Endangered
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 922
- 228
I see no major problems in this video at all!!
Usiandikie mate na wino upo, tuwekee tuone.
na wewe sasa jamaa yalikuwa maoni yake yametoka wapi hayo yakutumiwa na muovu,
ndo ninyi mkiona nyoka mnasema mnalogwa, sijaona ubaya wa video hii but wewe ndo umenikwaza na maneno yako!
Unapendaeee!!!Usiandikie mate na wino upo, tuwekee tuone.
Mkiona kwaya ya Nakonde Zambia wanakata mauno kama akina Aisha madinda sijui mtasemaje?
Mkuu mbona haya mambo ni ya kawaida sana siku hizi!wakubwa naheshimu kuwa ninyi mnaona kinachofanyika katika video ni sahihi.............Haya ni mambo ya kiimani......mfano sabato hawaruhusu uchezaji wa kujitikisa kwa aina yeyote ile.........mim binafsi wimbo huu naupenda sana lakini hii clip sijaipenda........ni vyema wanaomtumikia Mungu wakawa humble na kujitofautisha na twana pepeta na Fm academia.........kinachofanyika katika hii video hakijanifanya nihisi uwepo wa roho mtakatifu katika eneo hilo..........mim sikubaliani na mauno na kutoonyesha unyenyekevu wakati wa kuimba nyimbo zinazomhusu Mungu.....kama kwaya ya zambia na Rebeca malope wanakata mauno hiyo hainifanyi nione vitendo hivyo ni sawa..........siku wakitangaza kuwa kwenye hizo kwaya kuna mashoga na wasagaji na wao wanaona sawa mtataka na sisi pia tuone ni sawa...........mim sio mlokole wala na ni miongoni wanaompenda Shusho lakini ninamuogopa Mungu,najua anastahili kuheshimiwa na kamwe sio kuimbiwa na watu wanaobehave kama kundi la wavuta bangi wasio onyesha chembe ya kumuheshimu............huu ni mtizamo wangu..................na pia nina heshimu mitazamo yenu wakuu mnaoona siko sahihi kuona anachofanya sio sahihi........................!
mmmh huu ni utata.
kuna nyimbo nimewahi kusikia ya kumsifu Mungu inasema......can you shake that bu** Jesus gave you....
sasa hapa sijui tunasemaje......hii kidogo hata mimi ilinistua.....