sasa kinachowakasilisha nini..!? wakati nyie mnatimu zenu nasi tuna timu yetu, watu wamenuna kama wamefungwa wao na mkiambiwa kwanini mlikuwa mnashangilia PSG hamna hata sababu ya maana..!?
go special one..!?
go chelsaaaa....!?
go baaaaaa......!?
Sijafahamu km itakua hivyo! Lk ningependa Iwe hivyo Ili game ivutie Zaidi kwa kila kocha na wachzaji pia! Ingawa sisi Chelsea tutamkosa Ivanovic Lkn Cole atakuwepo!