sacajo
JF-Expert Member
- Jul 23, 2016
- 1,385
- 4,493
3+3+3=9
3+5+5=13
5-(2+2)=1
2+(5×4)=22
Mkuu umeshaelewa hapo au unaubishi wa asilii???
3+3+3=9
Mkuu angalia vile visu vya juu na vya chinii.......vya juu ni vi3 ila vya chini kabisa ni v4......natumaini we ndio umeelewa sasaWRONG
Umeanza vizuri umemaliza vibaya
Hapa ndipo ninapo amini hesabu ni ugonjwa wa taifaaKwani hata idadi ya vichwa ni sawa juu na chini?????
WRONGNimeupdate jibu ni 19, sikuona ile alama ya kuzidisha nilijua jumlisha. Sasa kuna mtu umemwambia hata 19 ni wrong. We kijana unatuchezea wewe, hapo magazijuto lazima iapply
Picha ya kwanza 3 + 3 + 3 = 9
Picha ya pili 3 + 5 + 5 = 13
Picha ya tatu 5 - 4 = 1
Picha ya nne 4 + 5 x 3 = 19
Una explanation tofauti?
I'm right, i'm certain. Hiyo ni hesabu ya BODMAS or BEMA if you like. Just out of curiosity, do tell me what is your answer?Wrong
Umekosea kidogo tu hapo mwisho kwenye bracket ilitakiwa iwe2+ (5×3)=3+3+3=9
3+5+5=13
5-(2+2)=1
2+(5×4)=22
Mkuu umeshaelewa hapo au unaubishi wa asilii???
Toa jibu basi, na jinsi ulivyolipata.Usiwe mbishi angalia idadi ya mikasi kila juu na chini halafu pia na idadi ya vichwa
Nimesha elewa, ila hii imekaa kimazingaombwe zaid...BIG WRONG