Jamani Mungu na watu aisee! Naona Gerad kaagiza kombora linambabatiza mtu hapa.
Naona ni 4-3-3 vs 9-1.
Ushindi mtindo mmoja leo.
Viva Chelsea
mamifumo ya morinyo yanakera sana
Nadhani kuna umuhimu wa kupunguza ukubwa wa uwanja inabidi goli la Magnolet lisogee karibia na katikati.
nimecheka sana
Mark Shwarzer kaanza kupoteza muda hapa.
Goooo ba anaipatia chelsea co la kwanza