100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 10,373
- 37,214
Kuna wanasiasa wamesoma uchumi, Prof Lipumba ni mwanasiasa kasoma uchumi, wa hivyo US gov wapo wengi na ni vichwa hasa.Ukishasema US governement unaongea politics si uchumi.
Kuna wanasiasa wamesoma uchumi, Prof Lipumba ni mwanasiasa kasoma uchumi, wa hivyo US gov wapo wengi na ni vichwa hasa.Ukishasema US governement unaongea politics si uchumi.
Ila kiranga🤡Ukishasema US governement unaongea politics si uchumi.
Hujajibu swali.Sasa mimi naongelea wachina walipo China ndani kabisa sijui hao wachina wako wa wapi. Bado watu wana picha ya China ya wakati ule wa Mao mambo yame badilika pakubwa tu
So, unataka kusema nini ?Hujajibu swali.
Kwani Wachina wote wanakesha Weibo?
Tofautisha siasa na uchumi. Naona hujaweza kutofautisha hayo mawili na kama hujaweza ni vigumu kuzungumzia hii hoja kimantiki.Kuna wanasiasa wamesoma uchumi, Prof Lipumba ni mwanasiasa kasoma uchumi, wa hivyo US gov wapo wengi na ni vichwa hasa.
Achana na Trump, US gov na wao ni matapeli? au hoja yako ndio ile kwamba ni siasa.Hufuatilii kesi zake alizodanganya Deutschebank ili kupata mikopo?
Unaishi dunia gani wewe?
![]()
Trump could be the most successful con artist in American history
Republican voters are being hustled so effectively that they are cheering Trump on, laughing as he rips them off.thehill.com
Serikali ya US hakuna waziri wa uchumi?Tofautisha siasa na uchumi. Naona hujaweza kutofautisha hayo mawiki na kama hujaweza ni vigumu kuzungumzia hii hoja kimantiki.
Swali la kwanza la kiuchumi ni hili.
Ili nchi iitwe imeendelea au inaendelea, inatakiwa kuwa na vigezo gani?
Ukichunguza, utakuta jibu la swali hili bado ni mgogoro.
Wachumi wenyewe hawakubaliani.
Maana yake, hapa tutabishana sana kimtazamo na kutoana ngeu katika swali ambalo hata vigezo vilivyokubalika vya kupata jibu lake havipo.
Mnabishana kuhusu swali ambalo vigezo vilivyokubalika vya kupata jibu lake havijapatikana. Kila mtu ana kigezo chake. Wachumi wenyewe hawajakubaliana, swali lina siasa nyingi.So, unataka kusema nini ?
US gov wana mengi ya kiuchumi, lakini make your case beside the US gov kwa sababu ukishaweka habari ya US gov Mchina atakujibu hizo ni siasa tu za mahasimu wangu wa kisiasa US gov na hapo anakuwa kashakuondolea credibility.Achana na Trump, US gov na wao ni matapeli? au hoja yako ndio ile kwamba ni siasa.
Ungesema mapema.Tofautisha siasa na uchumi. Naona hujaweza kutofautisha hayo mawiki na kama hujaweza ni vigumu kuzungumzia hii hoja kimantiki.
Swali la kwanza la kiuchumi ni hili.
Ili nchi iitwe imeendelea au inaendelea, inatakiwa kuwa na vigezo gani?
Ukichunguza, utakuta jibu la swali hili bado ni mgogoro.
Wachumi wenyewe hawakubaliani.
Maana yake, hapa tutabishana sana kimtazamo na kutoana ngeu katika swali ambalo hata vigezo vilivyokubalika vya kupata jibu lake havipo.
Nimesema mapema tu, wewe tu hujaweza kufuatilia.Ungesema mapema.
Uko sahih kbsa huwezi sikia mtu anasema mm nakwenda china kutafuta maisha Mara nyingi Ni usa,Canada,na baadhi ya nnchi za EuropeWatu wengi wanajuwa kwamba china ni nchi iliyoendelea. China sio developed country, ni nchi inayoendelea.
Uchumi wa China wa 18 trillion USD GDP ni mdogo ukilinganisha na wingi wa raia wake. Pato la mwananchi wa kawaida wa China ni mdogo ukilinganisha na mataifa kama Japan, Germany, USA, UK, France[emoji632] nk.
Kwasababu ya udogo wa uchumi wa China, hata wa China wenyewe wanakimbilia USA, Europe, Japan, south Korea, Canada kutafuta maisha.
Hata hapa Afrika, huwezi kusikia mtu anakimbilia kutafuta maisha China. Mtu atapigana kwenda USA, Japan, Europe kutafuta maisha.
China bado sana. Level zake ni Misri, Algeria, Thailand
Alisikika bwege mtozeni mmoja akibweka baada ya kulewa vya bureWatu wengi wanajuwa kwamba china ni nchi iliyoendelea. China sio developed country, ni nchi inayoendelea.
Uchumi wa China wa 18 trillion USD GDP ni mdogo ukilinganisha na wingi wa raia wake. Pato la mwananchi wa kawaida wa China ni mdogo ukilinganisha na mataifa kama Japan, Germany, USA, UK, France🇫🇷 nk.
Kwasababu ya udogo wa uchumi wa China, hata wa China wenyewe wanakimbilia USA, Europe, Japan, south Korea, Canada kutafuta maisha.
Hata hapa Afrika, huwezi kusikia mtu anakimbilia kutafuta maisha China. Mtu atapigana kwenda USA, Japan, Europe kutafuta maisha.
China bado sana. Level zake ni Misri, Algeria, Thailand
Uislamu dini ya hovyoWw ni mpumbavu kwa hiyo huu uzi unaongelea masuala ya waisilamu wanaishije ndani ya Marekani au china au unaongelea masuala ya kiuchumi ya China kutokana na hoja za mleta mada?
Hivi nyinyi watu dini mbona zimewafanya kuwa wapumbavu kuasi hichi?
Mada hapa ni china ni nchi iliyo endelea au inayo endelea sasa hapa mambo ya sijui waisilam yameingiaje?
Mod ifikie hatua waanze kuwashughulikia wapumbavu kama nyinyi mnao haribu nyuzi za watu kwa kuingiza marumbano ya kidini.
Ni blunder kaka kubali urekebishwe.Blunder gani mkuu, huo u kweli. China bado. Ila anajitahidi
Lakini hiyo 100 usd unaipataje ukiwa china
Watu kukimbilia sana Ulaya kuliko Uchina ama Asia kutafuta maisha ni kwasababu Ulaya wako too civilized hilo nakubali na Ulaya sio wanyimi.Uko sahih kbsa huwezi sikia mtu anasema mm nakwenda china kutafuta maisha Mara nyingi Ni usa,Canada,na baadhi ya nnchi za Europe
Wachina wannafanya Kaz sna kama punda kwa vile wanajuwa kule Ni maisha ni magumu hkn uarahisi wa access wa vitu vidgo
Kama masikini wa US wako hivyo, basi huko China ni *3Daah Mzee hichi unachokiongea umeambiwa au umeitembea China ukaona. Hiv ulishawahi kupita maeneo yenye homeless huko Chicago US au kule Orleans vinyumba vya mbao vibovu ambavyo hata kule kijijin kwetu havipo. Utasema America ni masikin.
Watu mnakariri maisha aisee.Kama masikini wa US wako hivyo, basi huko China ni *3