Sifa za Higuaín ambazo mashabiki wengi wa Chelsea hawazijui
  1. Umbile lake wastani kwa urefu na ni njemba kiasi kama Aguero
  2. Ana uwezo wa kukaa na mpira tofauti na Morata au Giroud
  3. Ana mashuti makali na ana uwezo wa kufunga magoli ndani na nje ya 18
  4. Akipata ushirikiano mzuri ni mshambuliaji mwenye shabaha kiwango cha akina Aguero wa Man City
  5. Katika nusu ya msimu uliobakia anaweza kufunga Zaidi ya magoli 15 na hivyo kuongeza Akiba ya magoli ya Chelsea na pia kumuongezea ari na fursa Hazard na Willian na Pedro
Faida yake kwa Hazard
  1. Kwanza atamrudisha Hazard kwenye nafasi yake ya winga wa kushoto ambayo sio tu anaipenda bali pia anaiwezea
  2. Kwa sababu ya uwezo wake wa kukaa na mpira na ni tough, atashirikiana vizuri na Hazard na pengine Higuaín anaweza asifunge magoli mengi ila akampa nafasi Hazard ya kufunga magoli mengi Zaidi ya anavyofunga sasa
  3. Ataleta pia motivation kwa Willian ambaye uchezaji wake umedorora kwa siku za karibuni ambayo mimi nadhani ni kwa sababu Chelsea ina wachezaji wa hovyo kule mbele.
  4. Pia atatengeneza maelewano mazuri na Luiz kwa zile pressing pass zake na hivyo kuifanya Chelsea iwe hai mbele
Uhusiano wake na Sarri
Katika Maisha yake ya soka, Higuaín hatamsahau Sari pale Napoli
Higuaín anakiri kuwa Sarri amembadilsiah jinsi anavyocheza na kuwazia soka
Kwa mapenzi haya ya Higuaín na Sari, ni Dhahiri Higuaín ni ngumu kufanya vizuri chini ya kocha mwenye approach tofauti na sarri
Tunategemea ari, kujitoa katika kucheza na kufunga magoli itaongezeka tofauti na alivyokuwa Sansiro au Turin Italy
Unaweza kusoma Zaidi hapa kuhusu Higuaín anavyomuelezea Sarri
Chelsea news: What Gonzalo Higuain has said about Maurizio Sarri ahead of Chelsea transfer | Metro News
 
Callum Hudson-Odoi Offered an Attractive Contract
Hudson-Odoi to be offered £70k a week – reports
Chelsea are reportedly prepared to make Callum Hudson-Odoi one of world football’s highest-paid teenagers in order to keep him at the club.
Bayern Munich are pursuing the 18-year-old, whose contract is due to expire next year.
Chelsea want him to sign a new deal and both the Express and the Daily Mail say the club are willing to offer him £70,000 a week.
 
Ndugu zangu wana Chelsea FA wamewapangia ratiba mbaya kabisa kuwahi kutokea yaani katika timu za top six zote mzunguko wa pili mutacheza away ispokuwa mechi moja tu ya Tottenham..angalia...
Arsenal (away)
Liverpool (away)
Man utd(away)
Man city(away)
Nikiongeza
Everton (away)
Leicester (away)

Hii hatari munaweza kuta munamaliza ligi nafasi ya 7 kama mzaa


Sent using Jamii Forums mobile app
Worry out, .. ukiwa na kikosi kizuri hutakiwi kuogopa sana hizo home and away games

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu zangu wana Chelsea FA wamewapangia ratiba mbaya kabisa kuwahi kutokea yaani katika timu za top six zote mzunguko wa pili mutacheza away ispokuwa mechi moja tu ya Tottenham..angalia...
Arsenal (away)
Liverpool (away)
Man utd(away)
Man city(away)
Nikiongeza
Everton (away)
Leicester (away)

Hii hatari munaweza kuta munamaliza ligi nafasi ya 7 kama mzaa


Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe lazima utakuwa Man U au Arsenal
 
Sifa za Higuaín ambazo mashabiki wengi wa Chelsea hawazijui
  1. Umbile lake wastani kwa urefu na ni njemba kiasi kama Aguero
  2. Ana uwezo wa kukaa na mpira tofauti na Morata au Giroud
  3. Ana mashuti makali na ana uwezo wa kufunga magoli ndani na nje ya 18
  4. Akipata ushirikiano mzuri ni mshambuliaji mwenye shabaha kiwango cha akina Aguero wa Man City
  5. Katika nusu ya msimu uliobakia anaweza kufunga Zaidi ya magoli 15 na hivyo kuongeza Akiba ya magoli ya Chelsea na pia kumuongezea ari na fursa Hazard na Willian na Pedro
Faida yake kwa Hazard
  1. Kwanza atamrudisha Hazard kwenye nafasi yake ya winga wa kushoto ambayo sio tu anaipenda bali pia anaiwezea
  2. Kwa sababu ya uwezo wake wa kukaa na mpira na ni tough, atashirikiana vizuri na Hazard na pengine Higuaín anaweza asifunge magoli mengi ila akampa nafasi Hazard ya kufunga magoli mengi Zaidi ya anavyofunga sasa
  3. Ataleta pia motivation kwa Willian ambaye uchezaji wake umedorora kwa siku za karibuni ambayo mimi nadhani ni kwa sababu Chelsea ina wachezaji wa hovyo kule mbele.
  4. Pia atatengeneza maelewano mazuri na Luiz kwa zile pressing pass zake na hivyo kuifanya Chelsea iwe hai mbele
Uhusiano wake na Sarri
Katika Maisha yake ya soka, Higuaín hatamsahau Sari pale Napoli
Higuaín anakiri kuwa Sarri amembadilsiah jinsi anavyocheza na kuwazia soka
Kwa mapenzi haya ya Higuaín na Sari, ni Dhahiri Higuaín ni ngumu kufanya vizuri chini ya kocha mwenye approach tofauti na sarri
Tunategemea ari, kujitoa katika kucheza na kufunga magoli itaongezeka tofauti na alivyokuwa Sansiro au Turin Italy
Unaweza kusoma Zaidi hapa kuhusu Higuaín anavyomuelezea Sarri
Chelsea news: What Gonzalo Higuain has said about Maurizio Sarri ahead of Chelsea transfer | Metro News
Mkuu ungesubiri kwanza usimwage sana sifa isije kuwa replica ya Morata
 
umesahau sifa yake nyingine ni kuwa ana kitambi na ananenepa ovyo kama lukaku
Sifa za Higuaín ambazo mashabiki wengi wa Chelsea hawazijui
  1. Umbile lake wastani kwa urefu na ni njemba kiasi kama Aguero
  2. Ana uwezo wa kukaa na mpira tofauti na Morata au Giroud
  3. Ana mashuti makali na ana uwezo wa kufunga magoli ndani na nje ya 18
  4. Akipata ushirikiano mzuri ni mshambuliaji mwenye shabaha kiwango cha akina Aguero wa Man City
  5. Katika nusu ya msimu uliobakia anaweza kufunga Zaidi ya magoli 15 na hivyo kuongeza Akiba ya magoli ya Chelsea na pia kumuongezea ari na fursa Hazard na Willian na Pedro
Faida yake kwa Hazard
  1. Kwanza atamrudisha Hazard kwenye nafasi yake ya winga wa kushoto ambayo sio tu anaipenda bali pia anaiwezea
  2. Kwa sababu ya uwezo wake wa kukaa na mpira na ni tough, atashirikiana vizuri na Hazard na pengine Higuaín anaweza asifunge magoli mengi ila akampa nafasi Hazard ya kufunga magoli mengi Zaidi ya anavyofunga sasa
  3. Ataleta pia motivation kwa Willian ambaye uchezaji wake umedorora kwa siku za karibuni ambayo mimi nadhani ni kwa sababu Chelsea ina wachezaji wa hovyo kule mbele.
  4. Pia atatengeneza maelewano mazuri na Luiz kwa zile pressing pass zake na hivyo kuifanya Chelsea iwe hai mbele
Uhusiano wake na Sarri
Katika Maisha yake ya soka, Higuaín hatamsahau Sari pale Napoli
Higuaín anakiri kuwa Sarri amembadilsiah jinsi anavyocheza na kuwazia soka
Kwa mapenzi haya ya Higuaín na Sari, ni Dhahiri Higuaín ni ngumu kufanya vizuri chini ya kocha mwenye approach tofauti na sarri
Tunategemea ari, kujitoa katika kucheza na kufunga magoli itaongezeka tofauti na alivyokuwa Sansiro au Turin Italy
Unaweza kusoma Zaidi hapa kuhusu Higuaín anavyomuelezea Sarri
Chelsea news: What Gonzalo Higuain has said about Maurizio Sarri ahead of Chelsea transfer | Metro News
 
Sifa za Higuaín ambazo mashabiki wengi wa Chelsea hawazijui
  1. Umbile lake wastani kwa urefu na ni njemba kiasi kama Aguero
  2. Ana uwezo wa kukaa na mpira tofauti na Morata au Giroud
  3. Ana mashuti makali na ana uwezo wa kufunga magoli ndani na nje ya 18
  4. Akipata ushirikiano mzuri ni mshambuliaji mwenye shabaha kiwango cha akina Aguero wa Man City
  5. Katika nusu ya msimu uliobakia anaweza kufunga Zaidi ya magoli 15 na hivyo kuongeza Akiba ya magoli ya Chelsea na pia kumuongezea ari na fursa Hazard na Willian na Pedro
Faida yake kwa Hazard
  1. Kwanza atamrudisha Hazard kwenye nafasi yake ya winga wa kushoto ambayo sio tu anaipenda bali pia anaiwezea
  2. Kwa sababu ya uwezo wake wa kukaa na mpira na ni tough, atashirikiana vizuri na Hazard na pengine Higuaín anaweza asifunge magoli mengi ila akampa nafasi Hazard ya kufunga magoli mengi Zaidi ya anavyofunga sasa
  3. Ataleta pia motivation kwa Willian ambaye uchezaji wake umedorora kwa siku za karibuni ambayo mimi nadhani ni kwa sababu Chelsea ina wachezaji wa hovyo kule mbele.
  4. Pia atatengeneza maelewano mazuri na Luiz kwa zile pressing pass zake na hivyo kuifanya Chelsea iwe hai mbele
Uhusiano wake na Sarri
Katika Maisha yake ya soka, Higuaín hatamsahau Sari pale Napoli
Higuaín anakiri kuwa Sarri amembadilsiah jinsi anavyocheza na kuwazia soka
Kwa mapenzi haya ya Higuaín na Sari, ni Dhahiri Higuaín ni ngumu kufanya vizuri chini ya kocha mwenye approach tofauti na sarri
Tunategemea ari, kujitoa katika kucheza na kufunga magoli itaongezeka tofauti na alivyokuwa Sansiro au Turin Italy
Unaweza kusoma Zaidi hapa kuhusu Higuaín anavyomuelezea Sarri
Chelsea news: What Gonzalo Higuain has said about Maurizio Sarri ahead of Chelsea transfer | Metro News
Nitamuona wa maana kama atafunika pengo la Diego Costa vinginevyo itakuwa ni ubatili tu!
 
Sarri on how close is Gonzalo Higuain to joining Chelsea: "I don't know. I want to be clear, because I cannot help you. I spoke with Marina two weeks ago, so Marina knows my opinion on how to improve the team. Then I decided to focus on the pitch, on matches and training."
 
Sarri: "I am confident because I know Marina is working very hard, but I don't know the market at all. I want to be focused on the matches. So I don't call her every evening, otherwise I spend all my mental energy on the market."
 
Sarri on Fabregas replacment: "You know my opinion about the replacement of Cesc. We need a replacement, in my opinion. Marina knows very well my opinion. So I'm not frustrated at the moment."
 
Sarri: "I don't know if Morata will play, but he is training with us, of course. It's normal, I think. It's not... of course, for him, I think it's a very difficult moment. But it's normal for a player in January to be involved in the market. So I think that he's available."
 
Sarri: "I don't want to talk with Hudson-Odoi about something that I cannot resolve. So I am very happy with him. One month ago, we worked with him for the defensive phase and he improved immediately. And now we are working with him about movements without the ball.
 
Sarri: "In my opinion, he is improving. So, on the pitch, we are really very happy with him. He is improving a lot in the last two months. I think that he's in a very positive moment. Also mentally. For the attitude. For the way he is training."
 
Sarri on six pointer vs Arsenal: "At the moment we have only Loftus-Cheek out for his back. This match for us is both a risk and opportunity. It is a risk because they are doing v well at home. It is a difficult and dangerous match for us, but also a great opportunity" #CFC
 
Sarri on Arsenal threat on Saturday: "In the offensive phase, they are one of the best teams in the Premier League. They are really very dangerous. It will be a difficult match for us and important." #CFC
 
Sarri on Bielsa: "I prefer to study my opponents by video. It is difficult to have lots of information in the last two days, but I don't like this. Of course every coach likes to have information about the opponents but I don't like this. I have no good spies" #CFC
 
Back
Top Bottom