Chonde Chonde Serikali tupieni upesi ' Jicho lake Kali ' katika huu ' Usanii ' wa uwekezaji wa GSM, Sevilla na la Liga kwa Klabu ya Yanga

Good boy sisi tunataka vikombe na burudani ya mpira thats all hao kina genta wababaishaji ni Simba ambao wanajifanya yanga hawataki tuendelee
 
Wivu tu umekojaa. Pyuuuuuuuuuuh..
Kwanza Young African hatuwezi kuwa na shabiki uchwara kama we..
Nenda kwenu huko mikia mlikozoea kudanganyana

Kwa uandishi huu ni wazi kuwa huna hoja, bandiko lipo juu ya uwezo wako mdogo huo... jifunze kusikiliza wakubwa wakiongea.
 
Baki huko huko Hindu Mandal fc. Hatuhitaji mawazo yako ya kibarakoa
 
Mpira wetu, siku zote hausongi mbele sababu unaongozwa na watu waliochoka , unajadiliwa na kundi lililochoka lkn Lina nafasi ya kufikiwa na media na kutoa maelezo mareeeefu ya ujuwaji kuliko uhalisia.

Kama GSM ana malengo ya kuichukua Yanga kiurahisi kwa faida yake , kutakuwa na tofauti gani MO alivyoichukua Simba kiurahisi na kwa faida yake.

Mf mdogo toka lini, Simba ikawa na jezi rangi nyeusi iliyochanganyika na nyekunfu.

MO kaweka utambuzi wa rangi yake , hakuna aliyehoji kwa sababu timu ni yake.

Yupo katika mipango ya kuweka nembo ya kampuni zake na kutoa ule mchoro wa mnyama Simba wenye akili kimyaa.

Shule/ vyuo vipo vingi Tanzania lkn kuna wazazi kutokana na UKWASI walionao hupeleka watoto wao huko.

GSM kwenda Laliga ni fursa zilizopo pale TFF wenye upeo mdogo wamezikuta kule
 
Mwambie huyo GSM wako kuwa Tanzania hii ya sasa ni ya Rais Dkt. Magufuli hivyo huo Usamjo ( Utapeli ) wake kwa Yanga SC hatoliweza Kamwe.
Acha umbea wewe umeanza kushabikia lini Yanga?!!!...yaani watani zenu wanapoamua kujikwamua kutoka hali waliyonayo mnatia kaharufu cha kifigisufigisu kama yule zeruzeru juzi alishindwa kuzuia kinyongo chake kuhusu hii ishu...Iache Yanga na mashabiki wake bakini na MO wenu awape hizo billion 20
 
Jana katika ratiba ya shughuli nikaona kipengele cha utiaji sign kati Yanga na GSM nikajiuliza kuwa tuliambiwa utiaji sign utakuwa kati ya consultant kutoka LaLiga why GSM?, wakati walisema GSM atafadhili mchakato tu!, nikajua yaleyale "janjajanja" wao kama wanataka kutoa team kwa GSM watoe tu sio "Oh, consultant kutoka LaLiga and blah blah! ".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…