chelsea fc in the LISBON FINAL
Last game kule Paris kabla ya mechi mlipiga kelele sana wakati wa mechi wote mkakimbia
Last game kule Paris kabla ya mechi mlipiga kelele sana wakati wa mechi wote mkakimbia
ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha!!!!!!!!
Mpira wa maandishi hapa ndo mahala pake; unataka nifanyeje?
Unataka niseme tutafungwa?
Unataka niseme PSG nzuri kuliko CHELSEA?
ni sawa na kusema baba wa jirani ni mzuri kuliko baba yako? Believe in what you believe.
Unaogopa hata kutaja timu itakayokua inapewa hizo hongera.
Sasa ndiyo nimetambua jinsi gani hali inavyozidi kuwa nguvu kwenu
HONGERA PSG KWA USHINDI WA GOLI 3 KWA 1 DHIDI YA CHELSEA KATIKA MCHEZO WA KWANZA
Unaogopa hata kutaja timu itakayokua inapewa hizo hongera.
Sasa ndiyo nimetambua jinsi gani hali inavyozidi kuwa nguvu kwenu
HONGERA PSG KWA USHINDI WA GOLI 3 KWA 1 DHIDI YA CHELSEA KATIKA MCHEZO WA KWANZA
PSG ni nzuri kuliko Chelsea hadi muda huu kwa mchezo wa kwanza wa robo fainali hii na sababu ni moja PSG wanamagoli 3 na Chelsea wa goli 1.
Utakapoisha mchezo wa pili wa robo fainali ndipo tutakapojua ni timu gani nzuri na sababu ni moja ambayo ni TIMU NZURI ITAFANIKIWA KWENDA NUSU FAINALI
hunitishi kwa sababu huna timu inayocheza UCL;
PSG ni nzuri kuliko Chelsea hadi muda huu kwa mchezo wa kwanza wa robo fainali hii na sababu ni moja PSG wanamagoli 3 na Chelsea wa goli 1.
Utakapoisha mchezo wa pili wa robo fainali ndipo tutakapojua ni timu gani nzuri na sababu ni moja ambayo ni TIMU NZURI ITAFANIKIWA KWENDA NUSU FAINALI
utaumia sana kuona PSG akitolewa; ..:hat:
Aione Ntuzu
Umetumia kanuni ipi kujua kama sina timu inayocheza Ligi ya Mabingwa wa Ulaya?
Sidhani kama unahitaji kuwa na timu UCL ili uweze kuchangia katika jukwaa hili
Lete hoja za maana kama uko fiti katika sekta ya soka
Lol...! Kiboko ya hawa jamaa ni kuwapa ukweli.
Wengi wao ni wawamba NGOMA 'SIKU ZOTE WANAVUTIA UPANDE WALIPO'
Mimi sitaumia kwa sababu najua lolote laweza kutoke katika mchezo huu.
Sasa niko tayari kupokea matokeo yoyote yale na kuyakubali.
Mchezo hautakua mwepesi huu. Sasa tuache mind game zisizo na manufaa yoyote
THOSE WHO DON'T BELIEVE SHOULD STAY HOME AND WATCH R. MADRID VS B. DORTMUND
PSG PLAYERS DURING PRACTICE AT THE S. BRIDGE STADIUM
![]()
THE STADIUM: WHERE IMPOSSIBLES ARE MADE POSSIBLE
![]()
STRIKERS IN DISCUSSION
![]()
THROUGH THEIR PACES
![]()
GUESS WHO...
![]()
YEP...
![]()
ALL AT EASE...
![]()
AZP...CESAR..THE KING!!!!
![]()
MORE...
![]()