CHIT-CHAT BACHELORS (C.C.B) Jiandikishe mapema

CHIT-CHAT BACHELORS (C.C.B) Jiandikishe mapema

Nipo ndani kwa ajili ya kujiandaa na arusi sasa nitatokaje kupanga mafaili..Kama unaweza niombee ruhusa...lakn ujiandae vilivo...Lakn kuna jambo moja la ajabu kwa huyu mchumba wangu.Hata wewe ukitaka kuwa mchumba unaruhusiwa japo ana wivu sana...

hayo ndo maneno sasa... Eenhe.. Isue gani hiyo kwanza?
 
Na sie ambao status zetu zinategemea tulipo na hali ya hewa je? Manake mchana i was married, saa hizi niko single. Usiku lazma iwe complicated!

we unasajiliwa kwenye daftari lisilo la kudumu... ®C.C.B/2526 karibu kundini
 
Donn samahani, naomba mnifute kwenye chama chenu cha C.C.B mie kuanzia sasa sio single ni double. Katibu wa kudumu mtafute mtu mwingine. Nawatakieni kila la kheri
 
Last edited by a moderator:
bible...!!! Juma.. Jumaaa... Juma pili... Sasa binti sayuni... Si tunaweza ongea fresh... Ili wakati unamsubiri Jesus arudi tunakuwa tunasogeza siku
Si ndo nimekuambia kuwa hilo ni simpo sana..tunaweza sogeza siku..Lakn inabidi uombe ruhusa kwanza.Nakupewa ruhusa sharti na wewe uwe mchumba wa Yesu..
 
Donn samahani, naomba mnifute kwenye chama chenu cha C.C.B mie kuanzia sasa sio single ni double. Katibu wa kudumu mtafute mtu mwingine. Nawatakieni kila la kheri

Duh.... Wee... Nani amekudanganya huko PM tena..? Ama binti Mzungu hunbig amerudi?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom