CHIT-CHAT BACHELORS (C.C.B) Jiandikishe mapema

CHIT-CHAT BACHELORS (C.C.B) Jiandikishe mapema

mafaili yamekuwa mengi aisee.... Naomba uje kunisaidia kuyapanga Madame B ... Nasikia wewe ulisomaga data management na mambo ya tanga univesiti.... Unafaa aise
 
Last edited by a moderator:
Acha ajichekee, mtoto mkali kuliko njaa. Hadi wanawake wenzie kina Mzungu Hunbig ana mzimia. Chezea wewe!!

Umeona ee?
Sema we Kiazi, Nikisema mie Muhogo nitaambiwa nina Mzizi.
Natisha kama njaa,
nateleza kama mlenda.
 
Back
Top Bottom