Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,835
- 37,445
kisa cha kunipiga vikumbo ni nini haswa hapa jukwaani? Unaniliza kila dakika....
Tulia mtoto,ule raha.
Najua nyie viserengeti boy mnapenda sana Midada ya mjini wakati wote mna vibamia.
kisa cha kunipiga vikumbo ni nini haswa hapa jukwaani? Unaniliza kila dakika....
umepata nafasi ya ukatibu mwenezi wa chama... ®C.C.B/850
muraa hii ni kitu cha Kyabakari-Tarime
Nipo ndani kwa ajili ya kujiandaa na arusi sasa nitatokaje kupanga mafaili..Kama unaweza niombee ruhusa...lakn ujiandae vilivo...Lakn kuna jambo moja la ajabu kwa huyu mchumba wangu.Hata wewe ukitaka kuwa mchumba unaruhusiwa japo ana wivu sana...
kazi zake tafadhali...
" na Kama Bibi HArusi ajipambavyo.. kwa vyombo vya dhahabu"....
Tulia mtoto,ule raha.
Najua nyie viserengeti boy mnapenda sana Midada ya mjini wakati wote mna vibamia.
Upo deep shemeji.NAKUPENDA sana
Na sie ambao status zetu zinategemea tulipo na hali ya hewa je? Manake mchana i was married, saa hizi niko single. Usiku lazma iwe complicated!
kuonesha mlango members wapya na kuwapa viti katika ukumbi tu
Na hilo ndilo neno la leo Shemeji, nakupenda sana pia..... Donn, wewe angalia, usitake kuona.
shit. Mimi kuongea kabla ya mwenyekiti na kutoa summary baada ya katibu kuongea.
Si ndo nimekuambia kuwa hilo ni simpo sana..tunaweza sogeza siku..Lakn inabidi uombe ruhusa kwanza.Nakupewa ruhusa sharti na wewe uwe mchumba wa Yesu..bible...!!! Juma.. Jumaaa... Juma pili... Sasa binti sayuni... Si tunaweza ongea fresh... Ili wakati unamsubiri Jesus arudi tunakuwa tunasogeza siku
hongera kwa kujiongezea majukumu.... Umepata nyota 1
Si ndo nimekuambia kuwa hilo ni simpo sana..tunaweza sogeza siku..Lakn inabidi uombe ruhusa kwanza.Nakupewa ruhusa sharti na wewe uwe mchumba wa Yesu..