Chenge huru!

After all Chenge had done to mudsling and silence SITTA, did anyone expect him to be dragged to a cell?..
Ngumu...Bariadi wataangusha ngombe 100 kwaajili ya hukumu hii...amini usiamini kuna watu na viatu
 
Thats the fact as sadly as it may be............. Sad enough the guy will carry on being MP... to him even that Fine is nothing to him. Very Sad kiuungwana inabidi awalipe familia na cost zote kama kuna watoto kwenda shule basi awasomeshe pia. This is very Sad sometimes inabidi tuweke sheria pembeni na common sense itumike

katika RED: Dont possibolize the impossibility,sheria zimetungwa ili zifuatwe, tuweke pembeni kivipi
 
Ndo maana tunataka katiba idabilishwe, ili hata sheria za Zamani kama hizi zipigwe chini agrrrrrrrrrrrrrr
 
Jamani sheria ni msumemo. Hiyo fine naona iko reasonable ukilinganisha vipato vya watanzania wengi. Mlitaka kwa sababu jamaa ana vijisenti ndiyo hakimu apindishe sheria ili amfunge? ukisema fine iwe 20m itakuwa siyo haki kwa watanzania wengine ambao watakutwa na kosa kama hilo na wakashindwa kulipa. Me nionavyo Chenge hata angepewa fine shilingi 1bilion angelipa, lakini hatuwezi kubadili sheria kwa ajili ya mtu mmoja.

Maana ni watu wangapi wanaweza kulipa hiyo 1b kama fine ya traffic case? Niwaulize wenye magari humu JF ni nani anayeweza kulipa hiyo fine ya 1b kwa kosa kama hilo? Ni wachache sana kwenye hii nchi (Hata 200 hawafiki).

Cha kujiuliza ni kwanini hakimu alifikia uamuzi wa kuweka AU badala ya NA. Maana yake hiyo ndiyo inamuweka mheshimiwa kwenye nafasi nzuri. Inamaanisha utetezi wake ulikuwa mzuri kiasi cha kumshawishi hakimu kutoa adhabu kama hiyo au sababu ya status ya mkosaji? Me nadhani status ya kesi imechangia.
 
[/B][/COLOR] katika RED: Dont possibolize the impossibility,sheria zimetungwa ili zifuatwe, tuweke pembeni kivipi

That why there is a Judge.... Sheria Ingekuwepo tu inafatwa na kusomwa kama novel then kungekuwa hakuna haja ya Judges just a robot au computer ingeweza kufanya kazi.... Kwahiyo Judges wanaangalia mazingira, na precedents za kesi zilizopita mtu aliyehukumiwa na mtu anayehukumiwa, vyote hivyo vinachanganywa hivi hujui kwamba kesi kama hii hii sehemu nyingine na siku nyingine inaweza kutafsiriwa vingine kutokana na mazingira mengine??????
 
Halafu Kuna wapuuzi Bado wanapinga kuwa na Katiba mpya..........shame on them!!!!!! Stupid.....Hivi kweli kwa makosa haya mtu analipa tuu faini!!:hungry:.... hata kama ingekuwa 20M..........Hizi sheria zetu zilizopitwa na wakati.......ujinga mtupu!!!!!

Jamani msidhani hizi traffic case zinawapata akina Chenge tu. Hata wewe unaweza siku moja ukajikuta katika mazingira kama ya Chenge.
 
Jamani msidhani hizi traffic case zinawapata akina Chenge tu. Hata wewe unaweza siku moja ukajikuta katika mazingira kama ya Chenge.

Unajua brother Fine its supposed to be hurtful..... Hukumu inabidi iwe kubwa ya kutosha ili kuzuia watu wasitende tena hilo kosa... Kwahiyo Judges wana uwezo wa kusema kulingana na kipato cha mtuhumiwa adhabu ya faini iwe kiasi gani kwanza I think fine ya hii adhabu huwa ni tshs 50,000/=
 
Nadokezwa na jamaa aliyekaribu na familia ya Mh. Chenge kuwa alishaambiwa hukumu itakuwaje so alikuwa na cash mkononi!!

That was obvious alikuwa AG na bado ni mmoja wa mainjinia wa michongo ya mabilioni ya kilaghai,kupata info za namna hiyo ni kazi rahisi..!
Ifike mahala sheria zisibague mwenye nacho na asiye nacho itawezekana tu kupitia Katiba mpya.
 
AndrewChenge.jpg

Akifikishwa mahakamani kwa mara ya kwanza kujibu mashtaka!

garilachenge.JPG

Gari la Chenge.

bajaji.JPG

Bajaji iliyogongwa.
 
Wakuu nimepata tetesi kutoka e-group moja kwamba Chenge amhukumiwa miaka mitatu jela au faini ya 700,000 pesa ya tanzania (which is less that $500)

Je ni kweli? na kama ni kweli hii ina maana gani kwake kama Mbunge na watu wa bariadi?

Is the hukumu fair?

Acid
Tatizo la nchi hii ni ufisadi......alipaswa atumikie adhabu zote mbili kwa pamoja.lakini kama amepata kifungo kilichogeuzwa faini apaswa kuachia ngazi Ubunge....kwa sababu huwezi kuwa Mbunge baada ya kutumikia kifungo cha zaidi ya mwaka mmoja......................nafikiri atakimbilia kukata rufani na huko mbele atatokea jaji mmoja ambaye atamshindilia adhabu zote mbili na huo utakuwa mwisho wake.,................
 
Jamani sheria ni msumemo. Hiyo fine naona iko reasonable ukilinganisha vipato vya watanzania wengi. Mlitaka kwa sababu jamaa ana vijisenti ndiyo hakimu apindishe sheria ili amfunge? ukisema fine iwe 20m itakuwa siyo haki kwa watanzania wengine ambao watakutwa na kosa kama hilo na wakashindwa kulipa. Me nionavyo Chenge hata angepewa fine shilingi 1bilion angelipa, lakini hatuwezi kubadili sheria kwa ajili ya mtu mmoja.
Usiharakishe kumsafisha anayo makosa mengi........matatu.........hivi..........................moja kuua bila ya kukusudia.....................kuendesha gari bila ya bima kwa zaidi ya miaka mitatu.....na la tatu..............kusababisha ajali ya gari..............

sasa haya yote adhabu yake ni faini tu?

Si kila kosa lilipaswa hukumu yake? Hawezi kuendelea kuwa Mbunge kama atakubali kulipa faini hiyo kwa sababu atakuwa amekubali kutumikia kifungo cha miaka mitatu ambayo ni sawa na hiyo faini aliyolipa......................................

Ubunge ni kwa wale tu ambao hawajawahi kutumikia vifungo vya zaidi mwaka mmoja.........hiyo mitatu ......it is over 4 him......labda akakate rufani
 
Kuna jamaa mmoja juzi alipiga simu kwenye radio,topic ilikuwa kitu gani hutasahau mwaka huu??

Jamaa kwa hasira sana akasema..ZOMBE ZOMBE, Huyu Zombe si kaua kabisa..mbona hajafungwa?? Ilibidi mwongoza kipindi akate simu..!

Sasa ndo haya haya ya CHENGE..Unathamanisha maisha ya watu na laki 7. Nna hasira.
 
Haya yote ni kutokana na katiba mbovu tuliyonayo! mahakimu wanakuwa waoga katika kutekeleza majukumu yao.
 
Jamani...lazima tujue, mahakama zetu zinaendeshwa na 'wafu wa dhamira' na walioshiba rushwa, je nani ataweza kupinga hukumu ya watu walioshiba dhidi ya wadhoofu ambao ktk ajali, walipoteza ndugu zao lakini muuaji anatozwa dola 500 kwa kusababisha vifo vya watu wa2 mbali na dreva wa bajaja ambae hadi leo hajapatikana?

Hakuna cha kusema traffic case adhabu zake ni kama hizo. Impact ktk jamii ni kuwa ameua watu kwa gari. Kama madreva wa mabasi wanafanya ajali wanahukumiwa kwa kuua idadi sawa na waliokufa au kujeruhiwa ktk magari husika, je Chenge ni nani ktk jamii? Yeye aliva kuku? Au wadudu na sio wanajamii? Kapoteza nguvu kazi ya taifa!

Ila tusijisahau kwa Tanzania, hukumu za dhuluma namna hii hazina idadi. Kama Liyumba alituhumiwa na kutiwa hatiani kwa kulisababishia taifa hasara ya zaidi ya bilion 250 na amehukumiwa miaka miwili sembuse Chenge 'mkono wa uovu' na ambaye meza yake ni meza ya wakamua nchi bila kuguswa? Tunakwisha!
 
Wakuu nimepata tetesi kutoka e-group moja kwamba Chenge amhukumiwa miaka mitatu jela au faini ya 700,000 pesa ya tanzania (which is less that $500)

Je ni kweli? na kama ni kweli hii ina maana gani kwake kama Mbunge na watu wa bariadi?

Is the hukumu fair?

Acid

kama hukumu inasema ni jela miaka mitatu au laki saba ni simple kwa jinsi alivyo fisadi atatoa laki saba kwa sekunde moja..ila hukumu ingekuwa jela miaka 3 na laki saba ningeenda mlimani city kunnua xpensive wine and toast to good life...
 
Mwacheni Chenge. Kama ilikuwa ni bahati mbaya basi Mungu amemnusuru, lakini kama alidhamiria kuwaua kama wengine wanavyosema hapa, then anashida kubwa sana mbeleni maana damu ya wadada wale itamfuatilia yeye na wanawe na binti zake na wajukuu wake. Mi sijui msiniulize maswali
 
Hii ndiyo Tanzania "Ina wenyewe na wenyewe ni wao"

Kuna dereva alisababisha ajali uko "nafikiri" Singida akatundikwa miaka.
 
Back
Top Bottom