China sio nchi iliyoendelea

China sio nchi iliyoendelea

Kwa nini unaishia kwenye kumi bora? Umepataje standard ya kusema uchukue kumi bora tu, na si 11 au 9 bora?

Hizo metrics ukizotaja China zinawafukia Wachina wangapi na wangapi haziwafikii? Nchi haiwi nchi iliyoendelea kwa kuwa na mifumo mizuri mijini tu au sehemu fulani tu ya nchi. China ni nchi kubwa na ina watu wengi sana masikini, mnaelewa hili?
Kwani Marekani hakuna masikini ?
 
200 million angalau, kwingine kwenye mataifa yaliyoendelea si kwa kiwango hicho.

Hapa tunaweza kubishana mpaka subuhi, kwa sababu, hakuna definition rasmi ya nchi iliyoendelea iko vipi na inayoendelea iko vipi.

Wachumi wenyewe hawakubaliani, na suala hili lina siasa nyingi.

Hivyo, linabaki kuwa suala la mtazamo.

magazine cover image

Foreign Policy


ANALYSIS

China Is Developing and Developed at the Same Time​

The world’s second-largest economy has a historically unique economic status.​

By Philippe Benoit, an adjunct senior research scholar at Columbia University’s Center on Global Energy Policy.
A woman sleeps beneath a billboard promoting new urban development in Beijing.
A woman sleeps beneath a billboard promoting new urban development in Beijing.
A woman sleeps beneath a billboard promoting new urban development in Beijing on Aug. 21, 2003. FREDERIC J. BROWN/AFP VIA GETTY IMAGES
My FP: Follow topics and authors to get straight to what you like. Exclusively for FP subscribers. Subscribe Now | Log In
MAY 23, 2023, 9:58 AM
The U.S. House of Representatives recently voted unanimously that China should no longer be considered a “developing country.” A major motivation is to deny China the preferential treatment it receives as a developing country under the World Trade Organization, the U.N. climate framework, and other international arrangements. Indeed, from Africa to Latin America and even Europe, China is very much adopting the role of a rich global power.
And yet, China continues to exhibit many traits of a developing country, including in energy and other areas, and particularly outside the major urban centers most visible to foreigners. The truth about China’s status as a developing country is far more complex.
China has transformed itself from a low-income country in the 1990s into the world’s second-largest economy, with many attributes of a rich global power projecting its economic and diplomatic influence abroad. Earlier this year, French President Emmanuel Macron became another in a line of European leaders to visit China, soliciting closer business ties, while also hoping to encourage Beijing to exercise its influence on Moscow regarding the invasion of Ukraine. China is projecting itself increasingly in international affairs, with the largest number of foreign postings (surpassing the United States) and repeatedly mobilizations of its military (third behind the U.S. and Russia) to the disquiet of its neighbors and others. Indeed, China is acting very much like a wealthy global power.
But China also still exhibits various characteristics of a developing country, including a population of more than 200 million people without access to clean cooking technologies; widespread pollution; and a ranking under the Human Development Index—which focuses on health and education outcomes—of 79th out of 191 countries (scoring below, for example, Sri Lanka and Iran). Even its continuing heavy reliance on coal, a cheap but dirty fuel, is arguably a developing country trait that contrasts with the substantially lower shares achieved by advanced economies such as those of the European Union and the United States.
China is expected soon to graduate from “middle income” into “high income” under the World Bank country classification system—which arguably is part of the reasoning underlying the U.S. House vote—but this change won’t immediately erase its developing country aspects. For example, the International Energy Agency (IEA) has estimated that it will take China until 2030 to provide basic clean cooking access to all. Moreover, China is still, in U.S. dollar terms, far from the income levels enjoyed in developed Organization for Economic Cooperation and Development economies; notably, its GDP per capita is currently half that of Portugal and equates to the average income of the world population across all developed and developing countries.


Similarly, while only 2 percent of Portugal’s population lived below the poverty threshold of $6.85 a day in 2019, the corresponding figure for China was more than 10 times bigger, at 25 percent. Achieving the levels of Portugal and other advanced economies will require not only time, but continued success in maintaining robust growth.
In assessing China, it is important to recognize that it presents a unique situation: a country combining developed and developing country traits with global clout. It is the world’s lone “hybrid superpower.”
Energy is an area that illustrates this dynamic. Consistent with its income level, China is still at a development stage where it relies on increasing energy use to power further economic growth. The IEA projects that China, already the world’s largest energy user, will need to procure nearly 20 percent more by 2040. This contrasts with advanced economies, such asthe United States., Japan, and the European Union, where energy consumption is projected to fall.
Securing these larger amounts of energy is and will remain a major concern for Beijing’s decision-makers. Notwithstanding its extensive domestic resources (such as coal, oil, and renewables), much of China’s energy will need to be imported, which in turn will affect its approach to the Middle East and other energy exporters, including Russia. Beijing’s recent diplomatic efforts toward Saudi Arabia and brokering a rapprochement between Saudi Arabia and Iran arguably reflect its interest in enhancing the stability of its oil imports from the region.
Domestic poverty will also affect China’s strategies. While it showcases the skyline of Shanghai and other advancements (such as its high-speed rail system), poverty remains a reality for millions of Chinese households. In addition to the 200 million without access to clean cooking, many others rely on coal to heat their homes. Similarly, while Beijing enjoys GDP per capita levels resembling Europe, households in China’s poorest region face levels similar to Peru. China has succeeded in eliminating the extreme poverty burdening most developing countries, and it is now home to a burgeoning middle class, but many families still lack quality standards of living, particularly in rural areas. Addressing these issues will require Beijing’s attention and resources.
This duality of China’s hybrid development status can arguably be seen in the “near-peer” descriptor used by the U.S. national intelligence community in its 2021 annual threat assessment report. As Director of National Intelligence Avril Haines explained to Congress at the time: “While China poses an increasingly formidable challenge to the U.S. role in global affairs, it is worth noting that its economic, environmental and demographic vulnerabilities all threaten to complicate its ability to manage the transition to the dominant role it aspires to in the decades ahead.” Some of those constraints flow from its developing country traits.
Sasa mkuu unaishangaa China kuwa na masikini milion 200 ambao ni sawa na % 8 ya raia wa nchi hiyo ila hauishangai Marekani yenye masikini milion 36 ambao ni sawa na%10 ya raia wa nchi hiyo?
 
Kama masikini wa US wako hivyo, basi huko China ni *3
Ukienda vijijjin china kuna vijiji vya ujamaa kila Kijiji kina bwawa la samaki. Yaan unaweza kuish bila shida. Tatizo la China ni kuwa sera yao ya kuzaa mtoto mmoja ilikuja kuleta shida maana mtoto mmoja wazazi washazeeka inabid awapambanie nk. Huku sio Kama western countries Mzee akizeeka anapelekwa boarding kuishi kama kuku wa kisasa mzee. So kwa kiwango cha umasikin kwa linchi kama marekan mi naonaga ina watu mabepar sana. Bora ungesema Nordic countries
 
Sasa mkuu unaishangaa China kuwa na masikini milion 200 ambao ni sawa na % 8 ya raia wa nchi hiyo ila hauishangai Marekani yenye masikini milion 36 ambao ni sawa na%10 ya raia wa nchi hiyo?
Kwanza kabisa hesabu hujui. Namba zako zako ovyo. Milioni 200 si 8% ya raia wa China. Na hata hivyo 8% bado ni significant.

Pili, hakuna kipimo kilichokubalika na Wachumi cha kuita nchi imeendelea au haijaendelea, hivyo mjadala huu hauna jibu litakalotokana na vipimo vya kiuchumi vilivuokubalika, itakuwa ni jambo la kila mtu kuamua tu.
 
Yani Wee uende China Kutafuta Maisha Wakati Wenyewe wanakimbia Kwao China Bado Sanaa Mpaka Waache kula Nyoka ,Mmbwa wadudu Wanaotambaa Ndo Wanakuwa na Akili
 
hayo ya tandahimba yako, China hakuna kitu wanajitahidi majengo, but not life as life, life is in the USA and western world...
yeah ukiangalia majengo unaweza zidharau nchi kama norway,sweden...kumbe kimaisha ziko bora kuliko nchi nyingi duniani.
 
Mbona hizo nchi zote ulizo zitaja hapo kwa vipato vya mtu mmoja mmoja zinazidiwa mbali sana na Qtaar,UAE,Brunei, Singapore, kwahiyo hizo Ujerumani haijaendelea kisa inazidiwa na Qtaar kwenye kipato cha mtu mmoja mmoja?
Kwani mtoa uzi kasema qatar singapore nk hazijaendelea?
 
Huko China vijijini bado kuna watu hawana uhakika wa maji safi na salama mpaka leo kama bongo tu.
 
Wewe unaijua japan kweli kwa kuibeza japan ni nchi tajiri duniani pato la taifa ni kubwa wachina wanakimbilia japan kila saa
yawezekana maana hata kama china tajiri lakini kipato cha mtu mmoja mmoja bado si kikubwa kama japan
 
Watu wengi wanajua kwamba China ni nchi iliyoendelea. China sio developed country, ni nchi inayoendelea.

Uchumi wa China wa 18 trillion USD GDP ni mdogo ukilinganisha na wingi wa raia wake. Pato la mwananchi wa kawaida wa China ni mdogo ukilinganisha na mataifa kama Japan, Germany, USA, UK, France🇫🇷 nk.

Kwasababu ya udogo wa uchumi wa China, hata wa China wenyewe wanakimbilia USA, Europe, Japan, south Korea, Canada kutafuta maisha.

Hata hapa Afrika, huwezi kusikia mtu anakimbilia kutafuta maisha China. Mtu atapigana kwenda USA, Japan, Europe kutafuta maisha.

China bado sana. Level zake ni Misri, Algeria, Thailand
kunasehemu uko sahihii na kunasehemu unaongea kama hujielewi!
Kama kuna siku china ikaaachia mipaka yake kama zilivo nchi za ulaya basi ungeona waafrica na nchi za asia zikijaa huko hata wahindi wangejaa china.

Lakin bahati mbaya nchi ya china au nchi nyingi za asia hazina hizo loose policy za migrants au refugees.
 

Attachments

  • C2FBA251-0A53-47C8-9083-78A9D19D7E64.jpeg
    C2FBA251-0A53-47C8-9083-78A9D19D7E64.jpeg
    351.8 KB · Views: 16
China ya sasa ni zaidi ya US,wanaofikiri US wako mbele bado mmelala,na nimefika na kuishi Nchi zote mbili
 
Ni vingi lakini kimojawapo kikubwa ni GDP per capita. GDP per capita ya China ni ndogo sana ukilinganisha na mataifa mengi ya Ulaya na America. Ipo chini kuliko hata GDP per capita ya baadhi ya nchi za Africa.
 
Back
Top Bottom