father-xmas
JF-Expert Member
- Mar 23, 2010
- 835
- 642
Last edited by a moderator:
huo ubaya mbona siuoni ndugu....? au kwa sababu amechangamka sana.....?
tusimulie basi mdada!!!!
Mkuu ni meiangalia hiyo mara mbili sioni tatizo!!!
Umekereka na nini? ile sketi yake inayobanabana!! huo utakuwa ni udhaifu wako tu....nini? Zile pesa anazotuzwa!
Jamani, msiwe hivyo inawezekana mkawa mnatumiwa na yule mwovu bila kujijua!!
Sasa ungeona mauno ya Rebecca Malope na vijana wake ungesemaje??
ni kwamba sijui wanafanya mazoezi au vipi....lakini wanaonekana wamefurahi......wanashake body zao kidogo.....
naona mtoa mada anataka kusema....kwa nini wanashake....wakati wanaimba nyimbo ya kumsifu Mungu....
kuna nyimbo nimewahi kusikia ya kumsifu Mungu inasema......can you shake that bu** Jesus gave you....
sasa hapa sijui tunasemaje......hii kidogo hata mimi ilinistua.....
Kama unaweza ku-shake those sholders that God gave you, kwa nini usi-shake the pair behind that God gave youkuna nyimbo nimewahi kusikia ya kumsifu Mungu inasema......can you shake that bu** Jesus gave you....
sasa hapa sijui tunasemaje......hii kidogo hata mimi ilinistua.....
Kama unaweza ku-shake those sholders that God gave you, kwa nini usi-shake the pair behind that God gave you
na wewe sasa jamaa yalikuwa maoni yake yametoka wapi hayo yakutumiwa na muovu,mkuu ni meiangalia hiyo mara mbili sioni tatizo!!!
Umekereka na nini? Ile sketi yake inayobanabana!! Huo utakuwa ni udhaifu wako tu....nini? Zile pesa anazotuzwa!
Jamani, msiwe hivyo inawezekana mkawa mnatumiwa na yule mwovu bila kujijua!!
sasa ungeona mauno ya rebecca malope na vijana wake ungesemaje??
Wabongo bwana!
me I shake everything....
Mkuu ni meiangalia hiyo mara mbili sioni tatizo!!!
Umekereka na nini? ile sketi yake inayobanabana!! huo utakuwa ni udhaifu wako tu....nini? Zile pesa anazotuzwa!
Jamani, msiwe hivyo inawezekana mkawa mnatumiwa na yule mwovu bila kujijua!!
Sasa ungeona mauno ya Rebecca Malope na vijana wake ungesemaje??