Zunayrah
Member
- Apr 2, 2019
- 18
- 20
Habari zenu wakuu!
Naomba msaada wenu juu ya hili. Nataka kusomea Cabin Crew Training, chuo cha Anga cha Air Tanzania... Nina vigezo vyote na haswa Lugha ispokua sina kigezo kimoja tu.. sina cheti cha form 4. Je, hili linaweza kukwamisha kutimiza ndoto zangu? Au wanaweza wakanikubali na kunipa nafasi wakiona juhudi zangu? Naombeni ushauri wenu. Ahsanteni.
Naomba msaada wenu juu ya hili. Nataka kusomea Cabin Crew Training, chuo cha Anga cha Air Tanzania... Nina vigezo vyote na haswa Lugha ispokua sina kigezo kimoja tu.. sina cheti cha form 4. Je, hili linaweza kukwamisha kutimiza ndoto zangu? Au wanaweza wakanikubali na kunipa nafasi wakiona juhudi zangu? Naombeni ushauri wenu. Ahsanteni.