ENZO
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,248
- 1,745
Mkuu mimi ukitaja Torres napata kizunguzungu kabisa..bora utaje Ba.
Torres alifanya yake; lakini muda mwingi ulikuwa ni huzuni tu. Mwache ale maisha huko Italia.:wacko:
hahahaha ........... siyo ww tu!" hata miye. mana alikua anakosa mpaka anakera.
Grand PA