake ni normal saana na wamejaa sifa za kijinga eti utakuta mtu anajisifia yeye ni wa Udsm yaani hicho ndo walichobaki nacho utazani Udsm ni mbinguni,, poleni saana wenye imani hiyo na kusifia vyuo mnavyo soma ila mkija mtaani Hali inakuwa tete kwa wote bila kujali we ni wa MUCE, UDSM UDOM, SAUT, etc. Afu hoja ya kusema UDOM ni ccm ni ujinga uliopitiliza maana kila chuo kina wanachama aidha wa, Ccm, CHADEMA ama CUF ni aibu sana unajiita msomi halafu unabwabwaja tuu bila logic kisa ushabiki usio na maana, all in all karibu UDOM chuo safi, mazngira safi, walimu safi elimu safi (ukijfanya mla bata DISCONTINUE rafiki yako) tatizo wengine mnakimbilia udsm Ili mkangalie jiji Hahaha acha niende lecture !!!!! Wale mnajisfia vyuo tutakutana mtaan
GPA ya 5 inamaanisha nini?wao wataendlea kuwa static kwani hata walimu wao ni walewale wa udsm,muce au duce na sua kidogo....! ukienda zako na application toka udom,mzumbe nk utaishia kufanya interview tu hata kama una GPA ya 5,very stupidy!!
Unarudi palepale ni mtoto wa UDSMardhi architecture wote wana div one
InferiorityJitu la UDSM haliwezi kucompete na na Mwanaume wa MZUMBE.... Hata iweje... academically MZUMBE IKO JUU ZAIDI YA UDSM...
Mkuu umeulizwa ulijuaje kuwa kawafunika wote.Mzee Raza huwa hakuna siri mkuu, haya mambo yapo tena mpaka kwenye taasisi kubwa ambazo si rahisi kuamini wanafanya michezo michafu kama hiyo.
Ha ha kuna mtu anaitwa MUHINZI. Alisha wahi nifundisha inorganic chemistry. Huyu jamaa alikuwa hafai ata kidogo enzi hizoMDACHI na MGINA bila kumsahau MAHUGIJA hawa Jamaa Waache uduwanziii aseeh
Ardhi baba laooo mkuuardhi architecture wote wana div one
kabsa mkuuuArdhi baba laooo mkuu
Kuna kozi za Johanna the tupu pale
Kama vile environmental engineering
Architecture wa ardhi ana thamani kubwa kuliko wa Ud
Most naweza kadiria zaidi ya 70%HV kweli wote waliopo udsm wana one tu ...au
Ujue hawakidhi vigezowao wataendlea kuwa static kwani hata walimu wao ni walewale wa udsm,muce au duce na sua kidogo....! ukienda zako na application toka udom,mzumbe nk utaishia kufanya interview tu hata kama una GPA ya 5,very stupidy!!
Nani kasema GPA ya 5 ndo kigezo pekeee kinachotumika kuajiriwao wataendlea kuwa static kwani hata walimu wao ni walewale wa udsm,muce au duce na sua kidogo....! ukienda zako na application toka udom,mzumbe nk utaishia kufanya interview tu hata kama una GPA ya 5,very stupidy!!
Vigezo gani vinatumika kupima ubora wa elimu ya chuo? Unatumia kigezo kipi katika kufanya hitimisho la hoja yako uliyoiweka?Jitu la UDSM haliwezi kucompete na na Mwanaume wa MZUMBE.... Hata iweje... academically MZUMBE IKO JUU ZAIDI YA UDSM...
Sio kweli. Wapo kuanzia one mpaka threeHV kweli wote waliopo udsm wana one tu ...au
Mkuu wew ulisoma chuo gani? Tuanzie hapo three?Sio kweli. Wapo kuanzia one mpaka three
HV kweli wote waliopo udsm wana one tu ...au[/QUOTE
ndiyo wote wana one kwa hyo fuclt