Jodeo
JF-Expert Member
- Mar 10, 2015
- 1,286
- 1,326
Unataka wakipublish tafiti zao waje hapo kwenye chumba kilichojaa panya na mende wakuletee copy? Uliwahi ona wapi maarifa yanamtafuta mtu na Siyo mtu kuyatafuta maarifa?Mbona hizo tafiti hatuzioni kwenye kutatua changamoto za kila siku za wananchi, kwenye statitistics Tz tuko safi ila practically impact Zero, Mwaka unaisha husikie uvumbuzi wowote kutoka katika hivyo vyuo.
Ngoja watakuletea copy