Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 87,806
- 152,940
Pinga point, usipinge nani katoa point.Sasa VoA ni kina nani? hio ni voice of America, hayo ni mawazo yao, Trump mzee wa makavu live amekiri China is developed country, sasa wewe na Trump nani anafahamu siasa za dunia yote hii?
That is ad hominem logical fallacy.
VOA wametoa sources hawajatunga hadithi yao tu.