China sio nchi iliyoendelea

China sio nchi iliyoendelea

Uhuru ni kigezo cha nchi iliyoendelea.

Kuna Wachina nilisoma nao chuo New York. Wametoka China lakini ukijaribu kuzungumza nao, ukiwauliza China kukoje, unaona kabisa wanaogopa kuongea, wanaona labda unaweza kuwa spy umetumwa na serikali ya China kuwachunguza.
 
Mbona hata hao Usa na uk wanaondoka kwenye nchi zao kwenda kwengne kutafuta fursa sio ajabu hao wachina kutaka kwenda western countries hata sisi wa Tanzania wapo wanaoishi Burundi watu wanapga mishe na wanaishi vizuri kuliko ww ulie hapo home lakini sio kwamba Burundi kuna uchumi kuliko Tanzania watu wanaangalia wapi fursa zipo.

Hapo ulipo kuna Wamarekani wangapi?
 
Huyu jamaa Kiranga hoja hana zaidi ni kutuchanganya na mi pdf mireeefu, atoe hoja nzito zenye kueleweka kwenye hio mi pdf atafute hoja zenye mashiko za kujadili.
Hapa tunaweza kubishana mpaka subuhi, kwa sababu, hakuna definition rasmi ya nchi iliyoendelea iko vipi na inayoendelea iko vipi.

Wachumi wenyewe hawakubaliani, na suala hili lina siasa nyingi.

Na nchi nyingi zinaachiwa zenyewe ziamue kuitwa zinavyotaka, zimeendelea au zinaendelea.

Hivyo, linabaki kuwa suala la mtazamo.
 
200 million angalau, kwingine kwenye mataifa yaliyoendelea si kwa kiwango hicho.

Hapa tunaweza kubishana mpaka subuhi, kwa sababu, hakuna definition rasmi ya nchi iliyoendelea iko vipi na inayoendelea iko vipi.

Wachumi wenyewe hawakubaliani, na suala hili lina siasa nyingi.

Hivyo, linabaki kuwa suala la mtazamo.

magazine cover image

Foreign Policy


ANALYSIS

China Is Developing and Developed at the Same Time​

The world’s second-largest economy has a historically unique economic status.​

By Philippe Benoit, an adjunct senior research scholar at Columbia University’s Center on Global Energy Policy.
A woman sleeps beneath a billboard promoting new urban development in Beijing.
A woman sleeps beneath a billboard promoting new urban development in Beijing.
A woman sleeps beneath a billboard promoting new urban development in Beijing on Aug. 21, 2003. FREDERIC J. BROWN/AFP VIA GETTY IMAGES
My FP: Follow topics and authors to get straight to what you like. Exclusively for FP subscribers. Subscribe Now | Log In
MAY 23, 2023, 9:58 AM
The U.S. House of Representatives recently voted unanimously that China should no longer be considered a “developing country.” A major motivation is to deny China the preferential treatment it receives as a developing country under the World Trade Organization, the U.N. climate framework, and other international arrangements. Indeed, from Africa to Latin America and even Europe, China is very much adopting the role of a rich global power.
And yet, China continues to exhibit many traits of a developing country, including in energy and other areas, and particularly outside the major urban centers most visible to foreigners. The truth about China’s status as a developing country is far more complex.
China has transformed itself from a low-income country in the 1990s into the world’s second-largest economy, with many attributes of a rich global power projecting its economic and diplomatic influence abroad. Earlier this year, French President Emmanuel Macron became another in a line of European leaders to visit China, soliciting closer business ties, while also hoping to encourage Beijing to exercise its influence on Moscow regarding the invasion of Ukraine. China is projecting itself increasingly in international affairs, with the largest number of foreign postings (surpassing the United States) and repeatedly mobilizations of its military (third behind the U.S. and Russia) to the disquiet of its neighbors and others. Indeed, China is acting very much like a wealthy global power.
But China also still exhibits various characteristics of a developing country, including a population of more than 200 million people without access to clean cooking technologies; widespread pollution; and a ranking under the Human Development Index—which focuses on health and education outcomes—of 79th out of 191 countries (scoring below, for example, Sri Lanka and Iran). Even its continuing heavy reliance on coal, a cheap but dirty fuel, is arguably a developing country trait that contrasts with the substantially lower shares achieved by advanced economies such as those of the European Union and the United States.
China is expected soon to graduate from “middle income” into “high income” under the World Bank country classification system—which arguably is part of the reasoning underlying the U.S. House vote—but this change won’t immediately erase its developing country aspects. For example, the International Energy Agency (IEA) has estimated that it will take China until 2030 to provide basic clean cooking access to all. Moreover, China is still, in U.S. dollar terms, far from the income levels enjoyed in developed Organization for Economic Cooperation and Development economies; notably, its GDP per capita is currently half that of Portugal and equates to the average income of the world population across all developed and developing countries.


Similarly, while only 2 percent of Portugal’s population lived below the poverty threshold of $6.85 a day in 2019, the corresponding figure for China was more than 10 times bigger, at 25 percent. Achieving the levels of Portugal and other advanced economies will require not only time, but continued success in maintaining robust growth.
In assessing China, it is important to recognize that it presents a unique situation: a country combining developed and developing country traits with global clout. It is the world’s lone “hybrid superpower.”
Energy is an area that illustrates this dynamic. Consistent with its income level, China is still at a development stage where it relies on increasing energy use to power further economic growth. The IEA projects that China, already the world’s largest energy user, will need to procure nearly 20 percent more by 2040. This contrasts with advanced economies, such asthe United States., Japan, and the European Union, where energy consumption is projected to fall.
Securing these larger amounts of energy is and will remain a major concern for Beijing’s decision-makers. Notwithstanding its extensive domestic resources (such as coal, oil, and renewables), much of China’s energy will need to be imported, which in turn will affect its approach to the Middle East and other energy exporters, including Russia. Beijing’s recent diplomatic efforts toward Saudi Arabia and brokering a rapprochement between Saudi Arabia and Iran arguably reflect its interest in enhancing the stability of its oil imports from the region.
Domestic poverty will also affect China’s strategies. While it showcases the skyline of Shanghai and other advancements (such as its high-speed rail system), poverty remains a reality for millions of Chinese households. In addition to the 200 million without access to clean cooking, many others rely on coal to heat their homes. Similarly, while Beijing enjoys GDP per capita levels resembling Europe, households in China’s poorest region face levels similar to Peru. China has succeeded in eliminating the extreme poverty burdening most developing countries, and it is now home to a burgeoning middle class, but many families still lack quality standards of living, particularly in rural areas. Addressing these issues will require Beijing’s attention and resources.
This duality of China’s hybrid development status can arguably be seen in the “near-peer” descriptor used by the U.S. national intelligence community in its 2021 annual threat assessment report. As Director of National Intelligence Avril Haines explained to Congress at the time: “While China poses an increasingly formidable challenge to the U.S. role in global affairs, it is worth noting that its economic, environmental and demographic vulnerabilities all threaten to complicate its ability to manage the transition to the dominant role it aspires to in the decades ahead.” Some of those constraints flow from its developing country traits.
Oooh man population ya 1.4 Bln unataka kufananisha na tu nchi twenye watu wachache kama Portugal katika wingi wa masikini serious ?
 
Hapa tunaweza kubishana mpaka subuhi, kwa sababu, hakuna definition rasmi ya nchi iliyoendelea iko vipi na inayoendelea iko vipi.

Wachumi wenyewe hawakubaliani, na suala hili lina siasa nyingi.

Na nchi nyingi zinaachiwa zenyewe ziamue kuitwa zinavyotaka, zimeendelea au zinaendelea.

Hivyo, linabaki kuwa suala la mtazamo.
Capture.PNG
 
Provide a strong opposing argument, point out what is wrong with my argument, sio kusema tu ni logical fallacy, just explain why it's a weak argument, nahisi unakimbia debate kijanja.
It's a weak argument because it is a "Trump said so" argument.
 
Watu wengi wanajuwa kwamba china ni nchi iliyoendelea. China sio developed country, ni nchi inayoendelea.

Uchumi wa China wa 18 trillion USD GDP ni mdogo ukilinganisha na wingi wa raia wake. Pato la mwananchi wa kawaida wa China ni mdogo ukilinganisha na mataifa kama Japan, Germany, USA, UK, France🇫🇷 nk.

Kwasababu ya udogo wa uchumi wa China, hata wa China wenyewe wanakimbilia USA, Europe, Japan, south Korea, Canada kutafuta maisha.

Hata hapa Afrika, huwezi kusikia mtu anakimbilia kutafuta maisha China. Mtu atapigana kwenda USA, Japan, Europe kutafuta maisha.

China bado sana. Level zake ni Misri, Algeria, Thailand
Mkuu,
Umeanzisha mada nzuri lakini umeshindwa kuitetea. Swali kwako kigezo cha nchi zikizoendelea ni kuwa na kipato kikubwa tu (Per capita income)? Kama sio tuambie vigezo ni vipi sasa, hapo utakuwa umeitendea haki mada hii
 
Uhuru ni kigezo cha nchi iliyoendelea.

Kuna Wachina nilisoma nao chuo New York. Wametoka China lakini ukijaribu kuzungumza nao, ukiwauliza China kukoje, unaona kabisa wanaogopa kuongea, wanaona labda unaweza kuwa spy umetumwa na serikali ya China kuwachunguza.
Wachina gani unao wazungumzia wewe hawa hawa wanaokesha weibo kuiponda serikali yao inapokosea au ?
 
Oooh man population ya 1.4 Bln unataka kufananisha na tu nchi twenye watu wachache kama Portugal katika wingi wa masikini serious ?
Nchi kufikia kuitwa developed maana yake imefikisha standards fulani kwa idadi kubwa ya raia.

Watu milioni 200 ni zaidi ya 14% ya population ya China.

That is significant enough.
 
Na wewe its weak argument because it is a "VoA said so" argument, hapo tunaenda sawa.
Hapana, VOA article ina source kibao. Wewe umesema tu "Trump was a big shot, therefire he knows more than you and don't argue"

Kwa sisi watu wa New York tunaomjua Trump, Trump ni tapeli tu.

So, weka hoja nyingine, si Trump.
 
Ushawahi sikia masikini akipata matako Julia .....,

Wao wanajijua sio masikini ndo maana hawataki kuitwa developed country, ila marekani na ulaya wanawalazimisha wawe categorised to developed country.

As a country kuwa developed country ni disadvantage kuliko kuwa developing country.

Wanajua mchezo ndo maana wametulia, ila ukifika uchina na ulaya ndo utajua Nani no developed na Nani no developing
 
Hii ni siasa, huu si uchumi.
US gov haikuamka asubuhi ikakurupuka kutaka kuiweka China ni developed, kuna wataalamu wa uchumi hapo hapo US walithibitisha hilo na hawa kukurupuka na walikuwa na sababu na hoja kwa nini wanataka China iwe developed.

Mi nahisi unabishana na US gov ambapo kuna watu wamesoma uchumi kwenye hoja husimami.
 
US gov haikuamka asubuhi ikakurupuka kutaka kuiweka China ni developed, kuna wataalamu wa uchumi hapo hapo US walithibitisha hilo na hawa kukurupuka na walikuwa na sababu na hoja kwa nini wanataka China iwe developed.

Mi nahisi unabishana na US gov ambapo kuna watu wamesoma uchumi kwenye hoja husimami.
Ukishasema US governement unaongea politics si uchumi.
 
Hapana, VOA article ina source kibao. Wewe umesema tu "Trump was a big shot, therefire he knows more than you and don't argue"

Kwa sisi watu wa New York tunaomjua Trump, Trump ni tapeli tu.

So, weka hoja nyingine, si Trump.
Aisee mnyang'anyeni huyu jamaa simu asije post mambo ya ajabu.

Eeeh, Trump tapeli, astaghfirullah
 
Back
Top Bottom