the_forum
JF-Expert Member
- Apr 28, 2017
- 774
- 1,001
Kudadeqndiyo
Kudadeqndiyo
Jambo zuri,Kwa mhitimu wa kiswahili huko China Fursa yake kubwa ni ipi?Namaanisha wanaosoma kiswahili huwa wanafanya kazi katika maeneo gani huko?Bwana Dickson tuna walimu watatu, wawili ni Wachina na mwingine ni Mkenya
wewe bakarini muhuni tu
Bakari ni kama unatuchezea akili mzee, hiki kiswahili ni cha kujifunza hiki?pia kiingereza nimejua, lakini napenda kutumia kiswahili zaidi kuliko kiingereza kwa sababu sasa hivi ninajifunza kiswahili labda iko siku nitakapojifunza kifaransa
Huyu ni mwanafunzi wa kiswahili wamejaa sana humu JF na kuna wale wa pale UDSM Confucius wamepewa na majina ya Kibongo kabisa.Angalia nidhamu yake ya uandishi utaelewaBakari ni kama unatuchezea akili mzee, hiki kiswahili ni cha kujifunza hiki?
Sure, lkn atakua na ubongo makini sana!Huyu ni mwanafunzi wa kiswahili wamejaa sana humu JF na kuna wale wa pale UDSM Confucius wamepewa na majina ya Kibongo kabisa.Angalia nidhamu yake ya uandishi utaelewa
Huyu ni mwanafunzi wa kiswahili wamejaa sana humu JF na kuna wale wa pale UDSM Confucius wamepewa na majina ya Kibongo kabisa.Angalia nidhamu yake ya uandishi utaelewa
Lione hili nalo sijui limetoka wapi
Baba ya juma ni broken mkuuShikamoo Bwana Chilumendo
Kiswahili cha Kenya kinatofautiana kidogo na cha Tanzania, kama vile mwalimu wetu ambaye anatoka Kenya alitwambia kuwa Wakenya wanasema BABA YA JUMA wala si BABA WA JUMA...lakini walimu wetu wengine Upendo na Johnny wamewahi kufanya kazi/kujifunza nchini Tanzania na wametwambia kuwa hizi zote ni sawasawa...