Klabu ya Yanga SC, leo hii imeingia mkataba na Hospital ya Aga Khan, ambapo itawafanya wachezaji wa Yanga kupima afya zao, lakini pia wanachama na mashabiki wa Yanga SC kuweza kupata huduma nchi nzima kwenye Hospital za Aga Khan.
Wanachama wenye kadi ya uanachama wa Yanga SC wanaweza kuhudumiwa kwa punguzo la bei kwenye Hospitali za Agakhan ambazo zimeenea nchini.
Mkataba wa Yanga SC na Hospital ya Aga Khan ni wa miaka miwili.
Written by Mjanja M1 ✍️
Wanachama wenye kadi ya uanachama wa Yanga SC wanaweza kuhudumiwa kwa punguzo la bei kwenye Hospitali za Agakhan ambazo zimeenea nchini.
Mkataba wa Yanga SC na Hospital ya Aga Khan ni wa miaka miwili.
Written by Mjanja M1 ✍️