natoa hongera kwako Ntuzu, gemu imekwisha sio rahisi kwa Liverpool kurejesha hasa ukitilia shaka na uchezaji wa Chelsea wa kuweka basi nyuma na Liverpool kupata magoli kipindi cha kwanza na kulinda kwenye kipindi cha pili na wakijaribu kushambulia kipindi cha pili ndio itakula kwao
Hongera kwa kuweka ubingwa kwa Man City wazi kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.