Chemsha ubongo tafadhali

Chemsha ubongo tafadhali

Nimeupdate jibu ni 19, sikuona ile alama ya kuzidisha nilijua jumlisha. Sasa kuna mtu umemwambia hata 19 ni wrong. We kijana unatuchezea wewe, hapo magazijuto lazima iapply

Picha ya kwanza 3 + 3 + 3 = 9
Picha ya pili 3 + 5 + 5 = 13
Picha ya tatu 5 - 4 = 1
Picha ya nne 4 + 5 x 3 = 19

Una explanation tofauti?
Hahahahaha imenibidi nicheke tu mkuu!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom