Daniel Chongolo anaweza kurejeshwa kwenye ukatibu mkuu wa CCM

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Jul 28, 2022
15,327
9,748
Ndugu zangu Watanzania,

Kilichotokea ni mh Daniel Chongolo kwa hiyari yake mwenyewe ,kwa mapenzi mema kwa chama chetu kwa kuilinda hadhi,sifa na taswira njema ya CCM mbele ya watanzania. kilichofanyika na alichofanya Mh Chongolo ni kuamua kujiweka pembeni ili uchunguzi wa kina ,wazi na huru ufanyike na ukweli ubainike.

Alichofanya Mh Chongolo ni kutotaka kuona chama kikipakwa matope kwa ajili yake kutokana na tuhuma zilizotolewa dhidi yake. amefanya aliyofanya ili chama kisionekana kinafumbia macho na kuwalinda viongozi wakubwa na kuonekana kama hawagusiki panapotokea ukiukwaji wa maadili.ndio maana akaamua kujiweka pembeni ili kuwe na uhuru wa kiuchunguzi huku CCM ikiendelea kubeba imani na kuaminika mbele ya watanzania.

Alichofanya Mh Chongolo ni kutanguliza mbele maslahi ya chama kuliko maslahi yake binafsi.amefanya kitu cha kiungwana ambacho ni nadra sana kukikuta kikifanyika kwenye nchi nyingi za Afrika ambako maslahi binafsi ndio hupewa kipaombele,.ni kitendo cha kijasiri ,kishujaa na cha moyo wa chuma alichokifanya Mh Chongolo.siyo maamuzi mepesi wala rahisi aliyoyafanya .maana angekuwa mwingine angeweza kuamua kuendelea na majukumu yake tu na kuziba masikio yake.

Alichokifanya ndio uongozi wenyewe katika kutimiza ile dhana ya kwamba ukiwa kiongozi au ili uongoze kwa mafanikio ni lazima watu unaowaongoza wakuamini kwa uadilifu wako,tabia yako,matendo yako,Dira yako,maono yako,maneno yako,mipango yako, mikakati yako ndipo wataweza kukupatia ushirikiano na kukufuata katika njia unayowaongoza na kuwapitisha.

Mh Chongolo hajataka kukigawa chama au kutaka kuona chama kikigawanyika kwa sababu yake.anataka kuona CCM Ni moja,wana CCM ni wamoja na wenye dhamira moja ambayo ni kupata ushindi katika kila uchaguzi.ametaka kuona wanaccm wanazungumza lugha moja popote wawapo,ametaka kuona wanaccm wanakisemea chama,kukipigania chama,kukitetea chama ,kukilinda chama na kumlinda mwenyekiti wetu mpendwa kipenzi cha watanzania mama Samia Suluhu Hasssan kwa nguvu zetu zote.hii ndio sababu ya yeye kujiweka pembeni ili ukweli ufahamike na chama kisiwe na doa .

Kwa hiyo basi kama uchunguzi ukafanyika na ukabaini pasipo na shaka ya aina yoyote ile kuwa yote yaliyosemwa yalikuwa ni ya uongo ,uzushi, fitina,chuki binafsi, kupakana matope,visasi,vita ya kuwania madaraka siku za mbele na uchu wa madaraka kwa baadhi ya watu basi Mwenyekiti wetu Taifa anaweza kurudisha tena jina lake kuendelea na ukatibu mkuu wa CCM.

Anaweza kufanya hivyo kwa dhana kuwa kwanza ni kuwalinda waadilifu ili wasitendewe uhuni na uuaji wa sifa njema ya mtu.lakini pia anaweza kufanya hivyo kama sehemu ya kutuma salamu kwa watu kuwa fitina ni mwiko ndani ya CCM Katika kusaka madaraka,pia kutuma ujumbe kuwa uongo na uzushi ni vya muda tu lakini haki ya mtu lazima ipatikane ndani ya CCM ,pia kama sehemu ya kujilinda yeye mwenyewe maana kuna watu katika kukudhoofisha wanaweza kuanza kupiga na kuwa maliza watu wako au wasaidizi wako wa karibu na waaminifu , watii na wanyenyekevu kwako.

waliojitoa na kujitolea kufanya kazi kwa jasho na damu na ukija kushtuka unajikuta umebaki mwenyewe na kuzungukwa na watu wenye nia ovu na dhamira ya kukuangusha wewe mwenyewe ili watwae kiti ulichokalia kwa wepesi sana kwa kukupachikia watu wasio na uchungu na wewe wala uzalendo kwako wala usikivu kwako wala kukuunga mkono wala kukusikiliza au kukuheshimu au kukulinda kwa namna yoyote ile wala kujitoa mhanga kwa ajili yako zaidi ya kukuandalia anguko lako na mwisho wakae pembeni wakipongezana kwa mikakati yao kufanikiwa.

Lakini pia Rais Samia akibaini kuwa tuhuma zilikuwa ni za uongo na uzushi anaweza kumrudisha tena ili kuwapa nguvu na morali ya kazi wale waadilifu na kuwalinda dhidi ya walafi wa madaraka.lakini pia inaweza kuwa sehemu ya kuwanyima ushindi wenye tabia kama hiyo ya kupika majungu.maana wanaweza wakajua kuwa kama fulani ni mwadilifu sana na ndiye kikwazo kwao katika kutimiza malengo yao basi njia rahisi ni kumchafua kwa njia yoyote ile ili atoke na wao kupachika mtu wao kwa kumpigia debe yule wanayejuwa atakuwa daraja la kupitishia ajenda zao lakini atakaye kuwa kama dodoki la kunyonya na kubeba kila kitu atakachoambiwa na wao pasipo kutafakari bali kuomba wimbo wao kama kasuku tu.huku akikaa na kuishi na wewe kinafiki lakini akiwa kipaza sauti cha wengine.maana waliosema siasa ni mchezo mchafu hawakukosea.

Lakini pia Mh Mwenyekiti wetu anaweza asimrudishe na akatoa kalipio kali kwa wote wenye kuhusika na upikaji wa Majungu,fitina na uzushi. Lakini pia ikibainika tuhuma ni za kweli basi mh Rais kama mwenyekiti wa chama anaweza kutoa kalipio kali sana kwa watendaji wote ndani ya chama kuzingatia maadili ya kazi na kujiheshimu katika utekelezaji wa majukumu yao pamoja na maisha yao binafsi kuwa yenye uadilifu. Kwa hiyo itampatia uwanja mkubwa sana Rais Samia kama Mwenyekiti wa chama.itampa jibu afanye nini kwa maslahi mapana ya chama chetu.

Lakini itamhitaji kuwa mtulivu sana katika kufanya uamuzi wa aina yoyote ile.itamhitaji kuomba hekima ya Mungu.itamhitaji kujinyenyekeza mbela za Mungu ili ampe maarifa ya utambuzi na ung'amuzi wa mambo..itamhitaji kwa kila aambiwacho na kushauliwa kukitafakari kwa kina na mapana yeye binafsi kabla ya kufanya maamuzi kama mtu wa mwisho au kukubali.itahitaji kupita katikati ya mistari ya kila sentensi atakayoambiwa.maana wakati mwingine waswahili wanasema kikulacho kinguoni mwako.anayeweza kukuangusha wewe ni yule au wale wa karibu yako na unaowaamini na kuwategemea sana.ndio maana nikasema amtangulize Mungu wake kwa kila jambo.

Huo ulikuwa ni uchambuzi wangu huru ambao haujajikita kusema tuhuma alizotuhumiwa ni za kweli ama siyo za kweli. kitakacho bainisha juu ya hayo ni uchunguzi huru pekee ambao hata mimi mwenyewe siujuwi.

Kazi iendelee,mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kilichotokea ni mh Daniel Chongolo kwa hiyari yake mwenyewe ,kwa mapenzi mema kwa chama chetu kwa kuilinda hadhi,sifa na taswira njema ya CCM mbele ya watanzania. kilichofanyika na alichofanya Mh Chongolo ni kuamua kujiweka pembeni ili uchunguzi wa kina ,wazi na huru ufanyike na ukweli ubainike.

Alichofanya Mh Chongolo ni kutotaka kuona chama kikipakwa matope kwa ajili yake kutokana na tuhuma zilizotolewa dhidi yake. amefanya aliyofanya ili chama kisionekana kinafumbia macho na kuwalinda viongozi wakubwa na kuonekana kama hawagusiki panapotokea ukiukwaji wa maadili.ndio maana akaamua kujiweka pembeni ili kuwe na uhuru wa kiuchungizi huku CCM ikiendelea kubeba imani na kuaminika mbele ya watanzania.

Alichofanya Mh Chongolo ni kutanguliza mbele maslahi ya chama kuliko maslahi yake binafsi.amefanya kitu cha kiungwana ambacho ni nadra sana kukikuta kikifanyika kwenye nchi nyingi za Afrika ambako maslahi binafsi ndio hupewa kipaombele,.ni kitendo cha kijasiri ,kishujaa na cha moyo wa chuma alichokifanya Mh Chongolo.siyo maamuzi mepesi wala rahisi aliyoyafanya .maana angekuwa mwingine angeweza kuamua kuendelea na majukumu yake tu na kuziba masikio yake.

Alichokifanya ndio uongozi wenyewe katika kutimiza ile dhana ya kwamba ukiwa kiongozi au ili uongoze kwa mafanikio ni lazima watu unaowaongoza wakuamini kwa uadilifu wako,tabia yako,matendo yako,Dira yako,maono yako,maneno yako,mipango yako, mikakati yako ndipo wataweza kukupatia ushirikiano na kukufuata katika njia unayowaongoza na kuwapitisha.

Mh Chongolo hajataka kukigawa chama au kutaka kuona chama kikigawanyika kwa sababu yake.anataka kuona CCM Ni moja,wana CCM ni wamoja na wenye dhamira moja ambayo ni kupata ushindi katika kila uchaguzi.ametaka kuona wanaccm wanazungumza lugha moja popote wawapo,ametaka kuona wanaccm wanakisemea cha ,kukipigania chama,kukitetea chama ,kukilinda chama na kumlinda mwenyekiti wetu mpendwa kipenzi cha watanzania mama Samia Suluhu Hasssan kwa nguvu zetu zote.hii ndio sababu ya yeye kujiweka pembeni ili ukweli ufahamike na chama kisiwe na doa .

Kwa hiyo basi kama uchunguzi ukafanyika na ukabaini pasipo na shaka ya aina yoyote ile kuwa yote yaliyowemwa yalikuwa ni ya uongo ,uzushi, fitina,chuki binafsi, kupakana matope,visasi,vita ya kuwania madaraka siku za mbele na uchu wa madaraka kwa baadhi ya watu basi Mwenyekiti wetu Taifa anaweza kurudisha tena jina lake kuendelea na ukatibu mkuu wa CCM huku akiwa amesafishwa mikono yake.

Anaweza kufanya hivyo kwa dhana kuwa kwanza ni kuwalinda waadilifu ili wasitendewe uhuni na uuaji wa sifa njema ya mtu.lakini pia anaweza kufanya hivyo kama sehemu ya kutuma salama kwa watu kiwa fitina ni mwiko ndani ya CCM Katika kusaka madaraka,pia kutuma ujumbe kuwa uongo na uzushi ni vya muda tu lakini haki ya mtu lazima ipatikane ndani ya CCM ,pia kama sehemu ya kujilinda yeye mwenyewe maana kuna watu katika kukudhoofisha wanaweza kuanza kupiga na kuwa maliza watu wako au wasaidizi wako wa karibu na waaminifu , watii na wanyenyekevu kwako na waliojitoa na kujitolea kufanya kazi kwa jasho na damu na ukija kushtuka unajikuta umebaki mwenyewe na kuzungukwa na watu wenye nia ovu na dhamira ya kukuangusha wewe mwenyewe ili watwae kiti ulichokalia kwa wepesi sana kwa kukupachikia watu wasio na uchungu na wewe wala uzalendo kwako wala kukuunga mkono wala kukusikiliza au kukuheshimu au kukulinda kwa namna yoyote ile wala kujitoa mhanga kwa ajili yako .

Lakini pia Rais Samia akibaini kuwa tuhuma zilikuwa ni za uongo na uzushi anaweza kumrudisha tena ili kuwapa nguvu na morali ya kazi wale waadilifu na kuwalinda dhidi ya walafi wa madaraka.lakini pia inaweza kuwa sehemu ya kuwanyima ushindi wenye tabia kama hiyo ya kupika majungu.maana wanaweza wakajua kuwa kama fulani ni mwadilifu sana na ndiye kikwazo kwao katika kutimiza malengo yao basi njia rahisi ni kumchafua kwa njia yoyote ile ili atoke na wao kupachika kwa kumpigia debe yule wanayejuwa atakuwa daraja la kupitishia ajenda zao lakini atakaye kuwa kama dodoki la kunyonya na kubeba kila kitu atakachoambiwa na wao pasipo kutafakari bali kuomba wimbo wao kama kasuku tu.

Lakini pia mh Rais anaweza asimrudishe na akatoa kalipio kali kwa wote wenye kuhusika na upikaji wa Majungu. Lakini pia ikibainika tuhuma ni za kweli basi mh Rais kama mwenyekiti wa chama anaweza kutoa kalipio kali sana kwa watendaji wote ndani ya chama kuzingatia maadili ya kazi na kujiheshimu katika utekelezaji wa majukumu yao pamoja na maisha yao binafsi kuwa yenye uadilifu. Kwa hiyo itampatia uwanja mkubwa sana Rais Samia kama Mwenyekiti wa chama.itampa jibu afanye nini kwa maslahi mapana ya chama chetu.

Lakini itamhitaji kuwa mtulivu sana katika kufanya uamuzi wa aina yoyote ile.itamhitaji kuomba hekima ya Mungu.itamhitaji kujinyenyekeza mbela za Mungu ili ampe maarifa tapitayo matamanio ya watu wenye nia ovu.itamhitaji kwa kila aambiwacho na kushauliwa kukitafakari kwa kina na mapana yeye binafsi kabla ya kufanya maamuzi kama mtu wa mwisho au kukubali.itahitaji kupita katikati ya mistari ya kila sentensi atakayoambiwa.maana wakati mwingine waswahili wanasema kikulacho kinguoni mwako.ajayeweza kukuangusha wewe ni yule au wale wa karibu yako na unaowaamini na kuwategemea sana.ndio maana nikasema amtangulize Mungu wake kwa kila jambo.

Huo ulikuwa ni uchambuzi wangu huru ambao haujijikita kusema tuhuma alizotuhumiwa ni za kweli ama siyo za kweli.kitakacho bainisha juu ya hayo ni uchunguzi huru pekee ambao hata mimi mwenyewe siujuwi.

Kazi iendelee,mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Uchawa ni sawa sawa na ushoga.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kilichotokea ni mh Daniel Chongolo kwa hiyari yake mwenyewe ,kwa mapenzi mema kwa chama chetu kwa kuilinda hadhi,sifa na taswira njema ya CCM mbele ya watanzania. kilichofanyika na alichofanya Mh Chongolo ni kuamua kujiweka pembeni ili uchunguzi wa kina ,wazi na huru ufanyike na ukweli ubainike.

Alichofanya Mh Chongolo ni kutotaka kuona chama kikipakwa matope kwa ajili yake kutokana na tuhuma zilizotolewa dhidi yake. amefanya aliyofanya ili chama kisionekana kinafumbia macho na kuwalinda viongozi wakubwa na kuonekana kama hawagusiki panapotokea ukiukwaji wa maadili.ndio maana akaamua kujiweka pembeni ili kuwe na uhuru wa kiuchungizi huku CCM ikiendelea kubeba imani na kuaminika mbele ya watanzania.

Alichofanya Mh Chongolo ni kutanguliza mbele maslahi ya chama kuliko maslahi yake binafsi.amefanya kitu cha kiungwana ambacho ni nadra sana kukikuta kikifanyika kwenye nchi nyingi za Afrika ambako maslahi binafsi ndio hupewa kipaombele,.ni kitendo cha kijasiri ,kishujaa na cha moyo wa chuma alichokifanya Mh Chongolo.siyo maamuzi mepesi wala rahisi aliyoyafanya .maana angekuwa mwingine angeweza kuamua kuendelea na majukumu yake tu na kuziba masikio yake.

Alichokifanya ndio uongozi wenyewe katika kutimiza ile dhana ya kwamba ukiwa kiongozi au ili uongoze kwa mafanikio ni lazima watu unaowaongoza wakuamini kwa uadilifu wako,tabia yako,matendo yako,Dira yako,maono yako,maneno yako,mipango yako, mikakati yako ndipo wataweza kukupatia ushirikiano na kukufuata katika njia unayowaongoza na kuwapitisha.

Mh Chongolo hajataka kukigawa chama au kutaka kuona chama kikigawanyika kwa sababu yake.anataka kuona CCM Ni moja,wana CCM ni wamoja na wenye dhamira moja ambayo ni kupata ushindi katika kila uchaguzi.ametaka kuona wanaccm wanazungumza lugha moja popote wawapo,ametaka kuona wanaccm wanakisemea cha ,kukipigania chama,kukitetea chama ,kukilinda chama na kumlinda mwenyekiti wetu mpendwa kipenzi cha watanzania mama Samia Suluhu Hasssan kwa nguvu zetu zote.hii ndio sababu ya yeye kujiweka pembeni ili ukweli ufahamike na chama kisiwe na doa .

Kwa hiyo basi kama uchunguzi ukafanyika na ukabaini pasipo na shaka ya aina yoyote ile kuwa yote yaliyowemwa yalikuwa ni ya uongo ,uzushi, fitina,chuki binafsi, kupakana matope,visasi,vita ya kuwania madaraka siku za mbele na uchu wa madaraka kwa baadhi ya watu basi Mwenyekiti wetu Taifa anaweza kurudisha tena jina lake kuendelea na ukatibu mkuu wa CCM huku akiwa amesafishwa mikono yake.

Anaweza kufanya hivyo kwa dhana kuwa kwanza ni kuwalinda waadilifu ili wasitendewe uhuni na uuaji wa sifa njema ya mtu.lakini pia anaweza kufanya hivyo kama sehemu ya kutuma salama kwa watu kiwa fitina ni mwiko ndani ya CCM Katika kusaka madaraka,pia kutuma ujumbe kuwa uongo na uzushi ni vya muda tu lakini haki ya mtu lazima ipatikane ndani ya CCM ,pia kama sehemu ya kujilinda yeye mwenyewe maana kuna watu katika kukudhoofisha wanaweza kuanza kupiga na kuwa maliza watu wako au wasaidizi wako wa karibu na waaminifu , watii na wanyenyekevu kwako na waliojitoa na kujitolea kufanya kazi kwa jasho na damu na ukija kushtuka unajikuta umebaki mwenyewe na kuzungukwa na watu wenye nia ovu na dhamira ya kukuangusha wewe mwenyewe ili watwae kiti ulichokalia kwa wepesi sana kwa kukupachikia watu wasio na uchungu na wewe wala uzalendo kwako wala kukuunga mkono wala kukusikiliza au kukuheshimu au kukulinda kwa namna yoyote ile wala kujitoa mhanga kwa ajili yako .

Lakini pia Rais Samia akibaini kuwa tuhuma zilikuwa ni za uongo na uzushi anaweza kumrudisha tena ili kuwapa nguvu na morali ya kazi wale waadilifu na kuwalinda dhidi ya walafi wa madaraka.lakini pia inaweza kuwa sehemu ya kuwanyima ushindi wenye tabia kama hiyo ya kupika majungu.maana wanaweza wakajua kuwa kama fulani ni mwadilifu sana na ndiye kikwazo kwao katika kutimiza malengo yao basi njia rahisi ni kumchafua kwa njia yoyote ile ili atoke na wao kupachika kwa kumpigia debe yule wanayejuwa atakuwa daraja la kupitishia ajenda zao lakini atakaye kuwa kama dodoki la kunyonya na kubeba kila kitu atakachoambiwa na wao pasipo kutafakari bali kuomba wimbo wao kama kasuku tu.

Lakini pia mh Rais anaweza asimrudishe na akatoa kalipio kali kwa wote wenye kuhusika na upikaji wa Majungu. Lakini pia ikibainika tuhuma ni za kweli basi mh Rais kama mwenyekiti wa chama anaweza kutoa kalipio kali sana kwa watendaji wote ndani ya chama kuzingatia maadili ya kazi na kujiheshimu katika utekelezaji wa majukumu yao pamoja na maisha yao binafsi kuwa yenye uadilifu. Kwa hiyo itampatia uwanja mkubwa sana Rais Samia kama Mwenyekiti wa chama.itampa jibu afanye nini kwa maslahi mapana ya chama chetu.

Lakini itamhitaji kuwa mtulivu sana katika kufanya uamuzi wa aina yoyote ile.itamhitaji kuomba hekima ya Mungu.itamhitaji kujinyenyekeza mbela za Mungu ili ampe maarifa tapitayo matamanio ya watu wenye nia ovu.itamhitaji kwa kila aambiwacho na kushauliwa kukitafakari kwa kina na mapana yeye binafsi kabla ya kufanya maamuzi kama mtu wa mwisho au kukubali.itahitaji kupita katikati ya mistari ya kila sentensi atakayoambiwa.maana wakati mwingine waswahili wanasema kikulacho kinguoni mwako.ajayeweza kukuangusha wewe ni yule au wale wa karibu yako na unaowaamini na kuwategemea sana.ndio maana nikasema amtangulize Mungu wake kwa kila jambo.

Huo ulikuwa ni uchambuzi wangu huru ambao haujijikita kusema tuhuma alizotuhumiwa ni za kweli ama siyo za kweli.kitakacho bainisha juu ya hayo ni uchunguzi huru pekee ambao hata mimi mwenyewe siujuwi.

Kazi iendelee,mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Umekosea kutumia cheo cha "Rais" Samia. Sahihihisha, "Mwenyekiti wa CCM Taifa" Samia Suluhu Hassan..."
 
...Alichofanya Mh Chongolo ni kutotaka kuona chama kikipakwa matope....

Apakwe matope na wenye chama ndani ya Chama halafu mlete hekaya za kichama na BLA BLA BLA kibao.

Endeleeni kunyukana tu kwani muda wa kubaguana kwa ajili ya kupanga timu za wizi wa kura na kuthibitiana kimakundi umewadia!!
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kilichotokea ni mh Daniel Chongolo kwa hiyari yake mwenyewe ,kwa mapenzi mema kwa chama chetu kwa kuilinda hadhi,sifa na taswira njema ya CCM mbele ya watanzania. kilichofanyika na alichofanya Mh Chongolo ni kuamua kujiweka pembeni ili uchunguzi wa kina ,wazi na huru ufanyike na ukweli ubainike.

Alichofanya Mh Chongolo ni kutotaka kuona chama kikipakwa matope kwa ajili yake kutokana na tuhuma zilizotolewa dhidi yake. amefanya aliyofanya ili chama kisionekana kinafumbia macho na kuwalinda viongozi wakubwa na kuonekana kama hawagusiki panapotokea ukiukwaji wa maadili.ndio maana akaamua kujiweka pembeni ili kuwe na uhuru wa kiuchungizi huku CCM ikiendelea kubeba imani na kuaminika mbele ya watanzania.

Alichofanya Mh Chongolo ni kutanguliza mbele maslahi ya chama kuliko maslahi yake binafsi.amefanya kitu cha kiungwana ambacho ni nadra sana kukikuta kikifanyika kwenye nchi nyingi za Afrika ambako maslahi binafsi ndio hupewa kipaombele,.ni kitendo cha kijasiri ,kishujaa na cha moyo wa chuma alichokifanya Mh Chongolo.siyo maamuzi mepesi wala rahisi aliyoyafanya .maana angekuwa mwingine angeweza kuamua kuendelea na majukumu yake tu na kuziba masikio yake.

Alichokifanya ndio uongozi wenyewe katika kutimiza ile dhana ya kwamba ukiwa kiongozi au ili uongoze kwa mafanikio ni lazima watu unaowaongoza wakuamini kwa uadilifu wako,tabia yako,matendo yako,Dira yako,maono yako,maneno yako,mipango yako, mikakati yako ndipo wataweza kukupatia ushirikiano na kukufuata katika njia unayowaongoza na kuwapitisha.

Mh Chongolo hajataka kukigawa chama au kutaka kuona chama kikigawanyika kwa sababu yake.anataka kuona CCM Ni moja,wana CCM ni wamoja na wenye dhamira moja ambayo ni kupata ushindi katika kila uchaguzi.ametaka kuona wanaccm wanazungumza lugha moja popote wawapo,ametaka kuona wanaccm wanakisemea cha ,kukipigania chama,kukitetea chama ,kukilinda chama na kumlinda mwenyekiti wetu mpendwa kipenzi cha watanzania mama Samia Suluhu Hasssan kwa nguvu zetu zote.hii ndio sababu ya yeye kujiweka pembeni ili ukweli ufahamike na chama kisiwe na doa .

Kwa hiyo basi kama uchunguzi ukafanyika na ukabaini pasipo na shaka ya aina yoyote ile kuwa yote yaliyowemwa yalikuwa ni ya uongo ,uzushi, fitina,chuki binafsi, kupakana matope,visasi,vita ya kuwania madaraka siku za mbele na uchu wa madaraka kwa baadhi ya watu basi Mwenyekiti wetu Taifa anaweza kurudisha tena jina lake kuendelea na ukatibu mkuu wa CCM huku akiwa amesafishwa mikono yake.

Anaweza kufanya hivyo kwa dhana kuwa kwanza ni kuwalinda waadilifu ili wasitendewe uhuni na uuaji wa sifa njema ya mtu.lakini pia anaweza kufanya hivyo kama sehemu ya kutuma salama kwa watu kiwa fitina ni mwiko ndani ya CCM Katika kusaka madaraka,pia kutuma ujumbe kuwa uongo na uzushi ni vya muda tu lakini haki ya mtu lazima ipatikane ndani ya CCM ,pia kama sehemu ya kujilinda yeye mwenyewe maana kuna watu katika kukudhoofisha wanaweza kuanza kupiga na kuwa maliza watu wako au wasaidizi wako wa karibu na waaminifu , watii na wanyenyekevu kwako na waliojitoa na kujitolea kufanya kazi kwa jasho na damu na ukija kushtuka unajikuta umebaki mwenyewe na kuzungukwa na watu wenye nia ovu na dhamira ya kukuangusha wewe mwenyewe ili watwae kiti ulichokalia kwa wepesi sana kwa kukupachikia watu wasio na uchungu na wewe wala uzalendo kwako wala kukuunga mkono wala kukusikiliza au kukuheshimu au kukulinda kwa namna yoyote ile wala kujitoa mhanga kwa ajili yako .

Lakini pia Rais Samia akibaini kuwa tuhuma zilikuwa ni za uongo na uzushi anaweza kumrudisha tena ili kuwapa nguvu na morali ya kazi wale waadilifu na kuwalinda dhidi ya walafi wa madaraka.lakini pia inaweza kuwa sehemu ya kuwanyima ushindi wenye tabia kama hiyo ya kupika majungu.maana wanaweza wakajua kuwa kama fulani ni mwadilifu sana na ndiye kikwazo kwao katika kutimiza malengo yao basi njia rahisi ni kumchafua kwa njia yoyote ile ili atoke na wao kupachika kwa kumpigia debe yule wanayejuwa atakuwa daraja la kupitishia ajenda zao lakini atakaye kuwa kama dodoki la kunyonya na kubeba kila kitu atakachoambiwa na wao pasipo kutafakari bali kuomba wimbo wao kama kasuku tu.

Lakini pia mh Rais anaweza asimrudishe na akatoa kalipio kali kwa wote wenye kuhusika na upikaji wa Majungu. Lakini pia ikibainika tuhuma ni za kweli basi mh Rais kama mwenyekiti wa chama anaweza kutoa kalipio kali sana kwa watendaji wote ndani ya chama kuzingatia maadili ya kazi na kujiheshimu katika utekelezaji wa majukumu yao pamoja na maisha yao binafsi kuwa yenye uadilifu. Kwa hiyo itampatia uwanja mkubwa sana Rais Samia kama Mwenyekiti wa chama.itampa jibu afanye nini kwa maslahi mapana ya chama chetu.

Lakini itamhitaji kuwa mtulivu sana katika kufanya uamuzi wa aina yoyote ile.itamhitaji kuomba hekima ya Mungu.itamhitaji kujinyenyekeza mbela za Mungu ili ampe maarifa tapitayo matamanio ya watu wenye nia ovu.itamhitaji kwa kila aambiwacho na kushauliwa kukitafakari kwa kina na mapana yeye binafsi kabla ya kufanya maamuzi kama mtu wa mwisho au kukubali.itahitaji kupita katikati ya mistari ya kila sentensi atakayoambiwa.maana wakati mwingine waswahili wanasema kikulacho kinguoni mwako.ajayeweza kukuangusha wewe ni yule au wale wa karibu yako na unaowaamini na kuwategemea sana.ndio maana nikasema amtangulize Mungu wake kwa kila jambo.

Huo ulikuwa ni uchambuzi wangu huru ambao haujijikita kusema tuhuma alizotuhumiwa ni za kweli ama siyo za kweli.kitakacho bainisha juu ya hayo ni uchunguzi huru pekee ambao hata mimi mwenyewe siujuwi.

Kazi iendelee,mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Ndio dhana ya uwajibikaji sio jitu linatia mtu chupa jingine linauza majenereta hujiuzulu mpaka utumbuliwe utoke usaha hatari!
 
...Alichofanya Mh Chongolo ni kutotaka kuona chama kikipakwa matope....

Apakwe matope na wenye chama ndani ya Chama halafu mlete hekaya za kichama na BLA BLA BLA kibao.

Endeleeni kunyukana tu kwani muda wa kubaguana kwa ajili ya kupanga timu za wizi wa kura na kuthibitiana kimakundi umewadia!!
CCM Ni Taasisi kubwa sana ndugu yangu.Ni taasisi yenye mfumo mzuri sana katika kumaliza na kutatua mambo yanayotokea ndani ya chama.Hakuna aliye mkubwa kupita CCM yenyewe.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kilichotokea ni mh Daniel Chongolo kwa hiyari yake mwenyewe ,kwa mapenzi mema kwa chama chetu kwa kuilinda hadhi,sifa na taswira njema ya CCM mbele ya watanzania. kilichofanyika na alichofanya Mh Chongolo ni kuamua kujiweka pembeni ili uchunguzi wa kina ,wazi na huru ufanyike na ukweli ubainike.

Alichofanya Mh Chongolo ni kutotaka kuona chama kikipakwa matope kwa ajili yake kutokana na tuhuma zilizotolewa dhidi yake. amefanya aliyofanya ili chama kisionekana kinafumbia macho na kuwalinda viongozi wakubwa na kuonekana kama hawagusiki panapotokea ukiukwaji wa maadili.ndio maana akaamua kujiweka pembeni ili kuwe na uhuru wa kiuchunguzi huku CCM ikiendelea kubeba imani na kuaminika mbele ya watanzania.

Alichofanya Mh Chongolo ni kutanguliza mbele maslahi ya chama kuliko maslahi yake binafsi.amefanya kitu cha kiungwana ambacho ni nadra sana kukikuta kikifanyika kwenye nchi nyingi za Afrika ambako maslahi binafsi ndio hupewa kipaombele,.ni kitendo cha kijasiri ,kishujaa na cha moyo wa chuma alichokifanya Mh Chongolo.siyo maamuzi mepesi wala rahisi aliyoyafanya .maana angekuwa mwingine angeweza kuamua kuendelea na majukumu yake tu na kuziba masikio yake.

Alichokifanya ndio uongozi wenyewe katika kutimiza ile dhana ya kwamba ukiwa kiongozi au ili uongoze kwa mafanikio ni lazima watu unaowaongoza wakuamini kwa uadilifu wako,tabia yako,matendo yako,Dira yako,maono yako,maneno yako,mipango yako, mikakati yako ndipo wataweza kukupatia ushirikiano na kukufuata katika njia unayowaongoza na kuwapitisha.

Mh Chongolo hajataka kukigawa chama au kutaka kuona chama kikigawanyika kwa sababu yake.anataka kuona CCM Ni moja,wana CCM ni wamoja na wenye dhamira moja ambayo ni kupata ushindi katika kila uchaguzi.ametaka kuona wanaccm wanazungumza lugha moja popote wawapo,ametaka kuona wanaccm wanakisemea chama,kukipigania chama,kukitetea chama ,kukilinda chama na kumlinda mwenyekiti wetu mpendwa kipenzi cha watanzania mama Samia Suluhu Hasssan kwa nguvu zetu zote.hii ndio sababu ya yeye kujiweka pembeni ili ukweli ufahamike na chama kisiwe na doa .

Kwa hiyo basi kama uchunguzi ukafanyika na ukabaini pasipo na shaka ya aina yoyote ile kuwa yote yaliyosemwa yalikuwa ni ya uongo ,uzushi, fitina,chuki binafsi, kupakana matope,visasi,vita ya kuwania madaraka siku za mbele na uchu wa madaraka kwa baadhi ya watu basi Mwenyekiti wetu Taifa anaweza kurudisha tena jina lake kuendelea na ukatibu mkuu wa CCM.

Anaweza kufanya hivyo kwa dhana kuwa kwanza ni kuwalinda waadilifu ili wasitendewe uhuni na uuaji wa sifa njema ya mtu.lakini pia anaweza kufanya hivyo kama sehemu ya kutuma salamu kwa watu kuwa fitina ni mwiko ndani ya CCM Katika kusaka madaraka,pia kutuma ujumbe kuwa uongo na uzushi ni vya muda tu lakini haki ya mtu lazima ipatikane ndani ya CCM ,pia kama sehemu ya kujilinda yeye mwenyewe maana kuna watu katika kukudhoofisha wanaweza kuanza kupiga na kuwa maliza watu wako au wasaidizi wako wa karibu na waaminifu , watii na wanyenyekevu kwako na waliojitoa na kujitolea kufanya kazi kwa jasho na damu na ukija kushtuka unajikuta umebaki mwenyewe na kuzungukwa na watu wenye nia ovu na dhamira ya kukuangusha wewe mwenyewe ili watwae kiti ulichokalia kwa wepesi sana kwa kukupachikia watu wasio na uchungu na wewe wala uzalendo kwako wala usikivu kwako wala kukuunga mkono wala kukusikiliza au kukuheshimu au kukulinda kwa namna yoyote ile wala kujitoa mhanga kwa ajili yako zaidi ya kukuandalia anguko lako na mwisho wakae pembeni wakipongezana kwa mikakati yao kufanikiwa.

Lakini pia Rais Samia akibaini kuwa tuhuma zilikuwa ni za uongo na uzushi anaweza kumrudisha tena ili kuwapa nguvu na morali ya kazi wale waadilifu na kuwalinda dhidi ya walafi wa madaraka.lakini pia inaweza kuwa sehemu ya kuwanyima ushindi wenye tabia kama hiyo ya kupika majungu.maana wanaweza wakajua kuwa kama fulani ni mwadilifu sana na ndiye kikwazo kwao katika kutimiza malengo yao basi njia rahisi ni kumchafua kwa njia yoyote ile ili atoke na wao kupachika mtu wao kwa kumpigia debe yule wanayejuwa atakuwa daraja la kupitishia ajenda zao lakini atakaye kuwa kama dodoki la kunyonya na kubeba kila kitu atakachoambiwa na wao pasipo kutafakari bali kuomba wimbo wao kama kasuku tu.huku akikaa na kuishi na wewe kinafiki lakini akiwa kipaza sauti cha wengine.maana waliosema siasa ni mchezo mchafu hawakukosea.

Lakini pia Mh Mwenyekiti wetu anaweza asimrudishe na akatoa kalipio kali kwa wote wenye kuhusika na upikaji wa Majungu,fitina na uzushi. Lakini pia ikibainika tuhuma ni za kweli basi mh Rais kama mwenyekiti wa chama anaweza kutoa kalipio kali sana kwa watendaji wote ndani ya chama kuzingatia maadili ya kazi na kujiheshimu katika utekelezaji wa majukumu yao pamoja na maisha yao binafsi kuwa yenye uadilifu. Kwa hiyo itampatia uwanja mkubwa sana Rais Samia kama Mwenyekiti wa chama.itampa jibu afanye nini kwa maslahi mapana ya chama chetu.

Lakini itamhitaji kuwa mtulivu sana katika kufanya uamuzi wa aina yoyote ile.itamhitaji kuomba hekima ya Mungu.itamhitaji kujinyenyekeza mbela za Mungu ili ampe maarifa ya utambuzi na ung'amuzi wa mambo..itamhitaji kwa kila aambiwacho na kushauliwa kukitafakari kwa kina na mapana yeye binafsi kabla ya kufanya maamuzi kama mtu wa mwisho au kukubali.itahitaji kupita katikati ya mistari ya kila sentensi atakayoambiwa.maana wakati mwingine waswahili wanasema kikulacho kinguoni mwako.anayeweza kukuangusha wewe ni yule au wale wa karibu yako na unaowaamini na kuwategemea sana.ndio maana nikasema amtangulize Mungu wake kwa kila jambo.

Huo ulikuwa ni uchambuzi wangu huru ambao haujajikita kusema tuhuma alizotuhumiwa ni za kweli ama siyo za kweli. kitakacho bainisha juu ya hayo ni uchunguzi huru pekee ambao hata mimi mwenyewe siujuwi.

Kazi iendelee,mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
....Kaamua kukaa pembeni ili uchunguzi ufanyike Chama kisiendelee kuchafuka Kwa ajili yake...!
Makonda ana tuhuma ya kutumia jina na elimu isiyo yake, uchunguzi ulifanyika lini ikaonekana yeye siyo Daudi Albert Bashite toka Koromije Misungwi?
 
....Kaamua kukaa pembeni ili uchunguzi ufanyike Chama kisiendelee kuchafuka Kwa ajili yake...!
Makonda ana tuhuma ya kutumia jina na elimu isiyo yake, uchunguzi ulifanyika lini ikaonekana yeye siyo Daudi Albert Bashite toka Koromije Misungwi?
Nani alifanya huo uchunguzi? Ripoti ya uchunguzi ipo wapi? Nani alikabidhiwa ripoti ya uchunguzi?
 
Makonda makalio makubwa ni mtu mbaya sana. Atakufa kakenua meno yule. Ya nini kumfanyia udhalilishaji baba wa watu!??

Kuna msemo wa kiha unasema "ulakafa wichaye" .
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kilichotokea ni mh Daniel Chongolo kwa hiyari yake mwenyewe ,kwa mapenzi mema kwa chama chetu kwa kuilinda hadhi,sifa na taswira njema ya CCM mbele ya watanzania. kilichofanyika na alichofanya Mh Chongolo ni kuamua kujiweka pembeni ili uchunguzi wa kina ,wazi na huru ufanyike na ukweli ubainike.

Alichofanya Mh Chongolo ni kutotaka kuona chama kikipakwa matope kwa ajili yake kutokana na tuhuma zilizotolewa dhidi yake. amefanya aliyofanya ili chama kisionekana kinafumbia macho na kuwalinda viongozi wakubwa na kuonekana kama hawagusiki panapotokea ukiukwaji wa maadili.ndio maana akaamua kujiweka pembeni ili kuwe na uhuru wa kiuchunguzi huku CCM ikiendelea kubeba imani na kuaminika mbele ya watanzania.

Alichofanya Mh Chongolo ni kutanguliza mbele maslahi ya chama kuliko maslahi yake binafsi.amefanya kitu cha kiungwana ambacho ni nadra sana kukikuta kikifanyika kwenye nchi nyingi za Afrika ambako maslahi binafsi ndio hupewa kipaombele,.ni kitendo cha kijasiri ,kishujaa na cha moyo wa chuma alichokifanya Mh Chongolo.siyo maamuzi mepesi wala rahisi aliyoyafanya .maana angekuwa mwingine angeweza kuamua kuendelea na majukumu yake tu na kuziba masikio yake.

Alichokifanya ndio uongozi wenyewe katika kutimiza ile dhana ya kwamba ukiwa kiongozi au ili uongoze kwa mafanikio ni lazima watu unaowaongoza wakuamini kwa uadilifu wako,tabia yako,matendo yako,Dira yako,maono yako,maneno yako,mipango yako, mikakati yako ndipo wataweza kukupatia ushirikiano na kukufuata katika njia unayowaongoza na kuwapitisha.

Mh Chongolo hajataka kukigawa chama au kutaka kuona chama kikigawanyika kwa sababu yake.anataka kuona CCM Ni moja,wana CCM ni wamoja na wenye dhamira moja ambayo ni kupata ushindi katika kila uchaguzi.ametaka kuona wanaccm wanazungumza lugha moja popote wawapo,ametaka kuona wanaccm wanakisemea chama,kukipigania chama,kukitetea chama ,kukilinda chama na kumlinda mwenyekiti wetu mpendwa kipenzi cha watanzania mama Samia Suluhu Hasssan kwa nguvu zetu zote.hii ndio sababu ya yeye kujiweka pembeni ili ukweli ufahamike na chama kisiwe na doa .

Kwa hiyo basi kama uchunguzi ukafanyika na ukabaini pasipo na shaka ya aina yoyote ile kuwa yote yaliyosemwa yalikuwa ni ya uongo ,uzushi, fitina,chuki binafsi, kupakana matope,visasi,vita ya kuwania madaraka siku za mbele na uchu wa madaraka kwa baadhi ya watu basi Mwenyekiti wetu Taifa anaweza kurudisha tena jina lake kuendelea na ukatibu mkuu wa CCM.

Anaweza kufanya hivyo kwa dhana kuwa kwanza ni kuwalinda waadilifu ili wasitendewe uhuni na uuaji wa sifa njema ya mtu.lakini pia anaweza kufanya hivyo kama sehemu ya kutuma salamu kwa watu kuwa fitina ni mwiko ndani ya CCM Katika kusaka madaraka,pia kutuma ujumbe kuwa uongo na uzushi ni vya muda tu lakini haki ya mtu lazima ipatikane ndani ya CCM ,pia kama sehemu ya kujilinda yeye mwenyewe maana kuna watu katika kukudhoofisha wanaweza kuanza kupiga na kuwa maliza watu wako au wasaidizi wako wa karibu na waaminifu , watii na wanyenyekevu kwako.

waliojitoa na kujitolea kufanya kazi kwa jasho na damu na ukija kushtuka unajikuta umebaki mwenyewe na kuzungukwa na watu wenye nia ovu na dhamira ya kukuangusha wewe mwenyewe ili watwae kiti ulichokalia kwa wepesi sana kwa kukupachikia watu wasio na uchungu na wewe wala uzalendo kwako wala usikivu kwako wala kukuunga mkono wala kukusikiliza au kukuheshimu au kukulinda kwa namna yoyote ile wala kujitoa mhanga kwa ajili yako zaidi ya kukuandalia anguko lako na mwisho wakae pembeni wakipongezana kwa mikakati yao kufanikiwa.

Lakini pia Rais Samia akibaini kuwa tuhuma zilikuwa ni za uongo na uzushi anaweza kumrudisha tena ili kuwapa nguvu na morali ya kazi wale waadilifu na kuwalinda dhidi ya walafi wa madaraka.lakini pia inaweza kuwa sehemu ya kuwanyima ushindi wenye tabia kama hiyo ya kupika majungu.maana wanaweza wakajua kuwa kama fulani ni mwadilifu sana na ndiye kikwazo kwao katika kutimiza malengo yao basi njia rahisi ni kumchafua kwa njia yoyote ile ili atoke na wao kupachika mtu wao kwa kumpigia debe yule wanayejuwa atakuwa daraja la kupitishia ajenda zao lakini atakaye kuwa kama dodoki la kunyonya na kubeba kila kitu atakachoambiwa na wao pasipo kutafakari bali kuomba wimbo wao kama kasuku tu.huku akikaa na kuishi na wewe kinafiki lakini akiwa kipaza sauti cha wengine.maana waliosema siasa ni mchezo mchafu hawakukosea.

Lakini pia Mh Mwenyekiti wetu anaweza asimrudishe na akatoa kalipio kali kwa wote wenye kuhusika na upikaji wa Majungu,fitina na uzushi. Lakini pia ikibainika tuhuma ni za kweli basi mh Rais kama mwenyekiti wa chama anaweza kutoa kalipio kali sana kwa watendaji wote ndani ya chama kuzingatia maadili ya kazi na kujiheshimu katika utekelezaji wa majukumu yao pamoja na maisha yao binafsi kuwa yenye uadilifu. Kwa hiyo itampatia uwanja mkubwa sana Rais Samia kama Mwenyekiti wa chama.itampa jibu afanye nini kwa maslahi mapana ya chama chetu.

Lakini itamhitaji kuwa mtulivu sana katika kufanya uamuzi wa aina yoyote ile.itamhitaji kuomba hekima ya Mungu.itamhitaji kujinyenyekeza mbela za Mungu ili ampe maarifa ya utambuzi na ung'amuzi wa mambo..itamhitaji kwa kila aambiwacho na kushauliwa kukitafakari kwa kina na mapana yeye binafsi kabla ya kufanya maamuzi kama mtu wa mwisho au kukubali.itahitaji kupita katikati ya mistari ya kila sentensi atakayoambiwa.maana wakati mwingine waswahili wanasema kikulacho kinguoni mwako.anayeweza kukuangusha wewe ni yule au wale wa karibu yako na unaowaamini na kuwategemea sana.ndio maana nikasema amtangulize Mungu wake kwa kila jambo.

Huo ulikuwa ni uchambuzi wangu huru ambao haujajikita kusema tuhuma alizotuhumiwa ni za kweli ama siyo za kweli. kitakacho bainisha juu ya hayo ni uchunguzi huru pekee ambao hata mimi mwenyewe siujuwi.

Kazi iendelee,mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Mnataka arudi ili mumlambishe sumu kama mlivyofanya kwa Mzee Mangula? Mbona CCM mna nongwa sana na watu wa Iringa? Nawe Chongolo popote ulipo kamwe usirudi watakukolimba hawa mashetani.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kilichotokea ni mh Daniel Chongolo kwa hiyari yake mwenyewe ,kwa mapenzi mema kwa chama chetu kwa kuilinda hadhi,sifa na taswira njema ya CCM mbele ya watanzania. kilichofanyika na alichofanya Mh Chongolo ni kuamua kujiweka pembeni ili uchunguzi wa kina ,wazi na huru ufanyike na ukweli ubainike.

Alichofanya Mh Chongolo ni kutotaka kuona chama kikipakwa matope kwa ajili yake kutokana na tuhuma zilizotolewa dhidi yake. amefanya aliyofanya ili chama kisionekana kinafumbia macho na kuwalinda viongozi wakubwa na kuonekana kama hawagusiki panapotokea ukiukwaji wa maadili.ndio maana akaamua kujiweka pembeni ili kuwe na uhuru wa kiuchunguzi huku CCM ikiendelea kubeba imani na kuaminika mbele ya watanzania.

Alichofanya Mh Chongolo ni kutanguliza mbele maslahi ya chama kuliko maslahi yake binafsi.amefanya kitu cha kiungwana ambacho ni nadra sana kukikuta kikifanyika kwenye nchi nyingi za Afrika ambako maslahi binafsi ndio hupewa kipaombele,.ni kitendo cha kijasiri ,kishujaa na cha moyo wa chuma alichokifanya Mh Chongolo.siyo maamuzi mepesi wala rahisi aliyoyafanya .maana angekuwa mwingine angeweza kuamua kuendelea na majukumu yake tu na kuziba masikio yake.

Alichokifanya ndio uongozi wenyewe katika kutimiza ile dhana ya kwamba ukiwa kiongozi au ili uongoze kwa mafanikio ni lazima watu unaowaongoza wakuamini kwa uadilifu wako,tabia yako,matendo yako,Dira yako,maono yako,maneno yako,mipango yako, mikakati yako ndipo wataweza kukupatia ushirikiano na kukufuata katika njia unayowaongoza na kuwapitisha.

Mh Chongolo hajataka kukigawa chama au kutaka kuona chama kikigawanyika kwa sababu yake.anataka kuona CCM Ni moja,wana CCM ni wamoja na wenye dhamira moja ambayo ni kupata ushindi katika kila uchaguzi.ametaka kuona wanaccm wanazungumza lugha moja popote wawapo,ametaka kuona wanaccm wanakisemea chama,kukipigania chama,kukitetea chama ,kukilinda chama na kumlinda mwenyekiti wetu mpendwa kipenzi cha watanzania mama Samia Suluhu Hasssan kwa nguvu zetu zote.hii ndio sababu ya yeye kujiweka pembeni ili ukweli ufahamike na chama kisiwe na doa .

Kwa hiyo basi kama uchunguzi ukafanyika na ukabaini pasipo na shaka ya aina yoyote ile kuwa yote yaliyosemwa yalikuwa ni ya uongo ,uzushi, fitina,chuki binafsi, kupakana matope,visasi,vita ya kuwania madaraka siku za mbele na uchu wa madaraka kwa baadhi ya watu basi Mwenyekiti wetu Taifa anaweza kurudisha tena jina lake kuendelea na ukatibu mkuu wa CCM.

Anaweza kufanya hivyo kwa dhana kuwa kwanza ni kuwalinda waadilifu ili wasitendewe uhuni na uuaji wa sifa njema ya mtu.lakini pia anaweza kufanya hivyo kama sehemu ya kutuma salamu kwa watu kuwa fitina ni mwiko ndani ya CCM Katika kusaka madaraka,pia kutuma ujumbe kuwa uongo na uzushi ni vya muda tu lakini haki ya mtu lazima ipatikane ndani ya CCM ,pia kama sehemu ya kujilinda yeye mwenyewe maana kuna watu katika kukudhoofisha wanaweza kuanza kupiga na kuwa maliza watu wako au wasaidizi wako wa karibu na waaminifu , watii na wanyenyekevu kwako.

waliojitoa na kujitolea kufanya kazi kwa jasho na damu na ukija kushtuka unajikuta umebaki mwenyewe na kuzungukwa na watu wenye nia ovu na dhamira ya kukuangusha wewe mwenyewe ili watwae kiti ulichokalia kwa wepesi sana kwa kukupachikia watu wasio na uchungu na wewe wala uzalendo kwako wala usikivu kwako wala kukuunga mkono wala kukusikiliza au kukuheshimu au kukulinda kwa namna yoyote ile wala kujitoa mhanga kwa ajili yako zaidi ya kukuandalia anguko lako na mwisho wakae pembeni wakipongezana kwa mikakati yao kufanikiwa.

Lakini pia Rais Samia akibaini kuwa tuhuma zilikuwa ni za uongo na uzushi anaweza kumrudisha tena ili kuwapa nguvu na morali ya kazi wale waadilifu na kuwalinda dhidi ya walafi wa madaraka.lakini pia inaweza kuwa sehemu ya kuwanyima ushindi wenye tabia kama hiyo ya kupika majungu.maana wanaweza wakajua kuwa kama fulani ni mwadilifu sana na ndiye kikwazo kwao katika kutimiza malengo yao basi njia rahisi ni kumchafua kwa njia yoyote ile ili atoke na wao kupachika mtu wao kwa kumpigia debe yule wanayejuwa atakuwa daraja la kupitishia ajenda zao lakini atakaye kuwa kama dodoki la kunyonya na kubeba kila kitu atakachoambiwa na wao pasipo kutafakari bali kuomba wimbo wao kama kasuku tu.huku akikaa na kuishi na wewe kinafiki lakini akiwa kipaza sauti cha wengine.maana waliosema siasa ni mchezo mchafu hawakukosea.

Lakini pia Mh Mwenyekiti wetu anaweza asimrudishe na akatoa kalipio kali kwa wote wenye kuhusika na upikaji wa Majungu,fitina na uzushi. Lakini pia ikibainika tuhuma ni za kweli basi mh Rais kama mwenyekiti wa chama anaweza kutoa kalipio kali sana kwa watendaji wote ndani ya chama kuzingatia maadili ya kazi na kujiheshimu katika utekelezaji wa majukumu yao pamoja na maisha yao binafsi kuwa yenye uadilifu. Kwa hiyo itampatia uwanja mkubwa sana Rais Samia kama Mwenyekiti wa chama.itampa jibu afanye nini kwa maslahi mapana ya chama chetu.

Lakini itamhitaji kuwa mtulivu sana katika kufanya uamuzi wa aina yoyote ile.itamhitaji kuomba hekima ya Mungu.itamhitaji kujinyenyekeza mbela za Mungu ili ampe maarifa ya utambuzi na ung'amuzi wa mambo..itamhitaji kwa kila aambiwacho na kushauliwa kukitafakari kwa kina na mapana yeye binafsi kabla ya kufanya maamuzi kama mtu wa mwisho au kukubali.itahitaji kupita katikati ya mistari ya kila sentensi atakayoambiwa.maana wakati mwingine waswahili wanasema kikulacho kinguoni mwako.anayeweza kukuangusha wewe ni yule au wale wa karibu yako na unaowaamini na kuwategemea sana.ndio maana nikasema amtangulize Mungu wake kwa kila jambo.

Huo ulikuwa ni uchambuzi wangu huru ambao haujajikita kusema tuhuma alizotuhumiwa ni za kweli ama siyo za kweli. kitakacho bainisha juu ya hayo ni uchunguzi huru pekee ambao hata mimi mwenyewe siujuwi.

Kazi iendelee,mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Acha usumbufu.
Mambo yenu hayatuhusu.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kilichotokea ni mh Daniel Chongolo kwa hiyari yake mwenyewe ,kwa mapenzi mema kwa chama chetu kwa kuilinda hadhi,sifa na taswira njema ya CCM mbele ya watanzania. kilichofanyika na alichofanya Mh Chongolo ni kuamua kujiweka pembeni ili uchunguzi wa kina ,wazi na huru ufanyike na ukweli ubainike.

Alichofanya Mh Chongolo ni kutotaka kuona chama kikipakwa matope kwa ajili yake kutokana na tuhuma zilizotolewa dhidi yake. amefanya aliyofanya ili chama kisionekana kinafumbia macho na kuwalinda viongozi wakubwa na kuonekana kama hawagusiki panapotokea ukiukwaji wa maadili.ndio maana akaamua kujiweka pembeni ili kuwe na uhuru wa kiuchunguzi huku CCM ikiendelea kubeba imani na kuaminika mbele ya watanzania.

Alichofanya Mh Chongolo ni kutanguliza mbele maslahi ya chama kuliko maslahi yake binafsi.amefanya kitu cha kiungwana ambacho ni nadra sana kukikuta kikifanyika kwenye nchi nyingi za Afrika ambako maslahi binafsi ndio hupewa kipaombele,.ni kitendo cha kijasiri ,kishujaa na cha moyo wa chuma alichokifanya Mh Chongolo.siyo maamuzi mepesi wala rahisi aliyoyafanya .maana angekuwa mwingine angeweza kuamua kuendelea na majukumu yake tu na kuziba masikio yake.

Alichokifanya ndio uongozi wenyewe katika kutimiza ile dhana ya kwamba ukiwa kiongozi au ili uongoze kwa mafanikio ni lazima watu unaowaongoza wakuamini kwa uadilifu wako,tabia yako,matendo yako,Dira yako,maono yako,maneno yako,mipango yako, mikakati yako ndipo wataweza kukupatia ushirikiano na kukufuata katika njia unayowaongoza na kuwapitisha.

Mh Chongolo hajataka kukigawa chama au kutaka kuona chama kikigawanyika kwa sababu yake.anataka kuona CCM Ni moja,wana CCM ni wamoja na wenye dhamira moja ambayo ni kupata ushindi katika kila uchaguzi.ametaka kuona wanaccm wanazungumza lugha moja popote wawapo,ametaka kuona wanaccm wanakisemea chama,kukipigania chama,kukitetea chama ,kukilinda chama na kumlinda mwenyekiti wetu mpendwa kipenzi cha watanzania mama Samia Suluhu Hasssan kwa nguvu zetu zote.hii ndio sababu ya yeye kujiweka pembeni ili ukweli ufahamike na chama kisiwe na doa .

Kwa hiyo basi kama uchunguzi ukafanyika na ukabaini pasipo na shaka ya aina yoyote ile kuwa yote yaliyosemwa yalikuwa ni ya uongo ,uzushi, fitina,chuki binafsi, kupakana matope,visasi,vita ya kuwania madaraka siku za mbele na uchu wa madaraka kwa baadhi ya watu basi Mwenyekiti wetu Taifa anaweza kurudisha tena jina lake kuendelea na ukatibu mkuu wa CCM.

Anaweza kufanya hivyo kwa dhana kuwa kwanza ni kuwalinda waadilifu ili wasitendewe uhuni na uuaji wa sifa njema ya mtu.lakini pia anaweza kufanya hivyo kama sehemu ya kutuma salamu kwa watu kuwa fitina ni mwiko ndani ya CCM Katika kusaka madaraka,pia kutuma ujumbe kuwa uongo na uzushi ni vya muda tu lakini haki ya mtu lazima ipatikane ndani ya CCM ,pia kama sehemu ya kujilinda yeye mwenyewe maana kuna watu katika kukudhoofisha wanaweza kuanza kupiga na kuwa maliza watu wako au wasaidizi wako wa karibu na waaminifu , watii na wanyenyekevu kwako.

waliojitoa na kujitolea kufanya kazi kwa jasho na damu na ukija kushtuka unajikuta umebaki mwenyewe na kuzungukwa na watu wenye nia ovu na dhamira ya kukuangusha wewe mwenyewe ili watwae kiti ulichokalia kwa wepesi sana kwa kukupachikia watu wasio na uchungu na wewe wala uzalendo kwako wala usikivu kwako wala kukuunga mkono wala kukusikiliza au kukuheshimu au kukulinda kwa namna yoyote ile wala kujitoa mhanga kwa ajili yako zaidi ya kukuandalia anguko lako na mwisho wakae pembeni wakipongezana kwa mikakati yao kufanikiwa.

Lakini pia Rais Samia akibaini kuwa tuhuma zilikuwa ni za uongo na uzushi anaweza kumrudisha tena ili kuwapa nguvu na morali ya kazi wale waadilifu na kuwalinda dhidi ya walafi wa madaraka.lakini pia inaweza kuwa sehemu ya kuwanyima ushindi wenye tabia kama hiyo ya kupika majungu.maana wanaweza wakajua kuwa kama fulani ni mwadilifu sana na ndiye kikwazo kwao katika kutimiza malengo yao basi njia rahisi ni kumchafua kwa njia yoyote ile ili atoke na wao kupachika mtu wao kwa kumpigia debe yule wanayejuwa atakuwa daraja la kupitishia ajenda zao lakini atakaye kuwa kama dodoki la kunyonya na kubeba kila kitu atakachoambiwa na wao pasipo kutafakari bali kuomba wimbo wao kama kasuku tu.huku akikaa na kuishi na wewe kinafiki lakini akiwa kipaza sauti cha wengine.maana waliosema siasa ni mchezo mchafu hawakukosea.

Lakini pia Mh Mwenyekiti wetu anaweza asimrudishe na akatoa kalipio kali kwa wote wenye kuhusika na upikaji wa Majungu,fitina na uzushi. Lakini pia ikibainika tuhuma ni za kweli basi mh Rais kama mwenyekiti wa chama anaweza kutoa kalipio kali sana kwa watendaji wote ndani ya chama kuzingatia maadili ya kazi na kujiheshimu katika utekelezaji wa majukumu yao pamoja na maisha yao binafsi kuwa yenye uadilifu. Kwa hiyo itampatia uwanja mkubwa sana Rais Samia kama Mwenyekiti wa chama.itampa jibu afanye nini kwa maslahi mapana ya chama chetu.

Lakini itamhitaji kuwa mtulivu sana katika kufanya uamuzi wa aina yoyote ile.itamhitaji kuomba hekima ya Mungu.itamhitaji kujinyenyekeza mbela za Mungu ili ampe maarifa ya utambuzi na ung'amuzi wa mambo..itamhitaji kwa kila aambiwacho na kushauliwa kukitafakari kwa kina na mapana yeye binafsi kabla ya kufanya maamuzi kama mtu wa mwisho au kukubali.itahitaji kupita katikati ya mistari ya kila sentensi atakayoambiwa.maana wakati mwingine waswahili wanasema kikulacho kinguoni mwako.anayeweza kukuangusha wewe ni yule au wale wa karibu yako na unaowaamini na kuwategemea sana.ndio maana nikasema amtangulize Mungu wake kwa kila jambo.

Huo ulikuwa ni uchambuzi wangu huru ambao haujajikita kusema tuhuma alizotuhumiwa ni za kweli ama siyo za kweli. kitakacho bainisha juu ya hayo ni uchunguzi huru pekee ambao hata mimi mwenyewe siujuwi.

Kazi iendelee,mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Huo uchawa uwe na mipaka,

Compaign zako zinaingilia uchunguzi unaoendelea.

Kwani ukikaa wiki bila kuandika chochote utakonda?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kilichotokea ni mh Daniel Chongolo kwa hiyari yake mwenyewe ,kwa mapenzi mema kwa chama chetu kwa kuilinda hadhi,sifa na taswira njema ya CCM mbele ya watanzania. kilichofanyika na alichofanya Mh Chongolo ni kuamua kujiweka pembeni ili uchunguzi wa kina ,wazi na huru ufanyike na ukweli ubainike.

Alichofanya Mh Chongolo ni kutotaka kuona chama kikipakwa matope kwa ajili yake kutokana na tuhuma zilizotolewa dhidi yake. amefanya aliyofanya ili chama kisionekana kinafumbia macho na kuwalinda viongozi wakubwa na kuonekana kama hawagusiki panapotokea ukiukwaji wa maadili.ndio maana akaamua kujiweka pembeni ili kuwe na uhuru wa kiuchunguzi huku CCM ikiendelea kubeba imani na kuaminika mbele ya watanzania.

Alichofanya Mh Chongolo ni kutanguliza mbele maslahi ya chama kuliko maslahi yake binafsi.amefanya kitu cha kiungwana ambacho ni nadra sana kukikuta kikifanyika kwenye nchi nyingi za Afrika ambako maslahi binafsi ndio hupewa kipaombele,.ni kitendo cha kijasiri ,kishujaa na cha moyo wa chuma alichokifanya Mh Chongolo.siyo maamuzi mepesi wala rahisi aliyoyafanya .maana angekuwa mwingine angeweza kuamua kuendelea na majukumu yake tu na kuziba masikio yake.

Alichokifanya ndio uongozi wenyewe katika kutimiza ile dhana ya kwamba ukiwa kiongozi au ili uongoze kwa mafanikio ni lazima watu unaowaongoza wakuamini kwa uadilifu wako,tabia yako,matendo yako,Dira yako,maono yako,maneno yako,mipango yako, mikakati yako ndipo wataweza kukupatia ushirikiano na kukufuata katika njia unayowaongoza na kuwapitisha.

Mh Chongolo hajataka kukigawa chama au kutaka kuona chama kikigawanyika kwa sababu yake.anataka kuona CCM Ni moja,wana CCM ni wamoja na wenye dhamira moja ambayo ni kupata ushindi katika kila uchaguzi.ametaka kuona wanaccm wanazungumza lugha moja popote wawapo,ametaka kuona wanaccm wanakisemea chama,kukipigania chama,kukitetea chama ,kukilinda chama na kumlinda mwenyekiti wetu mpendwa kipenzi cha watanzania mama Samia Suluhu Hasssan kwa nguvu zetu zote.hii ndio sababu ya yeye kujiweka pembeni ili ukweli ufahamike na chama kisiwe na doa .

Kwa hiyo basi kama uchunguzi ukafanyika na ukabaini pasipo na shaka ya aina yoyote ile kuwa yote yaliyosemwa yalikuwa ni ya uongo ,uzushi, fitina,chuki binafsi, kupakana matope,visasi,vita ya kuwania madaraka siku za mbele na uchu wa madaraka kwa baadhi ya watu basi Mwenyekiti wetu Taifa anaweza kurudisha tena jina lake kuendelea na ukatibu mkuu wa CCM.

Anaweza kufanya hivyo kwa dhana kuwa kwanza ni kuwalinda waadilifu ili wasitendewe uhuni na uuaji wa sifa njema ya mtu.lakini pia anaweza kufanya hivyo kama sehemu ya kutuma salamu kwa watu kuwa fitina ni mwiko ndani ya CCM Katika kusaka madaraka,pia kutuma ujumbe kuwa uongo na uzushi ni vya muda tu lakini haki ya mtu lazima ipatikane ndani ya CCM ,pia kama sehemu ya kujilinda yeye mwenyewe maana kuna watu katika kukudhoofisha wanaweza kuanza kupiga na kuwa maliza watu wako au wasaidizi wako wa karibu na waaminifu , watii na wanyenyekevu kwako.

waliojitoa na kujitolea kufanya kazi kwa jasho na damu na ukija kushtuka unajikuta umebaki mwenyewe na kuzungukwa na watu wenye nia ovu na dhamira ya kukuangusha wewe mwenyewe ili watwae kiti ulichokalia kwa wepesi sana kwa kukupachikia watu wasio na uchungu na wewe wala uzalendo kwako wala usikivu kwako wala kukuunga mkono wala kukusikiliza au kukuheshimu au kukulinda kwa namna yoyote ile wala kujitoa mhanga kwa ajili yako zaidi ya kukuandalia anguko lako na mwisho wakae pembeni wakipongezana kwa mikakati yao kufanikiwa.

Lakini pia Rais Samia akibaini kuwa tuhuma zilikuwa ni za uongo na uzushi anaweza kumrudisha tena ili kuwapa nguvu na morali ya kazi wale waadilifu na kuwalinda dhidi ya walafi wa madaraka.lakini pia inaweza kuwa sehemu ya kuwanyima ushindi wenye tabia kama hiyo ya kupika majungu.maana wanaweza wakajua kuwa kama fulani ni mwadilifu sana na ndiye kikwazo kwao katika kutimiza malengo yao basi njia rahisi ni kumchafua kwa njia yoyote ile ili atoke na wao kupachika mtu wao kwa kumpigia debe yule wanayejuwa atakuwa daraja la kupitishia ajenda zao lakini atakaye kuwa kama dodoki la kunyonya na kubeba kila kitu atakachoambiwa na wao pasipo kutafakari bali kuomba wimbo wao kama kasuku tu.huku akikaa na kuishi na wewe kinafiki lakini akiwa kipaza sauti cha wengine.maana waliosema siasa ni mchezo mchafu hawakukosea.

Lakini pia Mh Mwenyekiti wetu anaweza asimrudishe na akatoa kalipio kali kwa wote wenye kuhusika na upikaji wa Majungu,fitina na uzushi. Lakini pia ikibainika tuhuma ni za kweli basi mh Rais kama mwenyekiti wa chama anaweza kutoa kalipio kali sana kwa watendaji wote ndani ya chama kuzingatia maadili ya kazi na kujiheshimu katika utekelezaji wa majukumu yao pamoja na maisha yao binafsi kuwa yenye uadilifu. Kwa hiyo itampatia uwanja mkubwa sana Rais Samia kama Mwenyekiti wa chama.itampa jibu afanye nini kwa maslahi mapana ya chama chetu.

Lakini itamhitaji kuwa mtulivu sana katika kufanya uamuzi wa aina yoyote ile.itamhitaji kuomba hekima ya Mungu.itamhitaji kujinyenyekeza mbela za Mungu ili ampe maarifa ya utambuzi na ung'amuzi wa mambo..itamhitaji kwa kila aambiwacho na kushauliwa kukitafakari kwa kina na mapana yeye binafsi kabla ya kufanya maamuzi kama mtu wa mwisho au kukubali.itahitaji kupita katikati ya mistari ya kila sentensi atakayoambiwa.maana wakati mwingine waswahili wanasema kikulacho kinguoni mwako.anayeweza kukuangusha wewe ni yule au wale wa karibu yako na unaowaamini na kuwategemea sana.ndio maana nikasema amtangulize Mungu wake kwa kila jambo.

Huo ulikuwa ni uchambuzi wangu huru ambao haujajikita kusema tuhuma alizotuhumiwa ni za kweli ama siyo za kweli. kitakacho bainisha juu ya hayo ni uchunguzi huru pekee ambao hata mimi mwenyewe siujuwi.

Kazi iendelee,mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Njaa ni mbaya sana
 
Kwa hiyo basi kama uchunguzi ukafanyika na ukabaini pasipo na shaka ya aina yoyote ile kuwa yote yaliyosemwa yalikuwa ni ya uongo ,uzushi, fitina,chuki binafsi, kupakana matope,visasi,vita ya kuwania madaraka siku za mbele na uchu wa madaraka kwa baadhi ya watu basi Mwenyekiti wetu Taifa anaweza kurudisha tena jina lake kuendelea na ukatibu mkuu wa CCM.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Naunga mkono hoja, ila hata kama itakutikana ni uongo, fitna, zengwe na majungu , maadam ameachia mwenyewe, atafutiwe tuu post nyingine, maana baada ya chuma kingine kuingia kwenye uenezi, huyu jamaa yetu hawezi!.
P
 
Back
Top Bottom