Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kalou sidhani kama Real Madrid wanamtaka Atletico hata kidogo

Game ya 02/03/2014 walipokutana na hawa jamaa ilikua moto.

Nadhani ni kati ya game ambazo R.Madrid zimewapa ugumu sana msimu huu. Walitoka 2-2 lakini C.ronaldo ndiyo alisawazisha dakika 8 kabla ya mpira kuisha

Atletico wako vizuri sana...yaani bora hata kukutana na Real Madrid semi final kuliko hawa viumbe..
 
Atletico wako vizuri sana...yaani bora hata kukutana na Real Madrid semi final kuliko hawa viumbe..


ukitaka ubingwa hupaswi kuchagua wa kucheza naye;

atletico wanasumbua timu ambazo hazijui kukuba..waleteni kesho asubuhi mtaona;

CHELSEA THE CHAMPIONS.
 
ukitaka ubingwa hupaswi kuchagua wa kucheza naye;

atletico wanasumbua timu ambazo hazijui kukuba..waleteni kesho asubuhi mtaona;

CHELSEA THE CHAMPIONS.

Ivi ATM ni kina nani mbele ya Chelsea na Jose Mourinho?

Au kwasababu wameitoa Barcelona? Au kwasababu wameisumbua R Madrid? Au kwasababu walitufunga kipindi kile cha kufungua CL?

Nasema hivi Mimi dua zangu nawaomba hao hao ATM tukutane nao Ili muone kz!

Naomba Hiyo kasho watupange na hao waliowatoa Barcelona!
 
Chelsea ni timu with special Spirit


Kesho ikitoka tu ratiba tu! Basi NUSU fainali itaanza kuchezwa kuanzia Kesho!

Na Mimi nitakua hapa mpk Siku ya game kujadili!

Sisi tuko tayari kwa yeyote Yule!
 
chelsea ni timu with special spirit


kesho ikitoka tu ratiba tu! Basi nusu fainali itaanza kuchezwa kuanzia kesho!

Na mimi nitakua hapa mpk siku ya game kujadili!

Sisi tuko tayari kwa yeyote yule!


amina!
 
Atletico walimfunga Morinho mara moja tu, na wamemfunga Real mara mbili tu ndani ya miaka kumi na nne.
Naaamini Chelsea yoyote yule tukipewa lazima akae final hiyoooooo
 



Pamoja Mkuu!

Ktk hizi timu 4 zilizobaki, hakuna ata timu moja inayotaka kukutana na Chelsea! Ila sisi tuko tayari kwa yeyote! Ingawa Nahisi safari ya kwenda Madrid hatuwezi kuiepuka lazima tupamgwe na mmoja wao au km wakiamua twende Germany ni sawa! Lkn kila upande kuna memories nyingi tu zinaamka na kutupa msukumo na special spirit!

Pamoja Mkuu, let's see tomorrow which team are we going to face!
 
rekodi zote hizo zimetokea mbele ya macho yao..hapo hakuna rekodi ya mwaka 1970 au 1960 enzi za mpira wa magazeti..

tumeshuhudia rekodi zote katika kizazi chetu hiki hiki cha champions league:




Ahsante Mkuu,huo ndio ukweli,maana wamebaki wanazungumzia history tu,imagine wengine 8 years bila kitu.My little son who is 7 years now aliniuliza siku moja,hivi Arsenal na wao walishakuwa mabingwa? Nikamjibu yes kipindi hicho wewe hujazaliwa,haikumuingia akilini hata kidogo lol!
 
Pamoja Mkuu!

Ktk hizi timu 4 zilizobaki, hakuna ata timu moja inayotaka kukutana na Chelsea! Ila sisi tuko tayari kwa yeyote! Ingawa Nahisi safari ya kwenda Madrid hatuwezi kuiepuka lazima tupamgwe na mmoja wao au km wakiamua twende Germany ni sawa! Lkn kila upande kuna memories nyingi tu zinaamka na kutupa msukumo na special spirit!

Pamoja Mkuu, let's see tomorrow which team are we going to face!

Napenda twende kwa Beyern tukawaachie tena kilio kama kile walichokipata kwenye fainali.
 
Napenda twende kwa Beyern tukawaachie tena kilio kama kile walichokipata kwenye fainali.


Mkuu kote ni burudani tu! Ukienda kwa R Madrid utamkuta Ancelote ambaye aliwahi Kua kocha Wa Chelsea na Jose pia alikua kocha Wa R Madrid! Kwahiyo Ktk Hiyo game kuna Radha Yake nzuri tu!

Kwa Munich km ulivyosema mwenyew!

Kwa ATM ni km tulivyokutana nao Ktk ufunguzi Wa CL msimu Wa Mwaka Jana!

Kwahiyo kila game iko na good memories Mkuu tena tamu sn!

Sisi ni timu tuko tayari kwa yoyote Yule!
 
Mkuu kote ni burudani tu! Ukienda kwa R Madrid utamkuta Ancelote ambaye aliwahi Kua kocha Wa Chelsea na Jose pia alikua kocha Wa R Madrid! Kwahiyo Ktk Hiyo game kuna Radha Yake nzuri tu!

Kwa Munich km ulivyosema mwenyew!

Kwa ATM ni km tulivyokutana nao Ktk ufunguzi Wa CL msimu Wa Mwaka Jana!

Kwahiyo kila game iko na good memories Mkuu tena tamu sn!

Sisi ni timu tuko tayari kwa yoyote Yule!

chelsea naomba mpewe Bayern muwachape vizuri,bayern weupe kabisa.....
 
chelsea naomba mpewe Bayern muwachape vizuri,bayern weupe kabisa.....



Ata mimi Naona kuna uwezekena Wa kupangwa Wa Germany! Lkn namuonea huruma Guadiola Maana timu za England zina mpa tabu sn!


Jana Guadiola alikua Hana raha mpk akawa anatulizwa!
 
toka 1974 atl hajawahi ingia nusu soo yupo kikombe zaidi waulize barca hadi leo wamecheza gemu tatu na barca kuambulia point mbili tu.. mnaweza bahatisha mara ya mwisho mlikula nne..
 
Mkuu RRONDO Ngoja tusubiri tuone! Lkn pia Nahisi Guadiola anaweza kupangwa na timu toka kwao Maana amekuja sn England!

Ila nawatamani sn R Madrid Maana hii game italeta Watu wengi sn kutokana na historia za makocha na wachezaji!
 
Last edited by a moderator:
toka 1974 atl hajawahi ingia nusu soo yupo kikombe zaidi waulize barca hadi leo wamecheza gemu tatu na barca kuambulia point mbili tu.. mnaweza bahatisha mara ya mwisho mlikula nne..



We are the team with special spirit

Tuko tayari kwa yeyote!
 
Mkuu kote ni burudani tu! Ukienda kwa R Madrid utamkuta Ancelote ambaye aliwahi Kua kocha Wa Chelsea na Jose pia alikua kocha Wa R Madrid! Kwahiyo Ktk Hiyo game kuna Radha Yake nzuri tu!

Kwa Munich km ulivyosema mwenyew!

Kwa ATM ni km tulivyokutana nao Ktk ufunguzi Wa CL msimu Wa Mwaka Jana!

Kwahiyo kila game iko na good memories Mkuu tena tamu sn!

Sisi ni timu tuko tayari kwa yoyote Yule!

Ila heri Bayern hao waliokoswa koswa na Man U,ila Real Madrid na Atlentico kimtindo ni mziki mnene ingawa si kitu maana tuna spirit kubwa
 
Mentor, bado unasherehekea ushindi besti?? Huku Paris tunaendelea kula croissants. hihihihiiii
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom