Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,838
- 37,523
Naomba unitangaze rasmi.
Acha wenge basi dogo.
Naomba unitangaze rasmi.
Dah!
Mtihani huu.
sasa huku watafuta nini?!?!? :confused2:
Huko hakuna ishu mzazi.... 70% mpango mzimaaa... Mtakuja zone inaitwa
Well Noted, Mpenzi unaenipa raha gemuni.
Nahisi hapa naweza kufit na mim, naomba uanachama mkuu.
Acha wenge basi dogo.
Hahaha. Huku raha sana. Ananipenda, nampenda. Tunapendana. Huko nlshaptia. Ctak kurudi huko.
Hiki ni chama kipya kabisa kinachopokea mabachela wote JF... Tukiwa na mitazamo tofauti na kile cha Baba V ... Huku ni burudani... Yaani stress free.... Watu kama charminglady , stevoh na C6 munakaribishwa. Na wale mabachela wa longtym kama noahism na figganigga munakaribishwa kujinyakulia kujitwaalia nafasi za uongozi wa chama cha raha a.k.a CHIT CHAT BACHELORS... Uandikishaji umeanza... Wahi sasa
ila kumbuka huku kunaitwa C.C.B a.k.a mtakuja
Hakuna kitu kama hcho. Kamwe