Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,193
"...hata huko kwenye Nchi vinara wa demokrasia huwa wanafanya mikutano ya hadhara na kupiga porojo za siasa kipindi cha kampeni za uchaguzi pekee na baada ya hapo aliyeshinda huachiwa aendeshe Nchi."
"...sasa huu utamaduni wa eti kila wakati wanasiasa wafanye siasa hata huko Duniani haupo na mbaya zaidi hii tabia inamsukumo mkubwa sana kwenye Nchi zetu za kiafrika hasa hapa kwetu Tanzania." Amesema Chongolo Katibu mkuu wa CCM.
My take: Mama anaupiga mwingi sana.
"...sasa huu utamaduni wa eti kila wakati wanasiasa wafanye siasa hata huko Duniani haupo na mbaya zaidi hii tabia inamsukumo mkubwa sana kwenye Nchi zetu za kiafrika hasa hapa kwetu Tanzania." Amesema Chongolo Katibu mkuu wa CCM.
My take: Mama anaupiga mwingi sana.