TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,891
- 11,288
Wakuu nimepata tetesi kutoka e-group moja kwamba Chenge amhukumiwa miaka mitatu jela au faini ya 700,000 pesa ya tanzania (which is less that $500)
Je ni kweli? na kama ni kweli hii ina maana gani kwake kama Mbunge na watu wa bariadi?
Is the hukumu fair?
Acid
Je ni kweli? na kama ni kweli hii ina maana gani kwake kama Mbunge na watu wa bariadi?
Is the hukumu fair?
Acid