Chemsha ubongo tafadhali

Chemsha ubongo tafadhali

c2690d5f9f51bce1e339363fb6c938fc.jpg
3+3+3=9
3+5+5=13
5-(2+2)=1
2+(5×4)=22
Mkuu umeshaelewa hapo au unaubishi wa asilii???
 
Mkuu angalia vile visu vya juu na vya chinii.......vya juu ni vi3 ila vya chini kabisa ni v4......natumaini we ndio umeelewa sasa
Kwani hata idadi ya vichwa ni sawa juu na chini?????
 
Nimeupdate jibu ni 19, sikuona ile alama ya kuzidisha nilijua jumlisha. Sasa kuna mtu umemwambia hata 19 ni wrong. We kijana unatuchezea wewe, hapo magazijuto lazima iapply

Picha ya kwanza 3 + 3 + 3 = 9
Picha ya pili 3 + 5 + 5 = 13
Picha ya tatu 5 - 4 = 1
Picha ya nne 4 + 5 x 3 = 19

Una explanation tofauti?
WRONG
angalia idadi ya mikasi
na vichwa kwa kila sehemu
 
I'm right, i'm certain. Hiyo ni hesabu ya BODMAS or BEMA if you like. Just out of curiosity, do tell me what is your answer?
Usiwe mbishi angalia idadi ya mikasi kila juu na chini halafu pia na idadi ya vichwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom