Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Asante sana Mkuu kwa kunisahihisha vyema, afu bado tena mtu anasema kuwa PEP kaitengeneza sana Man City kuliko Mou aliyeikuta Man U ambayo haikuwa kushiriki kabisa UEFA zaidi ya misimu miwili nyuma.

Kuna Mawatu majinga sana hapa duniani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Zipo lugha nzuri unaweza kutumia ili kuwasilisha hoja yako ukaeleweka. Kama unahisi hueleweki hebu acha kuliko kutumia lugha hizi.
Achana nalo hilo taira la Pep lizidi kujipendekeza ili liwe linabaguliwa tu mpaka life, maana linaongozwa na hisia kuliko ukweli halisi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna tetesi kuwa wanataka kumswap Philippe Coutinho (26yrs) na Willian da Silva (30yrs) baada ya ile swap deal ya Willian na Malcom kushindikana. , Je Coutinho atatufaa Chelsea baada ya mambo kumuendea vibaya Barcelona?
 
Kwenye haya majukwaa ya kijamii kuna kitu au vitu vinavyosikitisha, wakati mwingine anachimba kutafuta data za kuwafaa wasomaji katika kuchangia mijadala, wengine humu wanatapika tu kutoka mdomoni na kuyabatiza kuwa ni points. Kubishana na watu kama hawa is a great waste of time. Punde ukimtambua mtu kama huyu ni kumsusia tu
 
Kuna tetesi kuwa wanataka kumswap Philippe Coutinho (26yrs) na Willian da Silva (30yrs) baada ya ile swap deal ya Willian na Malcom kushindikana. , Je Coutinho atatufaa Chelsea baada ya mambo kumuendea vibaya Barcelona?
Atatufaa sana japo sina uhakika na usahihi wa hii habari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chelsea wanatarajiwa kuendelea mbeli na mpango wao wa kumsajili mshambuliaji wa Juventus Gonzalo Higuain, ambaye yuko kwa mkopo AC Milan, kufikia mwisho wa wiki hii. (Telegraph)
 
Chelsea wameongeza ofa ya euro milioni 36 kumnunua kiungo wa kati wa Argentina Leandro Paredes, 24, kutoka Zenit St Petersburg ya Urusi.(Star)
 
Chelsea wanatarajiwa kuendelea mbeli na mpango wao wa kumsajili mshambuliaji wa Juventus Gonzalo Higuain, ambaye yuko kwa mkopo AC Milan, kufikia mwisho wa wiki hii. (Telegraph)
Nimegundua kwamba huu mchezo wa kuswap ni wa kutegeana, Chelsea wasipowaondoa giroud na Morata, hawataweza pia kumsajili Higuan au striker yeyote, Odoi akiondoka, Willian hawezi kutolewa. Nafasi ambayo najua tu itawahi muda wowote ni ya Paredes kwa sababu Jourginho anaweza fia uwanjani
 
Kuna tetesi kuwa wanataka kumswap Philippe Coutinho (26yrs) na Willian da Silva (30yrs) baada ya ile swap deal ya Willian na Malcom kushindikana. , Je Coutinho atatufaa Chelsea baada ya mambo kumuendea vibaya Barcelona?
Daa hivi Barca wameona nn kwa William?
Ila siwez kuamini et wamtoe Cotinho kwa Willian sio rahisi na haiwezekani
 
Daa hivi Barca wameona nn kwa William?
Ila siwez kuamini et wamtoe Cotinho kwa Willian sio rahisi na haiwezekani
Kwa taarifa yako Willian ni winga mzuri sana na pia anaweza kucheza kiungo wa kushambulia ila tu pamoja na Chelsea kukosa watu wazuri kule mbele wa kuweza kutumia vizuri krosi za willian pia naona interest na Chelsea imeisha tangu atibuane na Conte au ni inconsistency to ya kawaida ambayo kila mchezaji anapitia
 
Bado nae ataonekana kuwa mzigo kama kutakua hakuna mpiga pasi za mwisho.
Hakuna timu yenye wachezaji wengi kuliko Chelsea hasa wale waliotolewa kwenye mkopo halafu bado tunakosa wachezaji kwenye nafasi nyeti. Mfumo wa usajili wa Chelsea una shida tena kubwa
 
Chelsea wanatarajiwa kuendelea mbeli na mpango wao wa kumsajili mshambuliaji wa Juventus Gonzalo Higuain, ambaye yuko kwa mkopo AC Milan, kufikia mwisho wa wiki hii. (Telegraph)
yule aliyetaka kupigana jana fainal ya copa italia
 
It's good that UEFA have changed their rules and now any team in UCL/UEL can add 3 players to their squad without any restriction. Despite the fact that AC Milan have been eliminated from UEL, Higuain can still play in Europa league for Chelsea.
 
Chelsea are trying to complete the signing of Gonazo Higuain in time so he can make his debut against Arsenal on Saturday.

{Evening Standard}
 
Kwa taarifa yako Willian ni winga mzuri sana na pia anaweza kucheza kiungo wa kushambulia ila tu pamoja na Chelsea kukosa watu wazuri kule mbele wa kuweza kutumia vizuri krosi za willian pia naona interest na Chelsea imeisha tangu atibuane na Conte au ni inconsistency to ya kawaida ambayo kila mchezaji anapitia
William kiwango chake kimeshuka, na sijaona akipiga krosi zozote mbali na kupoteza mipira hovyo, labda akienda huko atabadilika
 
Higuain link up & playmaking 👀 Hes not just a goalscorer, brings alot more, can hold it up well, clever lay offs, sets up teamates, something we dont have from any attacker right now apart from Eden. This was only last season aswell, hes still a class player 👏💙
 
"Chelsea are making a mistake, they'll regret their decision of selling Morata"
Chelsea have given everything that they could to make things work for Morata. I don't care if he goes to Atletico Madrid and becomes the next Ronaldo. He had his chance here and he couldn't deliver simple!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom