Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

toka 1974 atl hajawahi ingia nusu soo yupo kikombe zaidi waulize barca hadi leo wamecheza gemu tatu na barca kuambulia point mbili tu.. mnaweza bahatisha mara ya mwisho mlikula nne..


ni kweli tulikuwala 4-1: mabeki walikuwa David Luiz na Cahill; lakini magoli matatu alifunga FALCAO.

sisi tutawafunga Atletico Madrid na kuwatoa mashindanoni kwa sababu zifuatazo:

1. tunacheza na mabeki 8 tunapoambua kukaba:
2. tunaye kocha bora kabisa; kocha wa mataji.
3. tunaweza kucheza washambuliaji 5 katika mechi moja ili tushinde; mfano juzi: Eto'o, Ba, Torres, Schurrle na Willian wote walikuwa ndani wakati mmoja..

ha ha ha ha...:high5:
 
1558549_1007168519323364_8448596328439594775_n.jpg
 
Real Madrid VS Bayern Munich
Atletico madrid VS chelsea fc
 
Draw nzuri sana aiseee ila atletico wanakaa tu muhimu tuwapige kwao kwanza
 
yanawezekana:

but; WE HAVE DONE IT.. WE WILL DO IT AGAIN;

WINNING THE CHAMPIONS LEAGUE.:first:

CHELSEA FC

Hivi Uefa walijua kuwa Chelsea itapangwa na ATM? Kwanini wamerelease statement kuhusiana na mkataba wa Courtois on the same day of the draw halafu Chelsea wameishia kupangwa na ATM? Is it a coincidence?

cc; EMT
 
Last edited by a moderator:
Hivi Uefa walijua kuwa Chelsea itapangwa na ATM? Kwanini wamerelease statement kuhusiana na mkataba wa Courtois on the same day of the draw halafu Chelsea wameishia kupangwa na ATM? Is it a coincidence?

cc; EMT


kuna kitu:

cc; Ntuzu, Mentor, EMT, kalou.
 
kuna kitu:

cc; Ntuzu, Mentor, EMT, kalou.


kuna tetesi kwamba 'wadau' hawakutaka fainali kati ya Atletico na Chelsea FC;
sasa ni afadhali zikutane mapema tu..

sasa sijui kama kuna uhusiano kati ya hayo unayosema; lakini kama ulivyosema inawezekana walikuwa prepared mapema..😕
 
Hawa wapangaji bana..naiona chelsea ikichukua hili kombe kimzaha mzaha tu
 
kuna tetesi kwamba 'wadau' hawakutaka fainali kati ya Atletico na Chelsea FC;
sasa ni afadhali zikutane mapema tu..

sasa sijui kama kuna uhusiano kati ya hayo unayosema; lakini kama ulivyosema inawezekana walikuwa prepared mapema..😕

Watakua walipenda "a dream final" kati ya Bayern Vs Real Madrid lakini hawa 'underdogs' wamewatisha kwa namna walivyofika hapo, wakaona dawa yao ni kuwapambanisha tu, fitna nyingine watazifanya siku ya fainali
 
ha ha ha ..

We will play Atletico Madrid in the semi-finals of the Champions League.

The first leg will be played on 22/23 April, with the return leg on 29/30 April.
Exact dates will be announced shortly.
The draw was made at UEFA headquarters in Switzerland on Friday morning UK time and sees us paired with the side currently leading their domestic league. We last met Atletico in the Super Cup in 2012 when the Spanish side ran out 4-1 winners.

Our only meeting in the Champions League came in the 2009/10 group stage when we won 4-0 at the Bridge, with the return fixture in Madrid ending in a 2-2 draw. Atletico reached this stage after defeating Barcelona 2-1 on aggregate in the quarter-finals. -www.chelseafc.com





Watakua walipenda "a dream final" kati ya Bayern Vs Real Madrid lakini hawa 'underdogs' wamewatisha kwa namna walivyofika hapo, wakaona dawa yao ni kuwapambanisha tu, fitna nyingine watazifanya siku ya fainali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom