Chuo kikuu Cha Dar es Salaam kimpe Rais Samia Udaktari wa Heshima katika uongozi na mahusiano ya kimataifa

Ndugu zangu hayo Ni mapendekezo yangu binafsi baada ya kuwa nimekaa kwa muda mrefu nikifuatilia utendaji kazi wa mh Rais Samia na kufikiria namna mh Rais wetu mpendwa alivyoipokea na kukabidhiwa nchi yetu Katikati ya wingu zito la majonzi na simanzi kubwa ya kuondokewa na Rais wetu Hayati Daktari John Pombe Magufuli

Ndugu zangu ilikuwa Ni mshituko mkubwa Sana kwetu watanzania kuondokewa na Rais aliyepo madarakani, kwani hakuna aliyekuwa akiwaza Wala kufikiria Wala kuota Kama Jambo lile linaweza kutokea, maana kwetu watanzania lilikuwa Ni Jambo geni sana ambalo halijawahi kutokea,

Hapa shukurani zangu za kipekeee kabisa lazima liviendee vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vilivyohakikisha kuwa mipaka yetu na nchi yetu inaendelea kuwa salama kabisa, lakini pia Namshukuru mwenyezi Mungu ambaye siku zote amekuwa nasi watanzania kwa kutuvusha salama salmini katika kipindi kigumu, lakini pia nawashukuru viongozi wetu wastaafu na hata waliopoo madarakani waliohakikisha nchi inakuwa na utulivu na wanatuongoza watanzania kuvuka salama katika bonde lile la uvuli, Asante pia kwa watanzania kwa namna ambavyo tulibaki watulivu na kuungana Kama Taifa mpaka mwisho wa kuhitimisha safari yake Hayati Magufuli katika nyumba yake ya Milele kule CHATO

Ndugu zangu macho yetu watanzania ndani na nje ya mipaka yetu yakaelekezwa kwa Mama huyu shupavu, mwenye moyo wa huruma upendo na unyenyekevu ulio jaa hekima busara Subira na Aliyejaa hofu ya Mungu, mwenye upendo wa kweli kwa watu na mzalendo wa dhati kwa nchi yetu, msikivu na mwenye kumaanisha kile akitamkacho, mwenye kuchuja maneno na kuchunga ulimi wake

Mh Rais wetu mpendwa Taratibu akaanza kufufua na kuinua matumaini ya watanzania ambayo wakati huo Tulikuwa Tumetoka kwenye majonzi na mshituko, akaanza kuwa mfariji wetu, Akaanza kutufuta machozi, Akaanza kutushika mikono kutunyanyua tulipo kaa ili tuanze safari ya Kuendelea kazi ya kuijenga nchi yetu kwa kauli yake ya kazi iendelee, Akaanza kutuunganisha watanzania kukabili maadui wetu wa ujinga umasikini maradhi Rushwa na ufisadi

Kuna watu walikuwa wamekata Tamaa, Kuna watu walikuwa wanatamani hata kuona kila baya linaipata Tanzania, lakini mama huyu Hodari akazizima roho hizo chafu na kupanda mbegu za upendo na uzalendo katika mioyo watanzania, Ndio maana unaona Leo hii Taifa Ni moja likisonga kwa pamoja,

Hivyo ndugu zangu kwa kuyawaza hayo Nikaona kuwa Ili kuonyesha kutambua mchango wa Rais huyu Hodari haina budi kwa Chuo Kama UDSM kumpa Udaktari wa Heshima mh Rais wetu mpendwa katika uongozi na mahusiano ya kimataifa, sote Ni mashahidi namna mh Rais wetu alivyoliongoza vyema Taifa letu kutoka katika kipindi hicho na namna maendeleo mbalimbali yalivyopatikana, kwani Tumeona namna miradi mingi ilivyojengwa na hata kuendeleze Ile iliyokuwa imeanza kujengwa

Tumeona namna alivyojenga umoja wa kitaifa na mshikamano wa watanzania, Tumeona namna nchi yetu ilivyopata mafuriko ya watalii pamoja na wawekezaji baada ya kuimarisha diplomasia yetu, Tumeona namna alivyoimarisha demokrasia na mahusiano mema na vyama vya upinzani kwa kuwachukulia wapinzani Kama wadau wa maendeleo na kuamini kuwa tunaweza tukatofautiana lakini bado tukaijenga nchi yetu kwa pamoja na tukajivunia mafanikio yetu kwa pamoja

Ni vyema atunukiwe na kupewa heshima hiyo ili Kuendelea kumpa faraja ya kusonga mbele zaidi na kuliinua Taifa hili kiuchumi, Nimependekeza UDSM maana najuwa ndio chuo kikongwe hapa nchini ambacho huwezi ukakiweka kando katika maendeleo tuliyoyafikia Leo hii kupitia wasomi wake waliopita na kupikwa pale,

Niseme tu ukweli Mimi LUCAS Mwashambwa Kama kijana nimetokea kuvutiwa na kuridhishwa Sana na uongozi wa mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani, Ni Imani yangu kuwa ombi hili litapokelewa na kutafakariwa vyema, Apewe tu maana Anastahili kupewa, Ametutoa pagumu Sana watanzania mpaka kufika hapa tulipo, maana amepokea nchi kipindi Cha mdororo wa uchumi Duniani

Kazi iendeleee, Mh Rais Samia Ndiye Joshua wetu atakayetufikisha Kanaan, Mama ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka na wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Heshima toka chuo kikuu cha Daresalam ina hadhi gani?
 
Ni kweli maana ni chuo cha mchongo hivyo hata wakimpa ni sawa tu.
Ila ndugu yangu Tindo nakwambia kuwa ipo siku Kama Mwenyezi Mungu anatujaria uhai utakuja uje hapa jukwaani kuomba mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani Arudi kutuongoza hata Kama atakuwa amesha staafu utumishi wake kwetu watanzania Kama Rais wa nchi,

watu aina ya mama Samia wenye moyo wa upendo kwa watu wake huwa Hawazaliwi kila siku hapa Duniani, Mama Samia no zawadi kwetu watanzania, Najuwa wengine hamuioni thamani yake kwa kuwa tupo Naye na munaona Ni Haki yenu kwa kila kitu akifanyacho na kwamba hastahili kupongezwa, siku itafika mtayakimbia maneno yenu wenyewe
 
Ila ndugu yangu Tindo nakwambia kuwa ipo siku Kama Mwenyezi Mungu anatujaria uhai utakuja uje hapa jukwaani kuomba mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani Arudi kutuongoza hata Kama atakuwa amesha staafu utumishi wake kwetu watanzania Kama Rais wa nchi,

watu aina ya mama Samia wenye moyo wa upendo kwa watu wake huwa Hawazaliwi kila siku hapa Duniani, Mama Samia no zawadi kwetu watanzania, Najuwa wengine hamuioni thamani yake kwa kuwa tupo Naye na munaona Ni Haki yenu kwa kila kitu akifanyacho na kwamba hastahili kupongezwa, siku itafika mtayakimbia maneno yenu wenyewe

Sisi tunataka katiba bora sio mtu. Sifa zetu tunapeleka kwenye katiba na sio mtu. Kama katiba bora imemshinda, msifie ww unayepata ugali kwa huruma yake.
 
Sisi tunataka katiba bora sio mtu. Sifa zetu tunapeleka kwenye katiba na sio mtu. Kama katiba bora imemshinda, msifie ww unayepata ugali kwa huruma yake.
Kenya hapo mnawasifia kuwa Wana katiba Bora na Ni hapo hapo kenya ambapo Odinga analia Lia kuwa haki haijatendeka, Katiba itasimamiwa na watu, Hivyo hata katiba iwe Bora lakini Kama hakuna utashi wa watu kuiheshimu na kuifuata Basi itakuwa Ni kazi bure, Tumuunge mkono Rais wetu kwa kuendesha nchi yetu kwa kufuata misingi ya Sheria na utawala bora
 
Kenya hapo mnawasifia kuwa Wana katiba Bora na Ni hapo hapo kenya ambapo Odinga analia Lia kuwa haki haijatendeka, Katiba itasimamiwa na watu, Hivyo hata katiba iwe Bora lakini Kama hakuna utashi wa watu kuiheshimu na kuifuata Basi itakuwa Ni kazi bure, Tumuunge mkono Rais wetu kwa kuendesha nchi yetu kwa kufuata misingi ya Sheria na utawala bora

Hatuangalii nani analia, tunaangalia mchakato mzima ulivyokuwa. Raila alipata hadi nafasi ya kudhibitisha madai yake kwenye mahakama huru na akashindwa. Matokeo na mwenendo wa uchaguzi wa Kenya ulikuwa bora mara elfu ya huu wetu.
 
Ndugu zangu hayo Ni mapendekezo yangu binafsi baada ya kuwa nimekaa kwa muda mrefu nikifuatilia utendaji kazi wa mh Rais Samia na kufikiria namna mh Rais wetu mpendwa alivyoipokea na kukabidhiwa nchi yetu Katikati ya wingu zito la majonzi na simanzi kubwa ya kuondokewa na Rais wetu Hayati Daktari John Pombe Magufuli

Ndugu zangu ilikuwa Ni mshituko mkubwa Sana kwetu watanzania kuondokewa na Rais aliyepo madarakani, kwani hakuna aliyekuwa akiwaza Wala kufikiria Wala kuota Kama Jambo lile linaweza kutokea, maana kwetu watanzania lilikuwa Ni Jambo geni sana ambalo halijawahi kutokea,

Hapa shukurani zangu za kipekeee kabisa lazima liviendee vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vilivyohakikisha kuwa mipaka yetu na nchi yetu inaendelea kuwa salama kabisa, lakini pia Namshukuru mwenyezi Mungu ambaye siku zote amekuwa nasi watanzania kwa kutuvusha salama salmini katika kipindi kigumu, lakini pia nawashukuru viongozi wetu wastaafu na hata waliopoo madarakani waliohakikisha nchi inakuwa na utulivu na wanatuongoza watanzania kuvuka salama katika bonde lile la uvuli, Asante pia kwa watanzania kwa namna ambavyo tulibaki watulivu na kuungana Kama Taifa mpaka mwisho wa kuhitimisha safari yake Hayati Magufuli katika nyumba yake ya Milele kule CHATO

Ndugu zangu macho yetu watanzania ndani na nje ya mipaka yetu yakaelekezwa kwa Mama huyu shupavu, mwenye moyo wa huruma upendo na unyenyekevu ulio jaa hekima busara Subira na Aliyejaa hofu ya Mungu, mwenye upendo wa kweli kwa watu na mzalendo wa dhati kwa nchi yetu, msikivu na mwenye kumaanisha kile akitamkacho, mwenye kuchuja maneno na kuchunga ulimi wake

Mh Rais wetu mpendwa Taratibu akaanza kufufua na kuinua matumaini ya watanzania ambayo wakati huo Tulikuwa Tumetoka kwenye majonzi na mshituko, akaanza kuwa mfariji wetu, Akaanza kutufuta machozi, Akaanza kutushika mikono kutunyanyua tulipo kaa ili tuanze safari ya Kuendelea kazi ya kuijenga nchi yetu kwa kauli yake ya kazi iendelee, Akaanza kutuunganisha watanzania kukabili maadui wetu wa ujinga umasikini maradhi Rushwa na ufisadi

Kuna watu walikuwa wamekata Tamaa, Kuna watu walikuwa wanatamani hata kuona kila baya linaipata Tanzania, lakini mama huyu Hodari akazizima roho hizo chafu na kupanda mbegu za upendo na uzalendo katika mioyo watanzania, Ndio maana unaona Leo hii Taifa Ni moja likisonga kwa pamoja,

Hivyo ndugu zangu kwa kuyawaza hayo Nikaona kuwa Ili kuonyesha kutambua mchango wa Rais huyu Hodari haina budi kwa Chuo Kama UDSM kumpa Udaktari wa Heshima mh Rais wetu mpendwa katika uongozi na mahusiano ya kimataifa, sote Ni mashahidi namna mh Rais wetu alivyoliongoza vyema Taifa letu kutoka katika kipindi hicho na namna maendeleo mbalimbali yalivyopatikana, kwani Tumeona namna miradi mingi ilivyojengwa na hata kuendeleze Ile iliyokuwa imeanza kujengwa

Tumeona namna alivyojenga umoja wa kitaifa na mshikamano wa watanzania, Tumeona namna nchi yetu ilivyopata mafuriko ya watalii pamoja na wawekezaji baada ya kuimarisha diplomasia yetu, Tumeona namna alivyoimarisha demokrasia na mahusiano mema na vyama vya upinzani kwa kuwachukulia wapinzani Kama wadau wa maendeleo na kuamini kuwa tunaweza tukatofautiana lakini bado tukaijenga nchi yetu kwa pamoja na tukajivunia mafanikio yetu kwa pamoja

Ni vyema atunukiwe na kupewa heshima hiyo ili Kuendelea kumpa faraja ya kusonga mbele zaidi na kuliinua Taifa hili kiuchumi, Nimependekeza UDSM maana najuwa ndio chuo kikongwe hapa nchini ambacho huwezi ukakiweka kando katika maendeleo tuliyoyafikia Leo hii kupitia wasomi wake waliopita na kupikwa pale,

Niseme tu ukweli Mimi LUCAS Mwashambwa Kama kijana nimetokea kuvutiwa na kuridhishwa Sana na uongozi wa mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani, Ni Imani yangu kuwa ombi hili litapokelewa na kutafakariwa vyema, Apewe tu maana Anastahili kupewa, Ametutoa pagumu Sana watanzania mpaka kufika hapa tulipo, maana amepokea nchi kipindi Cha mdororo wa uchumi Duniani

Kazi iendeleee, Mh Rais Samia Ndiye Joshua wetu atakayetufikisha Kanaan, Mama ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka na wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti
Kwani udaktari wa heshima una nini. Hii tabia ya vyuo kugawa digrii za udaktari wa heshima kama njugu imechangia pia kudidimiza heshima na ubora wa vyuo, kwa mfano UDOM imekuwa ni digrii mill kubwa Tanzania
 
Kwani udaktari wa heshima una nini. Hii tabia ya vyuo kugawa digrii za udaktari wa heshima kama njugu imechangia pia kudidimiza heshima na ubora wa vyuo, kwa mfano UDOM imekuwa ni digrii mill kubwa Tanzania
Walioanzisha mfumo huo wa kutambua michango ya watu katika maeneo tofauti tofauti siyo wajinga
 
Unafikiri hata ninyi hapa mtaacha kulia Lia?
Hatuangalii nani analia, tunaangalia mchakato mzima ulivyokuwa. Raila alipata hadi nafasi ya kudhibitisha madai yake kwenye mahakama huru na akashindwa. Matokeo na mwenendo wa uchaguzi wa Kenya ulikuwa bora mara elfu ya huu wetu.
 
Walioanzisha mfumo huo wa kutambua michango ya watu katika maeneo tofauti tofauti siyo wajinga
Huo mfumo wa kutoa digrii za honoris causa haufanyi kazi yake hivyo unavyotaka wewe. Mimi niko kwenye kamati ya kutafuta, kutathmini na kupendekeza honoree wa chuo chetu ambaye hupata heshima hiyo ya honoris kwa kila semester. Hizo hazitolewi kwa vigezo vidogo kama unavyotaja hapo.
 
Tume siyo inayochagua Bali kazi yake Ni kumtamgaza mshindi, Sasa nyie mnazani mtatangazwa na Nani kuwa Ni washindi wakati wananchi walishawapuuza baada ya kuwa mmekosa Sera ajenda na hoja zenye ushawishii kwa wananchi wanyonge, Hamuwezi mkapata kura kutoka kwa watanzania wa Sasa,
Hatulii kama maigizo bali vilio vya haki, ndio maana tunahitaji katiba mpya na tume huru ya uchaguzi kama hutaona CCM ndio wanalia.
 
Tume siyo inayochagua Bali kazi yake Ni kumtamgaza mshindi, Sasa nyie mnazani mtatangazwa na Nani kuwa Ni washindi wakati wananchi walishawapuuza baada ya kuwa mmekosa Sera ajenda na hoja zenye ushawishii kwa wananchi wanyonge, Hamuwezi mkapata kura kutoka kwa watanzania wa Sasa,

Kwa taarifa yako siku tume itakuwa huru baada ya machafuko, ndio utajua kuwa CCM sio chama cha kizazi hiki. Hizo porojo za sera kawapeni wale mifugo mnaowabeba kwenye malori na kuishia kuwalisha propaganda mfu. Ukiona chama kinategemea vyombo vya dola, na tume isiyo huru ya uchaguzi kukaa madarakani kwa shuruti, basi ujue kimefikia mwisho wa uwezo wake.
 
Back
Top Bottom