Billion Dolar
JF-Expert Member
- Apr 7, 2021
- 1,440
- 3,249
Mtume mtu wako wa karibu aliye dodoma usilie lie jamiiforum.com huku hatukusaidii tuko busy na biashara zetu kama mimi hapa nina takiwa nikate ticket ya ndege kwenda Malaysia mambo ya chuo cha madini nitajuajeNina mtoto wangu amemaliza form four, amechaguliwa kwenda kusoma mining engineering chuo cha madini dodoma (MRI) nimejaribu kufuatilia website ya chuo hawana, nimepiga simu zao +255 26 230 0472 za ofisi zimefungiwa hawajalipa bill muda mrefu, nimetuma email zimekuwa rejected kwa maana email hizo hazipo.
info@mri.ac.tz
principal@mri.ac.tz
kama kuna mtu anawajua vizuri hiki chuo msaada tafadhali namna ya kuwafikia kwa njia za kisasa sio kusafiri kwenda dodoma. namna ya kufanya application ama kuconfirm selection maana hawajitangazi, hawafanyi kila kitu nimesearch tu hata taarifa zao zipo kwa uchache sana mpaka nawaza kama hamna kitu pale
kama hujui whya umecoment si ungenyamaza tu,nimeomba kwa wanaokifahamu chuo.Mtume mtu wako wa karibu aliye dodoma usilie lie jamiiforum.com huku hatukusaidii tuko busy na biashara zetu kama mimi hapa nina takiwa animate ticket ya ndege kwenda Malaysia mambo ya chuo cha madini nitajuaje
Hivi ndivyo inavyotakiwa Sasa. Unampa mtu info. Siyo tiketi za ndege sijui ujinga ganiPale ni bonge la Chuo mzee.
Kuna shule nzito na ngumu kweli kweli.
Kama kijana wako amechaguliwa pale ni kichwa haswa.
Kipo karibu na Chuo cha Mipango Dodoma (IRDP)
Kunaitwa Mipango - Anashuka Mipango (Miyuji ) kwenda madini ni Dakika 5 tu....
Nenda Dodoma
Usichezee hiyo Fursa adhimu Dogo akitoka hapo uhakika ni mkubwa kwenda GGM.
Ungemuuliza kwani wewe unahitaji kujua mambo ya biashara zake au mambo ya tickets?kama hujui whya umecoment si ungenyamaza tu,nimeomba kwa wanaokifahamu chuo.
Kipo mkuu ni njia ya kwenda Arusha kutoka Dodoma,kipo karibu na chuo cha mipango.Nina mtoto wangu amemaliza form four, amechaguliwa kwenda kusoma mining engineering chuo cha madini dodoma (MRI) nimejaribu kufuatilia website ya chuo hawana, nimepiga simu zao +255 26 230 0472 za ofisi zimefungiwa hawajalipa bill muda mrefu, nimetuma email zimekuwa rejected kwa maana email hizo hazipo.
info@mri.ac.tz
principal@mri.ac.tz
kama kuna mtu anawajua vizuri hiki chuo msaada tafadhali namna ya kuwafikia kwa njia za kisasa sio kusafiri kwenda dodoma. namna ya kufanya application ama kuconfirm selection maana hawajitangazi, hawafanyi kila kitu nimesearch tu hata taarifa zao zipo kwa uchache sana mpaka nawaza kama hamna kitu pale
GGM hatupokei hao..chuo kilisha shuka kiwango..ilikuwa zamani..Chuo chenye Madeni mpaka kinakatiwa huduma muhimu za simu na Intaneti hakiwezi kutoa Injinia mahiri wa Mining...Pale ni bonge la Chuo mzee.
Kuna shule nzito na ngumu kweli kweli.
Kama kijana wako amechaguliwa pale ni kichwa haswa.
Kipo karibu na Chuo cha Mipango Dodoma (IRDP)
Kunaitwa Mipango - Anashuka Mipango (Miyuji ) kwenda madini ni Dakika 5 tu....
Nenda Dodoma
Usichezee hiyo Fursa adhimu Dogo akitoka hapo uhakika ni mkubwa kwenda GGM.
Wanaamka na pombe!Hivi ndivyo inavyotakiwa Sasa. Unampa mtu info. Siyo tiketi za ndege sijui ujinga gani
Hawezi kuwa Engineer kutoka kwenye Chuo chenye Madeni ya huduma za simu na Intaneti bwana.Nina mtoto wangu amemaliza form four, amechaguliwa kwenda kusoma mining engineering chuo cha madini dodoma (MRI) nimejaribu kufuatilia website ya chuo hawana, nimepiga simu zao +255 26 230 0472 za ofisi zimefungiwa hawajalipa bill muda mrefu, nimetuma email zimekuwa rejected kwa maana email hizo hazipo.
info@mri.ac.tz
principal@mri.ac.tz
kama kuna mtu anawajua vizuri hiki chuo msaada tafadhali namna ya kuwafikia kwa njia za kisasa sio kusafiri kwenda dodoma. namna ya kufanya application ama kuconfirm selection maana hawajitangazi, hawafanyi kila kitu nimesearch tu hata taarifa zao zipo kwa uchache sana mpaka nawaza kama hamna kitu pale
Inawezekana kwakweliWanaamka na pombe!
Maana ya kuwemo humu ni mafunzo,burudani na connection nk,kweli stress mkuu!Inawezekana kwakweli
Strees za maisha pia
Shukran kiongoziKama hata hii email haipo hewani registrar@mri.ac.tz,
Jaribu kuwapigia NACTVET 0800110388, 0736 310 311.
Waeleze shida yako, itakuwa rahisi wao kukusaidia sababu wanafanya nao kazi.
Fatanua Kwanini Amtoe HapoMtoe apo uyo dogo