CHIT-CHAT BACHELORS (C.C.B) Jiandikishe mapema

CHIT-CHAT BACHELORS (C.C.B) Jiandikishe mapema

Handsome UKONGA Nzima haijawahi tokea... Donn asiyepangwa foleni... Donn kipenzi cha mabinti... Donn uliyemtole machozi ya damu...

Handsomeboyz ni waume zangu Chimbuvu, Chilli na Arushaone JF nzima.
Watoto Black iliyotulia,Wana miili ya mazoezi washobokeao madada wa mjini na miili yetu ya Kujimwayamwaya kila tuingiapo.
Sio wewe Donn,weupe wa dukani hata Banana hawakujui.
Utacheza koote,mwisho wako Kiwalani.
 
Last edited by a moderator:
Handsomeboyz ni waume zangu Chimbuvu, Chilli na Arushaone JF nzima.
Watoto Black iliyotulia,Wana miili ya mazoezi washobokeao madada wa mjini na miili yetu ya Kujimwayamwaya kila tuingiapo.
Sio wewe Donn,weupe wa dukani hata Banana hawakujui.
Utacheza koote,mwisho wako Kiwalani.

:A S-cry:
 
Last edited by a moderator:
Alafu Madame B nitakupeleka jukwaa la sheria we fanya masihara.... Unataka nipa brain konkasheni hapa hapa
 
Last edited by a moderator:
Mara ya mwisho ulisoma lini bible? Mimi ndio Binti Sayuni bibi harusi mtarajiwa wa Kristo....

bible...!!! Juma.. Jumaaa... Juma pili... Sasa binti sayuni... Si tunaweza ongea fresh... Ili wakati unamsubiri Jesus arudi tunakuwa tunasogeza siku
 
mwambie apunguze mawivu bana.... Tena kama vp njoo usaidie kupanga mafaili ya chama mpendwa...
Nipo ndani kwa ajili ya kujiandaa na arusi sasa nitatokaje kupanga mafaili..Kama unaweza niombee ruhusa...lakn ujiandae vilivo...Lakn kuna jambo moja la ajabu kwa huyu mchumba wangu.Hata wewe ukitaka kuwa mchumba unaruhusiwa japo ana wivu sana...
 
Na sie ambao status zetu zinategemea tulipo na hali ya hewa je? Manake mchana i was married, saa hizi niko single. Usiku lazma iwe complicated!
 
Back
Top Bottom