kalou
JF-Expert Member
- Aug 22, 2009
- 4,975
- 3,824
The wins are all that matter at this stage.' @garyjcahill [HASHTAG]#CFC[/HASHTAG] [HASHTAG]#Chelsea[/HASHTAG]
Kwa mtu anaefuatilia mpira, kiungo wa uhispania anaechezea klabu kubwa yoyote ulaya obvious ni fundi ukilinganisha na wa nchi zingine unless huyo wa nchi nyingine awe na uwezo wa kuchukua ballon d or ndo utamlinganishaumeongelea vitu viwili vinavopingana ndugu, sasa sijajua msimamo wako ni upi.
Tunaongelea performance ya herrera na kante, we unaongelea Manchester kuwa namba 6 na chelsea kuongoza ligi, umesahau kuongoza ligi ni team performance sio individual performance. umesahau kuwa vermaleen alichukua uefa na barca wakati akina bonucci, T silva, David luiz etc wanaangalia kwenye tv, au unataka unambie vermaleen alikua mzuri kuliko hao?
Handerson na buttner walichukua epl wakati gerald kaishia kubusu kamera
umeongea kuhusu mfumo na jinsi makocha wanavowatumia, hapa sijakuelewa ndugu, kwamba mfumo anaotumia conte haujamkubali kante ndio maana takwimu zake zipo chini kuliko herrera???
hapo kwenye red umekubali kuwa takwimu zinaonesha herrera ni bora kuliko kante ila ni underrated?
Mwisho wa ligi tutaona aliyeingia kwenye kikosi bora cha EPL kati ya kante na Herrera kisha sitapenda malalamiko huo ndio utakuwa mwisho wa ubishi.ntakuja kukukumbusha hiliKwa mtu anaefuatilia mpira, kiungo wa uhispania anaechezea klabu kubwa yoyote ulaya obvious ni fundi ukilinganisha na wa nchi zingine unless huyo wa nchi nyingine awe na uwezo wa kuchukua ballon d or ndo utamlinganisha
Mm nauelewa sana mchango wa kante na ninaufurahia, ila kiukweli quality yake bado ni kawaida sana hata kocha conte anazungumza hilo suala mara nyingi tuu kuwa kijana anakiwa kuimprove
Namalizia kwa kusema hivi kante ana kiwango bora kuliko hererra lakini hererra ana ubora mzuri kuliko kante. Kama hujaelewa na hapo sasa wewe ni ........ Tafuta jawabu
...kante ana kiwango bora kuliko hererra lakini hererra ana ubora mzuri kuliko kante...
Bashite at workKwa mtu anaefuatilia mpira, kiungo wa uhispania anaechezea klabu kubwa yoyote ulaya obvious ni fundi ukilinganisha na wa nchi zingine unless huyo wa nchi nyingine awe na uwezo wa kuchukua ballon d or ndo utamlinganisha
Mm nauelewa sana mchango wa kante na ninaufurahia, ila kiukweli quality yake bado ni kawaida sana hata kocha conte anazungumza hilo suala mara nyingi tuu kuwa kijana anakiwa kuimprove
Namalizia kwa kusema hivi kante ana kiwango bora kuliko hererra lakini hererra ana ubora mzuri kuliko kante. Kama hujaelewa na hapo sasa wewe ni ........ Tafuta jawabu
Nipe tofauti ya lewandowisk na lomeo lukaku kwa sasa!!!What on earth is this!???
Ushabiki usikutie upofu, maana yeye mwenyewe kante anakiri kua anatakiwa Kuimprove, sasa nakushangaa wewe unaebisha!!! May be you know less about footballBashite at work
Hahahahhaa braza usikazanie kutetea imani yako kwan herera hasemi anatakiwa aimproveUshabiki usikutie upofu, maana yeye mwenyewe kante anakiri kua anatakiwa Kuimprove, sasa nakushangaa wewe unaebisha!!! May be you know less about football
Tuachaneni na hizo habari, tufikirie ubigwa tunauchukuaje basi, maana hiyo ndo raha yetu KTBFFHHahahahhaa braza usikazanie kutetea imani yako kwan herera hasemi anatakiwa aimprove
Great striker, among of the people made chelsea upgradeWishing Chelsea legend Jimmy Floyd Hasselbaink a very happy birthday! [HASHTAG]#CFC[/HASHTAG] [HASHTAG]#Chelsea[/HASHTAG]
lengo la media ni lipi lakini kuna faida yoyote wanapata?Naona media zinamtia presha moja ya winger hatari kabisa duniani kwenda real madrid Hazard ,nadhani akiongezewa mkataba mpaka 2023 na mshahara atabaki