Uchakavu wa miondombinu chuo kikuu Cha kilimo (SUA) na mazimbu campus

Gaitonde

Member
Sep 5, 2022
70
170
Salaam

Kwa waliopo SUA na Mazimbu campus kwasasa au wamepita hivi Karibu nadhan hawatashangazwa na hili.

Hiki chuo miondombinu yake imechoka Sana kuanzia ofisi, madarasa, vyoo, hostel Hadi maabara zimechoka mno
Vyoo ndo kabisa barabara nazo shida kwa kweli mazingira yake hayafanani na chuo kikuu.

Campus ya mazimbu ndo kabisa unaweza dhani sijui upo secondary kuna darasa lipo nje mvua ya upepo ikinyesha inabid kipindi kihairishwe.

Serikali angalieni hili kile ni chuo chenu Wala sio Cha private rekebisheni miondombinu kabla haijaleta madhara

Nawasilisha.

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
SUA kama SUA,,,Hivi hostel za WAMI pale mjini kati karibu na kahumba au soko kuu bado zinafanya kazi?
 
Salaam

Kwa waliopo SUA na Mazimbu campus kwasasa au wamepita hivi Karibu nadhan hawatashangazwa na hili.

Hiki chuo miondombinu yake imechoka Sana kuanzia ofisi, madarasa, vyoo, hostel Hadi maabara zimechoka mno
Vyoo ndo kabisa barabara nazo shida kwa kweli mazingira yake hayafanani na chuo kikuu.

Campus ya mazimbu ndo kabisa unaweza dhani sijui upo secondary kuna darasa lipo nje mvua ya upepo ikinyesha inabid kipindi kihairishwe.

Serikali angalieni hili kile ni chuo chenu Wala sio Cha private rekebisheni miondombinu kabla haijaleta madhara

Nawasilisha.

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Serikali bado haijapata ruhusa toka Afrika Kusini waliojenga majengo hayo.
 
Kwani SUA hawez kufanya miundombinu wenyewe Hadi wasubir Serikali maana Kama ni pesa wanapata ya kutosha kwenye miradi na Ada
 
Back
Top Bottom