NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,263
- 12,763
Nimesikitishwa na kauli ya msemaji wa Simba sc (Ahmedy Ally) kutamka kuwa "ushindi wa Yanga dhidi ya mwarabu ashukuliwe MO dewji"
Mwisho wa kunukuu.
Hoja Yangu ni kwamba Yanga watamshukuru vipi tajiri Bahili na mwenye propaganda linapokuja suala la kusajili wachezaji wenye viwango vya kimataifa?!
Tajili kashindwa kabisa kuleta furaha kwa mashabiki alichofanikiwa kikubwa ni kumleta manzoki katika uchaguzi wa MWENYEKITI wake Mangungu.
Tajili yupo kimasilahi ana hakikisha bidhaa zake zinacholwa kwenye jezi Kama ubao wa mtoto wa chekechea anayejifunza kusoma na kuandika.
Tajili kashindwa kujenga kiwanja hata kuahidi Kama alivyofanya GSM Bali kasepa na buku buku walizochanga Mashabiki.
Maoni Yangu: Yanga Sc hawatamshukuru kwa kufuzu Robo tu Bali watamshukuru kwa kutosajili wachezaji Bora /wazuri na kusababisha kuifunga Simba sc magoli matano.
Mwisho wa kunukuu.
Hoja Yangu ni kwamba Yanga watamshukuru vipi tajiri Bahili na mwenye propaganda linapokuja suala la kusajili wachezaji wenye viwango vya kimataifa?!
Tajili kashindwa kabisa kuleta furaha kwa mashabiki alichofanikiwa kikubwa ni kumleta manzoki katika uchaguzi wa MWENYEKITI wake Mangungu.
Tajili yupo kimasilahi ana hakikisha bidhaa zake zinacholwa kwenye jezi Kama ubao wa mtoto wa chekechea anayejifunza kusoma na kuandika.
Tajili kashindwa kujenga kiwanja hata kuahidi Kama alivyofanya GSM Bali kasepa na buku buku walizochanga Mashabiki.
Maoni Yangu: Yanga Sc hawatamshukuru kwa kufuzu Robo tu Bali watamshukuru kwa kutosajili wachezaji Bora /wazuri na kusababisha kuifunga Simba sc magoli matano.