Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,254
- 34,205
- Thread starter
-
- #21
Mimi sii mtaalamu wa hayo mambo, kama nimekosea niwie radhi, ila atleat tuwape credit kwa kahatua kadogo waliko piga.Mkuu acha kujisahsulisha kama hao virus walitoka kwa popo
Hujui maana ya tafit wewe..nchi zote zilizoendelea zimefanikiwa kwa ajil ya tafit za kisayansi na zingine..ww unaongelea matapu tapu sijui kusukuma life..kama ww unasukuma life ndo mana limekushinda..life halisukumwii kwan sio gari hilo..Nyie madogo mkitokaga na hizo bla bla huko ndio mnakuja kusumbua hakuna kazi, just do what's yours guy. Chuo kishike namba kisishike we soma maliza focus kwenye life yako.. watu hata shule hawajaenda wanasukuma life za maana nyie ni kukomaa na university rankings. Why should you care anyways?
Wengi wao ni either wamesoma "jalalani" au walisha pita SUA wakaliwa kichwa...
Ungedhania kuona nini ukifika pale?SUA ni jina na sifa tu,ila hakuna lolote pale,ukifika ukaambiwa hiki ndio chuo cha kilimo,utapata maswali mengi sana na hakuna wa kuweza kujibu.
Soma komenti namba 4 hapo juu...wanafanya tafiti,za ku gain publicity na sio productivity.naweza kutumia lugha hiyo.maana hatuoni hizo tafiti zikiwafikia wananchi huku chini,tafiti ambazo zinawekwa tu kwenye mafail Basi ,badala ya kuzisambaza kwa wanufaika.sua wamegundua tafiti nyingi lakini zinabaki maktaba tu,hazitoki nje,na hiyo ndo kero kubwa kwa Hawa watafiti wetu. Hawana hata exra strategy za kuzifanya tafiti zao ziwafikie walengwa na sio kuwafikia tu bali zitoe impact.
Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Kuna vijitu hata ukiviuliza vinawaza nini havijui. Labda alitari akute matuta ya viazi hapo!Ungedhania kuona nini ukifika pale?
Ukiingia main campas unapokewa na shamba kubwa la maembe! sasa sijui alitaka kuona nini tena! wenda alitaka kuona warembo wa mlimani city...Kuna vijitu hata ukiviuliza vinawaza nini havijui. Labda alitari akute matuta ya viazi hapo!
UDSM ya pili!!!Moja kati ya kazi kuu za chuo chochote duniani ni TAFITI.
Chuo chochote hapa duniani kitaonekana bora kama kina wana sayansi (academicians) bora walio tuliza akili na kuandaa tafiti na ku publish tafiti zao kwenye juornal za kitaifa na kimataifa!
Kwa kuongoza kwenye citation ni ishara wazi kwamba SUA wana wanasayansi wanao fanya tafiti zenye tija duniani!
Na hii ndio sababu kuu wamekamata namba moja Tanzania!
Wakati madokta na maprofesa wa vyuo vingine wakitumia muda mwingi kuunga juhudi na kupiga siasa, hali ni tofauti kwa SUA!
Mimi kama Mtanzania mzalendo nachukua nafasi hii kukipongeza chuo kikuu cha kilimo Sokoine kwa hatua hii!!
Webometrics Ranking: Sokoine University of Agriculture ranked first place in citations
TRANSPARENT RANKING: Top Universities by Citations in Top Google Scholar profiles | Ranking Web of Universities: Webometrics ranks 30000 institutions
View attachment 1709313
Hata kuwa nafasi ya pili wamejitahidi mkuu, hamna kitu kigumu kama kufanya tafiti!!UDSM ya pili!!!
Hawajatengeneza hata mtambo wa kufyatua toothpick tu
Hongera zao sana, Sio haba chuo changu kipo juu pia.Moja kati ya kazi kuu za chuo chochote duniani ni TAFITI.
Chuo chochote hapa duniani kitaonekana bora kama kina wana sayansi (academicians) bora walio tuliza akili na kuandaa tafiti na ku publish tafiti zao kwenye juornal za kitaifa na kimataifa!
Kwa kuongoza kwenye citation ni ishara wazi kwamba SUA wana wanasayansi wanao fanya tafiti zenye tija duniani!
Na hii ndio sababu kuu wamekamata namba moja Tanzania!
Wakati madokta na maprofesa wa vyuo vingine wakitumia muda mwingi kuunga juhudi na kupiga siasa, hali ni tofauti kwa SUA!
Mimi kama Mtanzania mzalendo nachukua nafasi hii kukipongeza chuo kikuu cha kilimo Sokoine kwa hatua hii!!
Webometrics Ranking: Sokoine University of Agriculture ranked first place in citations
TRANSPARENT RANKING: Top Universities by Citations in Top Google Scholar profiles | Ranking Web of Universities: Webometrics ranks 30000 institutions
View attachment 1709313
Watanzania Wana wivu Sana
Hadi kupongeza tu hamtaki!!chaaa!!
Kuna kitu kinaitwa tafiti! Kama unazingua kwenye tafiti hata kama ukiwa juu mbinguni jua kuna siku utashushwa tu!!Hongera zao sana, Sio haba chuo changu kipo juu pia.
Uwage na staha bas khaaaah, kuita chuo kingine ni "jalalani".Wengi wao ni either wamesoma "jalalani" au walisha pita SUA wakaliwa kichwa...
Linaeleweka hilo.Kuna kitu kinaitwa tafiti! Kama unazingua kwenye tafiti hata kama ukiwa juu mbinguni jua kuna siku utashushwa tu!!
Sorry mkuu, nimemnukuu profesa kabudi! Kama hujui kabudi kasoma pale na kufundisha pia, nadhani ametumia zaidi ya miaka 30 akiwa pale! sasa sio mtu wa kumdharau, analosema lina uzito hata when it comes to "pale".Uwage na staha bas khaaaah, kuita chuo kingine ni "jalalani".
Sio ustaarabu.
Kwanini hivyo vyuo vingine visiwe bora kwenye Kozi zao?Kwa sababu kina kozi nyingi ambazo zinasapoti utafiti hasa Mifugo, Kilimo na Mazingira.
Kwa kweli sijui! angalia link iko hapo!Na cha kwetu Teofile kisenge tumeshika no ngp mkuu??? ππ