Polisi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,082
- 639
Kwa kweli dada alikuwa anachangamsha sana hili jukwaa. Anajua kufrustrate, kutibua akili za watu. Yaani ni pasua kichwa. Tangu alipoondoka jukwaa hili limepoa na huenda likafa kama kilivyokufa kipindi cha usiku wa habari tbc baada ya jerry muro kuondoka. Mimi niko tayari kumnunulia bundle ya mwezi mtandao wowote anaotumia