Deleted_account
JF-Expert Member
- Nov 1, 2008
- 3,385
- 3,702
23
Jibu ni 27 yaani 4+5×3=27
Hakuna kitu hapo umetumia vipimo gani kupima hiko kichwa. Jibu lako halipo sahihi na wala sikubaliani nalo.MAJIBU SAHIHI NI HAYA
hapo ukiangalia kuna
Kuna mistari minne
A. Msitari wa kwanza una picha ya mikasi na kila mkasi una chane tatu hivyo ni
3+3+3= 9
B mstari unaofata una picha ya mizinga miwili na mkasi mmoja wenye chane tatu hivyo kwa kua mizinga inafanana kwa kila kitu kila mmoja una thamani ya 5 ili hesabu ya 13 ikamilike
3+5+5= 13
C. Mstari wa tatu ambao wengi wenu mlishindwa kujituma kimawazo ipasavyo
Huu una picha ya mzinga ambao nimesema thamani yake 5 na picha ya vichwa viwili kimoja kikubwa kingine kidogo ...! Ukiangalia kwa umakini wa hali ya juu kichwa kidogo kinaingia Mara moja na nusu (1.5) ili kilingane na kikubwa hivyo vinatakiwa vichwa vidogo vitatu(3) ndipo upate kikubwa kimoja ..! Kumbe kichwa kikubwa kina thamani ya (3) na kidogo kina thamani ya moja(1) jumla NNE (4)
Ikawa 5- 4= 1. HAPA NDIPO NILICHINJA WENGI ....!
D. Picha ya mwisho ni kichwa kikubwa thamani ni 3. Mzinga thamani 5. Na mkasi WENYE CHANE 4 . Kwa kua chane zinaendana na thamani
Ikawa 3+ 5× 4 = 23 HILI NDO JIBU SAHIHI ...!
KWA HIYO ANS IS. 23
Asilimia 98% yenu mmekosa hili swali ..!
Mathematics sio lugha kaka,MAJIBU SAHIHI NI HAYA
hapo ukiangalia kuna
Kuna mistari minne
A....Msitari wa kwanza una picha ya mikasi na kila mkasi una chane tatu hivyo ni
3+3+3= 9
B.. mstari unaofata una picha ya mizinga miwili na mkasi mmoja wenye chane tatu hivyo kwa kua mizinga inafanana kwa kila kitu kila mmoja una thamani ya 5 ili hesabu ya 13 ikamilike
3+5+5= 13
C... Mstari wa tatu ambao wengi wenu mlishindwa kujituma kimawazo ipasavyo
Huu una picha ya mzinga ambao nimesema thamani yake 5 na picha ya vichwa viwili kimoja kikubwa kingine kidogo ...! Ukiangalia kwa umakini wa hali ya juu kichwa kidogo kinaingia Mara moja na nusu (1.5) ili kilingane na kikubwa hivyo vinatakiwa vichwa vidogo vitatu(3) ndipo upate kikubwa kimoja ..! Kumbe kichwa kikubwa kina thamani ya (3) na kidogo kina thamani ya moja(1) jumla NNE (4)
Ikawa 5- 4= 1. HAPA NDIPO NILICHINJA WENGI ....!
D... Picha ya mwisho ni kichwa kikubwa thamani ni 3. Mzinga thamani 5. Na mkasi WENYE CHANE 4 . Kwa kua chane zinaendana na thamani
Ikawa 3+ 5× 4 = 23 HILI NDO JIBU SAHIHI ...!
KWA HIYO ANS IS. 23
Asilimia 98% yenu mmekosa hili swali ..!
Hilo jibu na maelezo ulilolitoa ni illogical.Nilijua mtakuja na povu lakini bora tuje na logic
Kwa logic zako hapo lazima ujiulize maswali yafuatayoMathematics sio lugha kaka,
Namimi nilijua tu utatengeneza njia iliuwakoseshe watu.
Vichwa viwili kutofautiana sio sababu yakupelekea kuvitofautisha thamani ie 1 kwa3,hii nikwasababu hiyo inaonekana ndogo kwasababu:-
-kipo nyuma yakichwa chakwanza.
-kama niphotograph,tutasema picha imepigwa upande wakichwa kikubwa kwaukaribu.
-hata ukiviangalia hivyo vichwa utaona hatamwelekeo wakidogo nitofauti nawakikubwa.
##tuthibitishie mathematical kuwa kichwa kikubwa 3 nakidogo1#
Alaf hizo thaman/3/1 ni nini ujazo, ukubwa au idadi.
###sikuwa mjuzi sana ila skuwa nabuluzwa##
Hapo nimekupata. Ila jamaa aliyetoa maelezo ya kichwa kuwa na thamani ya 3 ndio hamna logic kabisaaaHapana we angalia vichwa vya ile mikasi......ile mikasi ya mwisho ina vichwa vi4 lakini ya kwanza ina vichwa vi3 ndio maana nikasema 2+(5×4)=22
2Kumbe kina thamani ya ngapi
We ni mtunzi tu wa Jibu, ila iyo nursery quest jibu lake ni 22 tu..orientation ya vichwa ndo unataka utulazimishie jibu lako!MAJIBU SAHIHI NI HAYA
hapo ukiangalia kuna
Kuna mistari minne
A....Msitari wa kwanza una picha ya mikasi na kila mkasi una chane tatu hivyo ni
3+3+3= 9
B.. mstari unaofata una picha ya mizinga miwili na mkasi mmoja wenye chane tatu hivyo kwa kua mizinga inafanana kwa kila kitu kila mmoja una thamani ya 5 ili hesabu ya 13 ikamilike
3+5+5= 13
C... Mstari wa tatu ambao wengi wenu mlishindwa kujituma kimawazo ipasavyo
Huu una picha ya mzinga ambao nimesema thamani yake 5 na picha ya vichwa viwili kimoja kikubwa kingine kidogo ...! Ukiangalia kwa umakini wa hali ya juu kichwa kidogo kinaingia Mara moja na nusu (1.5) ili kilingane na kikubwa hivyo vinatakiwa vichwa vidogo vitatu(3) ndipo upate kikubwa kimoja ..! Kumbe kichwa kikubwa kina thamani ya (3) na kidogo kina thamani ya moja(1) jumla NNE (4)
Ikawa 5- 4= 1. HAPA NDIPO NILICHINJA WENGI ....!
D... Picha ya mwisho ni kichwa kikubwa thamani ni 3. Mzinga thamani 5. Na mkasi WENYE CHANE 4 . Kwa kua chane zinaendana na thamani
Ikawa 3+ 5× 4 = 23 HILI NDO JIBU SAHIHI ...!
KWA HIYO ANS IS. 23
Asilimia 98% yenu mmekosa hili swali ..!