Vin Diesel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 9,087
- 6,390
wala siharibu m'bebs wangu wa ukwe'e....
ita majina yote na mie nakufuatilia kwa karibu.....hebu nyanyua simu....nimetulia now
wala siharibu m'bebs wangu wa ukwe'e....
Nipite tu mitaa hii.Iam happily commited/engaged to ..................
Haya hayanihusu..sosi Mwanamalundi
wewe hujaona?
akija huku anakuwa singo boiii.... 😛eace:
nimekiona na nnakijua kuliko unavyokijua wewe..........
daadekii.
mafaili yamekuwa mengi aisee.... Naomba uje kunisaidia kuyapanga Madame B ... Nasikia wewe ulisomaga data management na mambo ya tanga univesiti.... Unafaa aise
JESUS CHRIST of NazarethJaza nafasi ilyoachwa wazi
JESUS CHRIST of Nazareth
Njoo upange mafaili geto bibie... Wacha kuhangaika hangaika bana
Nafaa na mpaka kufikia hatua ya kumiliki waume 5 si mchezo,ujue nina viwangoooo tena vya mtoto wa Kike aliye kamili kila idaraaa.
Sidanganyiki.
Teh teh...Sihitaji namba..Tena mchumba wangu ana wivu sana..booking number ®C.C.B/5625523
Nikitimuliwa nahamia kwako.