JosephElly
JF-Expert Member
- Jun 5, 2012
- 2,432
- 1,035
- Thread starter
- #21
Usinisahau Chachu Ombara mutu ya congo kinshasa.
Siwezi kukusahau ndugu.... Yaani unapata nafasi ya ukatibu kabisa
Usinisahau Chachu Ombara mutu ya congo kinshasa.
Donn..........nipe katiba ya chama kwanza
nakuandikisha... Ila Slave akijua mimi simooo....
Hapo safi maana mikoba yote nashika mm,tupia huko hata m/kitiSiwezi kukusahau ndugu.... Yaani unapata nafasi ya ukatibu kabisa
hiki ndio chama pekee ambacho members wake wanaruhusiwa kupokea members wapya na wale warembo wa zamani kama Kipipi mutaruhusiwa kuwafukuzia... Copy Nicas Mtei KakaKiiza
Muacheni Mume wanguuuuuu.....
Yeye ana mke,ambae ni mimiiiii......ebooooo.
Hawezi bana niandike nikajichanganye na masingo boiz mie!!!!
Donn
mfikishie pia
Jiwe Linaloishi ila muambie paka kapitia kitowoe chake.
Vin Diesel mkaribishe kwenye chama awe mpokeaji wa C.C.B tunao jiandaa kuingia kwenye ndoa.
Niandike ila kwa matumizi ya siku zijazo.
wewe Madame B haijalishi hiyo.... Kila mwanaume yupo single daily... Hata kama anawake wengi kama muswati
tayar ushapata mume orijino? Kuna mvuv anataka mke
mi najiunga ila najua ni kwa muda tu maana kuna dada fulani baada ya kusikia ndoa yangu inayumba akaanza kutangaza nia
Nataka uwenyekiti.