China sio nchi iliyoendelea

China sio nchi iliyoendelea

Ni vingi lakini kimojawapo kikubwa ni GDP per capita. GDP per capita ya China ni ndogo sana ukilinganisha na mataifa mengi ya Ulaya na America. Ipo chini kuliko hata GDP per capita ya baadhi ya nchi za Africa.
Seychelles na Mauritius Zina GDP per capita kubwa kuliko China. Hat hivyo nchi Zebur GDP per capita kubwa sana duniani ni nchi ndogo dogo za ulaya ambazo uchumi wake unategemea utalii na Kamari tu, na nchi za uarabuni ambazo uchumi wake unategemea mafuta tu.
 
Watu wengi wanajua kwamba China ni nchi iliyoendelea. China sio developed country, ni nchi inayoendelea.

Uchumi wa China wa 18 trillion USD GDP ni mdogo ukilinganisha na wingi wa raia wake. Pato la mwananchi wa kawaida wa China ni mdogo ukilinganisha na mataifa kama Japan, Germany, USA, UK, France🇫🇷 nk.

Kwasababu ya udogo wa uchumi wa China, hata wa China wenyewe wanakimbilia USA, Europe, Japan, south Korea, Canada kutafuta maisha.

Hata hapa Afrika, huwezi kusikia mtu anakimbilia kutafuta maisha China. Mtu atapigana kwenda USA, Japan, Europe kutafuta maisha.

China bado sana. Level zake ni Misri, Algeria, Thailand
Unalinganisha China kiuchumi na Misri, Algeria ? Hawa ndiyo wasomi wetu na div one ya Kanisa.
 
Back
Top Bottom