Chemsha ubongo tafadhali

Chemsha ubongo tafadhali

Naomba kama umeshakosa usijibu tena
Tuwapishe wengine
 
>3+3+3=9
>3+x+x=13
3+2x=13
2x=10
x=5

>5-y^2=1
-y^2=-4
y^2=4
y=√4
y=2

>2+(5 x 4)
2+20
22

So the answer is 22
 
Nimeupdate jibu ni 19, sikuona ile alama ya kuzidisha nilijua jumlisha. Sasa kuna mtu umemwambia hata 19 ni wrong. We kijana unatuchezea wewe, hapo magazijuto lazima iapply

Picha ya kwanza 3 + 3 + 3 = 9
Picha ya pili 3 + 5 + 5 = 13
Picha ya tatu 5 - 4 = 1
Picha ya nne 4 + 5 x 3 = 19

Una explanation tofauti?
Big wrong
Angalia idadi mikasi ,vichwa
 
Umekosea kidogo tu hapo mwisho kwenye bracket ilitakiwa iwe2+ (5×3)=
Hapana we angalia vichwa vya ile mikasi......ile mikasi ya mwisho ina vichwa vi4 lakini ya kwanza ina vichwa vi3 ndio maana nikasema 2+(5×4)=22
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom