Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kwakweli hizi thread 3 yani ya Chelsea na Liverpool na Arsenal, zimechangamka sn sn!

Wapi wakuu juve2012 EMT Mourinho na wengine woooote wapenzi Wa soccer! Kwa kweli EPL Na sports threads zimechangamka sn!

Shukrani kwa wote Jamani mnaopita Ktk threads hizi!

Kz kwenu Man Utd na Man City kuziamsha threads zenu!

Mentor na agosti 8 na chelsea fans wote! NAWAPENDA SN! Leo baada ya game wale wote watatishwa na kiwango chetu cha Mpira na kuanza Kua wapole

KTBFFH
 
Last edited by a moderator:
Kwakweli hizi thread 3 yani ya Chelsea na Liverpool na Arsenal, zimechangamka sn sn!

Wapi wakuu juve2012 EMT Mourinho na wengine woooote wapenzi Wa soccer! Kwa kweli EPL Na sports threads zimechangamka sn!

Shukrani kwa wote Jamani mnaopita Ktk threads hizi!

Kz kwenu Man Utd na Man City kuziamsha threads zenu!

Mentor na agosti 8 na chelsea fans wote! NAWAPENDA SN! Leo baada ya game wale wote watatishwa na kiwango chetu cha Mpira na kuanza Kua wapole

KTBFFH

Nimeingia ninayeongoza ligi kuu ya Uingereza kwa:
Point
Magoli ya kufunga
Wafungaji bora
Kugonga mwamba/nguzo
Assists
Nidhamu
Kocha bora
Kandanda la kuvutia
Kinda bora (Raheem)
Mashabiki wavumilivu
 
Last edited by a moderator:
Nimeingia ninayeongoza ligi kuu ya Uingereza kwa:
Point
Magoli ya kufunga
Wafungaji bora
Kugonga mwamba/nguzo
Assists
Nidhamu
Kocha bora
Kandanda la kuvutia
Kinda bora (Raheem)
Mashabiki wavumilivu

Teh Teh Teh Teh

Karibu sn Mkuu!
 
Kwakweli hizi thread 3 yani ya Chelsea na Liverpool na Arsenal, zimechangamka sn sn!

Kila nichungulia JF uzi wa "You Will Never Walk Alone" unakuwa una-compete na nyuzi za siasa.

Kweli Ferguson aliliza watu.
 
Kila nichungulia JF uzi wa "You Will Never Walk Alone" unakuwa una-compete na nyuzi za siasa.

Kweli Ferguson aliliza watu.


Mkuu Umeona?

Muwe mnapita Mkuu! Tunahitaji michango yenu!
 
Kwakweli hizi thread 3 yani ya Chelsea na Liverpool na Arsenal, zimechangamka sn sn!

Wapi wakuu juve2012 EMT Mourinho na wengine woooote wapenzi Wa soccer! Kwa kweli EPL Na sports threads zimechangamka sn!

Shukrani kwa wote Jamani mnaopita Ktk threads hizi!

Kz kwenu Man Utd na Man City kuziamsha threads zenu!

Mentor na agosti 8 na chelsea fans wote! NAWAPENDA SN! Leo baada ya game wale wote watatishwa na kiwango chetu cha Mpira na kuanza Kua wapole

KTBFFH

Kumbe uzi wa Liverpool upo hai?
Kibarua chenu usiku wa leo hii mtakiweza?
 
Last edited by a moderator:
maneno yako kwenye rangi nyekundu yanathibitisha huna timu; taja timu yako ili tupambane hoja kwa hoja.
maneno yako yanathibitisha huna timu kwenye UCL;
ungekuwa na timu ungetulia kusubiri timu yako ifuzu;
huna timu kazi yako kubwabwaja tu.

Mimi nasema subiri uone 4-5-1 ya PSG leo nite.

Sijui ze bluz watakuja na mfumo gani wa kuvunja huu ukuta
 
Mimi nasema subiri uone 4-5-1 ya PSG leo nite.

Sijui ze bluz watakuja na mfumo gani wa kuvunja huu ukuta


4-2-3-1 yani huu mfumo utaisambaza kabisa PSG

Azzp, Ivanovic, Terry, Cahill

Lampard, Luiz

Willian, Oscar, Hazard

Eto'o

Hatoki mtu hapa Leo!
 
wewe ni PSG au CHELSEA FC?

Mimi siyo PSG wala CHELSEA FC.

Mimi ni mdau wa kabumbu kama wengine.

Kunani wakati wote tukiwa humu kwenye uzi wenu anauliza wadau kama ni timu gani?

Mkiwa ze bluz peke yenu humu kweli kutakua na changamoto zozote?

Wengi wenu humu ni kizazi cha Chelsea ya SPECIAL ONE. Dizaini hii ya ushabiki itakufanya uhame timu kila baada ya muongo mmoja au miwili kufuata cherekochereko katika timu nyingine.
 
Ata Chelsea sio kichwa cha mwendawazimu Ati!!!!

Leo Chelsea inaamsha hadi wagonjwa kama Etoo kwa ajili ya game hii.

Maji yashakua mazito haya kwenu.

One hour be4 kick off.

Who r ya, who r ya, who r ya...!
 
Mimi siyo PSG wala CHELSEA FC.

Mimi ni mdau wa kabumbu kama wengine.

Kunani wakati wote tukiwa humu kwenye uzi wenu anauliza wadau kama ni timu gani?

Mkiwa ze bluz peke yenu humu kweli kutakua na changamoto zozote?

Wengi wenu humu ni kizazi cha Chelsea ya SPECIAL ONE. Dizaini hii ya ushabiki itakufanya uhame timu kila baada ya muongo mmoja au miwili kufuata cherekochereko katika timu nyingine.


Mimi na miaka 35 Wewe una umri gani? Km ulianza kishabikia Mpira miaka ya 90 au 80 bila Shaka Wewe kikongwe! Lkn km uko chino ya hapo basi Wewe Ktk Mpira umeanza juzi juzi!
 
Leo Chelsea inaamsha hadi wagonjwa kama Etoo kwa ajili ya game hii.

Maji yashakua mazito haya kwenu.

One hour be4 kick off.

Who r ya, who r ya, who r ya...!



Yani Wewe unaongea kwa chuki tu!

Eto'o muda wake umefika Wa kucheza! Fatilia taarifa zake za kuumia na matibabu yake na anatakiwa kucheza! Acha uongo eti tumeamsha wagonjwa!
 
Mimi na miaka 35 Wewe una umri gani? Km ulianza kishabikia Mpira miaka ya 90 au 80 bila Shaka Wewe kikongwe! Lkn km uko chino ya hapo basi Wewe Ktk Mpira umeanza juzi juzi!

Hahaha..! Mimi nimerusha jiwe gizani kumbe limekupata

Sikilizia 4-5-1 ya PSG INAKUJA
 
Hahaha..! Mimi nimerusha jiwe gizani kumbe limekupata

Sikilizia 4-5-1 ya PSG INAKUJA



Unajua wengi mmekua mnaongea tu kwamba tumeanza ushabiki Wa chelse hivi karibuni kitu ambacho sio kweli!

Kwa mfano mimi nimeanza kuipenda Chelse tangu Mpira ulipoanza kurushwa Ktk tv tz! Kupitia ESPN na badae Dstv na sababu yng kubwa kuipenda chelsea ilikua ni wachezaji weusi Na mchanganuiko wa mataifa mbalimbali!

Sasa utaniambia nini Leo?
 
Yani Wewe unaongea kwa chuki tu!

Eto'o muda wake umefika Wa kucheza! Fatilia taarifa zake za kuumia na matibabu yake na anatakiwa kucheza! Acha uongo eti tumeamsha wagonjwa!

Soma gazeti la The Telegraph la Uingereza la tarehe 08/04/2014 ukurasa wa michezo.

Usiwe mbishi kama kitu hujui kubali kuelimishwa.

Ukiumia msuli wa nyuma ya paja lazima ukae nje kwa wiki tatu.

Etoo aliumia 22 March 2014 alipocheza na Arsenal sasa niambie kishafikisha wiki 3? Na hili la wiki 3 inategemea na Umri wa mchezaji pia

Jiulize Aguero wa Man city yuko wapi. Kama wewe mfuatiliaji mzuri wa soka utajua athari alizopata kwa kutokuzingatia matibabu ya hamstring
 
Soma gazeti la The Telegraph la Uingereza la tarehe 08/04/2014 ukurasa wa michezo.

Usiwe mbishi kama kitu hujui kubali kuelimishwa.

Ukiumia msuli wa nyuma ya paja lazima ukae nje kwa wiki tatu.

Etoo aliumia 22 March 2014 alipocheza na Arsenal sasa niambie kishafikisha wiki 3? Na hili la wiki 3 inategemea na Umri wa mchezaji pia

Jiulize Aguero wa Man city yuko wapi. Kama wewe mfuatiliaji mzuri wa soka utajua athari alizopata kwa kutokuzingatia matibabu ya hamstring

Naona umeanza kuja moto!

Teh Teh Teh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom