Bakari China
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 251
- 583
- Thread starter
- #21
yeye ni mchina pia?Juma sharobaro ndugu yako?
yeye ni mchina pia?Juma sharobaro ndugu yako?
Yeah mchek instagramyeye ni mchina pia?
Tubadilishane taaluma nawafundisha kiswahili na nyinyi mtanifundisha kung fu that's deal..karibu hapa China ndugu yangu
beka nataka kujifunza kichina cha kuombea majikaribu hapa China ndugu yangu
kwani mimi ni mhuni ndugu yangu😂wewe bakarini muhuni tu
alaa...Kichina ni rahisi sana. ntafurahi sana kama ukitaka kujifunzabeka nataka kujifunza kichina cha kuombea maji
Nipe namba zako za watsapp unifundishe kichina na mimi nizidi kukufundisha kiswahili faswaha swariiyhatan...Nitumie namba zako PM tufundishane kijanaalaa...Kichina ni rahisi sana. ntafurahi sana kama ukitaka kujifunza
ndugu yangu Safuher siwezi kutembelea whatsapp kwa sababu whats app si available hapa China...Nipe namba zako za watsapp unifundishe kichina na mimi nizidi kukufundisha kiswahili faswaha swariiyhatan...Nitumie namba zako PM tufundishane kijana
Si available = haipatikanindugu yangu Safuher siwezi kutembelea whatsapp kwa sababu whats app si available hapa China...
je una namba ya qq au wechat? hizi ni available nchini China, tukutane ktk qq au wechat
nashukuru mkuuNi available = zinapatikana
Nihao Bakari,Mpe Hi JUma Mchina wa MZENGA MANERUMANGO.idara yetu imeanza tangu Sep Mwaka 2018. Sasa tumeshamaliza masomo ya mwaka wa kwanza, Sep ijayo tutaingia daraja la pili.
ni hao ndugu yangu. ni hui shuo zhong wen ma?Nihao Bakari,Mpe Hi JUma Mchina wa MZENGA MANERUMANGO.
ngoja nidownload wechat kwanzaalaa...Kichina ni rahisi sana. ntafurahi sana kama ukitaka kujifunza
Nope,je parle anglais,francais et swahili.ni hao ndugu yangu. ni hui shuo zhong wen ma?
haha😄nilichosema ni Kichina. Kifaransa sielewi, lakini natumai kujifunza KifaransaNope,je parle anglais,francais et swahili.
Upo vizuri kwa kiswahili,kifaransa rahisi tu kama kiingereza kinapanda basi french ni kama kumsukuma mlevi.haha😄nilichosema ni Kichina. Kifaransa sielewi, lakini natumai kujifunza Kifaransa
pia kiingereza nimejua, lakini napenda kutumia kiswahili zaidi kuliko kiingereza kwa sababu sasa hivi ninajifunza kiswahili😄 labda iko siku nitakapojifunza kifaransaUpo vizuri kwa kiswahili,kifaransa rahisi tu kama kiingereza kinapanda basi french ni kama kumsukuma mlevi.